Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 18,181
- 29,916
Mkuu kuwaharibu watoto wako mwenyewe kisaikolojia ni kitu rahisi sana.Kuna vitu vinachekesha,Diamond ana bifu na baba yake kisa alimtelekeza,at the sane time na yeye anatelekeza na kuzaa ovyo ovyo.
Mzee Jacob juna makosa aliyafanya ila ana nafuu mara mia kuliko aliyofanya Steeve ambaye tulitegemea awe tofauti na mzee wake
Yaani hapa watoto wanafanya makosa makubwa kuliko yababa zao.
Just mistreat the mother, unakuwa umewaharibu watoto kuliko unavyofikiri.