TANZIA Steven Msaki bishoo wa Mbezi Beach afariki dunia

TANZIA Steven Msaki bishoo wa Mbezi Beach afariki dunia

Nina kama miaka miwili sijamsikua wala kumuona kabisa. Alikua na changa moto ya kisukari plus unywaji na uvutaji uliopitiliza kuto kulala!
Sahihi,nadhani mimi ,wewena wengine tunaomfahamu tuna jesi ya kujibu kwa Mungu,yule akitakiwa apelekwe sobber house,ungemuona mwaka jana ungelia,alihitaji msaada wa mtu wa kumrudisha kwenye njia
 
Watu ni tofauti mkuu. Mimi nafikiri nina willpower kubwa nikiamua kitu changu ni lazima nakikamilisha.

Na zaidi najua kutoingia popote kwenye mazingira nisiyoyataka.

Ingawa hata nyumbani nina beer, nina wine, nina Scotch nina Tequila, nina Gin, naziona kila siju, lakini sinywi.
Iyo aya ya mwisho Ina itaji kua committed to the maximum.. Asante ntajaribu kuzungumza nae.
 
Wewe mkuu kidogo unaijua historia ya kijana Steven Msaki.
Baba yake Jacob F Msaki akilukwa Mkurugenzi Mkuu wa TISCO . Cheo alichopata kiujanja ujanja. Mimi niaifahamu historia yake.
Kijana Steven anazaliwa tunamwona, cha kusikitisha baba yake hakuwa mtu wa ustaarabu kimaisha na kikazi na amedhulumu watu wengi licha ya kutoihudumia familia ipasavyo.
Mke wake Jacob Msaki mama yule alipitia mateso mengi kimaisha.
Wafanyakazi kampuniya TISCO wengi walitapeliwa mafao yao.
Kujito kimasomaso Jacob Msaki aliwapeleka watoto Marekani na yeye kukimbiloa Dubai.
Maisha hayakuwa mazuri sana , mke yuko Dar watoto USA na yeye Dubai. Watoto kama Steve hawakupata matunzo ipasavyo, hivyo ikawa pombe mtu.
Naye Msaki huko Dubai maisha hayakuwa mazuri, akaugua na kurudishwa Muhimbili alipofia. Mke naye akaugua kwa kukosa matunzo na hatimaye kufariki.
Kijana Steven amefariki kwa frustration za kimaisha. Laiti mzee wake angemweka sawa kimaisha angeendelea vizuri.
Nimeeleza mambo yajuu juu tu, kuna mazito mengi.
Tumwombee Mungu ,kijana Steve apumzike kwa amani.

SOMO: Vijana katika hali yoyote, umasikini au utajiri, tunza upendo kwa familia yako.
Angalau wewe umeeleza ukaeleweka
 
Wewe mkuu kidogo unaijua historia ya kijana Steven Msaki.
Baba yake Jacob F Msaki akilukwa Mkurugenzi Mkuu wa TISCO . Cheo alichopata kiujanja ujanja. Mimi niaifahamu historia yake.
Kijana Steven anazaliwa tunamwona, cha kusikitisha baba yake hakuwa mtu wa ustaarabu kimaisha na kikazi na amedhulumu watu wengi licha ya kutoihudumia familia ipasavyo.
Mke wake Jacob Msaki mama yule alipitia mateso mengi kimaisha.
Wafanyakazi kampuniya TISCO wengi walitapeliwa mafao yao.
Kujito kimasomaso Jacob Msaki aliwapeleka watoto Marekani na yeye kukimbiloa Dubai.
Maisha hayakuwa mazuri sana , mke yuko Dar watoto USA na yeye Dubai. Watoto kama Steve hawakupata matunzo ipasavyo, hivyo ikawa pombe mtu.
Naye Msaki huko Dubai maisha hayakuwa mazuri, akaugua na kurudishwa Muhimbili alipofia. Mke naye akaugua kwa kukosa matunzo na hatimaye kufariki.
Kijana Steven amefariki kwa frustration za kimaisha. Laiti mzee wake angemweka sawa kimaisha angeendelea vizuri.
Nimeeleza mambo yajuu juu tu, kuna mazito mengi.
Tumwombee Mungu ,kijana Steve apumzike kwa amani.

SOMO: Vijana katika hali yoyote, umasikini au utajiri, tunza upendo kwa familia yako.
Mzee Jacob Msaki hakuwa tofauti na wazazi wetu wengi wa rika lake,kama Steve alisomeshwa mpaka chuo kikuu na kuhitimu,akapata ajira wizara ya ardhi,yaliyofuata sidhani kama mzazi anahusika sana,wazee wa umri wa Jacob walifanana sana tabia
 
Iyo aya ya mwisho Ina itaji kua committed to the maximum.. Asante ntajaribu kuzungumza nae.
Kwangu mimi I am not wvwn trying hard.

Ni kama kuzima taa tu unabonyeza taa inazima.

I hardly think about it.

Halafu mimi mjivuni sana ile failure siipensi kabisaaa. Nataka mimi siku zote niwe mshindi dhidi ya pombe, pombe isinishinde mimi.
 
Kwangu mimi I am not wvwn trying hard.

Ni kama kuzima taa tu unabonyeza taa inazima.

I hardly think about it.

Halafu mimi mjivuni sana ile failure siipensi kabisaaa. Nataka mimi siku zote niwe mshindi dhidi ya pombe, pombe isinishinde mimi.
Wengi ni vice versa yaan ni binadamu special Sana na wachache wanaweza kufanya hivyo trust me.

Wengi hawawezi hata kumaliza week moja wakiwa alcohol free yaani anakua hawezi maliza siku.
 
Mzee Jacob Msaki hakuwa tofauti na wazazi wetu wengi wa rika lake,kama Steve alisomeshwa mpaka chuo kikuu na kuhitimu,akapata ajira wizara ya ardhi,yaliyofuata sidhani kama mzazi anahusika sana,wazee wa umri wa Jacob walifanana sana tabia
Hatutaki kumsema sana marehemu Jacob Msaki, lakini hakuwa na maadili ya uaminifu wa kifedha wala kimahusiano, very selfish and self centered.
 
Dar vijijininasikia huko kulikuwa na uchaguzi wa vitongoji
Chanika usishangae ukasikia ameonekana simba.
Mwaka 2009 kuna jamaa aliuwa Simba na kijembe cha kulimia mpunga, alimuokoa mjomba wake alidakwa alipoenda kupiga kojo choo cha nje.
Huko mbele ndani zaidi Dondwe Simba walikuwa wanamaliza ng'ombe wa mzungu mmoja Babu David Robertson R.I.P.
 
Nafikiri wewe ulikuwa unamfahamu vizuri.
Aliumiza wengi.

Mshua ndugu zake walikuwa jirani zetu ndipo nilipowajulia Steven na Priscilla tangu wadogo.

Washua wa miaka ile ukiwakuta wanoko wanoko kweli.

Kuna mmoja alikuwa rafiki yake na mshua wangu.

Yeye alikuwa katibu mkuu wizara fulani, amesoma ana PhD enzi hizo za Mwinyi PhD za kuhesabika. Ofisini wizarani alikuwa anasema hawezi kuongea na mtu asiye na degree.

Akaja kupata scandal ya ubadhirifu akawekwa ndani. Huko ndani mbona watu wote waliokuja kumtembelea aliongea nao vizuri tu bila kujali wana degree au hawana 😂😂😂

Kuna mwingine mshua wake mshikaji wangu wa Oysterbay, ukifika kwake lazima akuulize unakaa wapi, baba yako anaitwa nani, anafanya kazi wapi. Alikuwa hataki mtoto wake awe na marafiki wasioeleweka.

Basi siku hiyo tumeenda na mshkaji kwao tunatoka Tambaza shule. Mshua akaukiza huko njiani mnaongea nini, mnaongea mambo ya shuke?

Mimi na ukweli wangu nikajibu "pamoja na hayo", nikimaanisha tunaongea mengi, panoja na mambo ya shuke.

Basi yule mshua eti akanimind kwa nini nimejibu "pamoja na hayo", alitaka nimxanganye na kusema tunaongelea mambo ya shule ndiyo.
 
Mshua ndugu zake walikuwa jirani zetu ndipo nilipowajukia Steven na Priscilla tangu wadogo.

Washua wa miaka ile ukiwakuta wanoko wanoko kweli.

Kuna mmoja alikuwa rafiki yake na mshua wangu.

Yeye alikuwa katibu mkuu wizara fulani, amesoma ana PhD enzi hizo za Mwinyi PhD za kuhesabika. Ofisini wizarani alikuwa anasema hawezi kuongea na mtu asiye na degree.

Akaja kupata scandal ya ubadhirifu akawekwa ndani. Huko ndani mbona watu wote waliokuja kumtembelea aliongea nao vizuri tu bila kujali wana degree au hawana 😂😂😂

Kuna mwingine mshua wake mshikaji wangu wa Oysterbay, ukifika kwake lazima akuulize unakaa wapi, baba yako anaitwa nani, anafanya kazi wapi. Alikuwa hataki mtoto wake awe na marafiki wasioeleweka.

Basi siku hiyo tumeenda na mshkaji kwao tunatoka Tambaza shule. Mshua akaukiza huko njiani mnaongea nini, mnaongea mambo ya shuke?

Mimi na ukweli wangu nikajibu "pamoja na hayo", nikimaanisha tunaongea mengi, panoja na mambo ya shuke.

Basi yule mshua eti akanimind kwa nini nimejibu "pamoja na hayo", alitaka nimxanganye na kusema tunaongelea mambo ya shule ndiyo.
Ha ha ha , mshua laiyewekwa ndani ni yule wa ujenzi?
 
Back
Top Bottom