Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,358
- 3,372
Tunamtaka na yeye alekebishe haraka vinginevyo tutampeleka kwenye tume ya maadili kwa kupotosha. Atoe kauli kwa UMMA NA BUNGE MANA IPO KWENYE HANSADI ZA BUNGE. ya kujirekebisha alipotupotosha kuwa Yesu alitembea na mke wake. Ni jambo dogo sana hili, sasa kazi kwake mana nkuki kwa ngurue kwa binadamu ............Alimaanisha Yusuf kuweni na akili za kuvukia hata road
USSR