Zombi Mweusi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 842
- 1,743
Bila hata kupepesa macho jamaa siasa anaijua.
1) Kasema atatengeneza ajira laki tano kila mwaka; means kwa miaka mitano kutakuwa na ajira 2.5ml hichi ni kweli kabisa hajataka kusema uongo
2) Ataboresha bima ya afya kutoka watoto wa mwaka 1 hadi 10 watakuwa hawalipi hata senti.
3) Wale waliotumbuliwa kwenye vyeti feki watalipwa mafao yao na kama hawamuamini yupo tayari kuingia mkataba. Kwa hizi nondo za huyu jamaa CCM na Chadema mtasubiri sana, labda mngeungana kuweza kumshinda huyu mwamba.
Hatufanyi makosa tena HASHIMU RUNGWE ni chaguo la Watanzania.
1) Kasema atatengeneza ajira laki tano kila mwaka; means kwa miaka mitano kutakuwa na ajira 2.5ml hichi ni kweli kabisa hajataka kusema uongo
2) Ataboresha bima ya afya kutoka watoto wa mwaka 1 hadi 10 watakuwa hawalipi hata senti.
3) Wale waliotumbuliwa kwenye vyeti feki watalipwa mafao yao na kama hawamuamini yupo tayari kuingia mkataba. Kwa hizi nondo za huyu jamaa CCM na Chadema mtasubiri sana, labda mngeungana kuweza kumshinda huyu mwamba.
Hatufanyi makosa tena HASHIMU RUNGWE ni chaguo la Watanzania.