Hayati Magufuli baba wa uchumi wa Taifa la Tanzania, kaburi lake linawatisha wabaya wake na wametishika

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Sep 4, 2019
1,398
3,907
KABURI LA MAGUFULI KULE CHATO BADO LINATISHA

Agenda ya Upinzani kwa sasa ni Kulishambulia Kaburi la JPM na JPM mwenyewe. Toka wameruhusiwa kufanya mikutano ya Hadhara wameshindwa kuleta hoja zinazohusu wananchi badala yake wanapambana na Marehemu.

JPM hakuwa wa kwanza kuongoza nchi kwa namna alivyoiongoza. Kasomeni Letter from the Grave inayozungumzia maisha aliyoyakuta Kuan Yew Singapore na alipoiacha alipokufa.

Singapore tulikuwa nayo sawa kiuchumi miaka 1965 Leo wanatoa Elimu ya kiwango Cha juu kabisa, wanatoa huduma Bora za afya nk. Hawa walianza na uthubutu na walianza na miundombinu ambayo ndio njia ya kuyafikia hayo maendeleo ya watu. Aliyechangia mabadiliko hayo pale Singapore alikuwa ni Lee Kuan Yew. Mwanzoni hakuelewaka lakini leo ndio wanamuita baba wa Taifa hilo.

Wakati haya yakifanyika watu wa Singapore walikuwa wanalalamika kuwa tunanyanyasika nk. Kuan Yew aliwahi kuanzisha Sera ya stop at two yaani usizidishe watoto wawili ili kupunguza unemployment, watu walilalamika, mashirika ya haki za binadamu walilalamika, Media zilipiga kelele lakini alisimamia msimamo huo huo siku moja alipohojiwa kuhusu Hilo alisema “I am often accused of interfering in the private lives of citizensv(1987). Had I not done that, we wouldn’t be here today. And I say without the slightest remorse ... we would not have made economic progress if we had not intervened on very personal matters.” haya yalikuwa majibu yake.

JPM anayeshambuliwa na Chadema ifike mahali sasa waache na watafute agenda nyingine ambazo zitagusa wananchi moja kwa Moja. Kwa nn nasema hivyo?….katika kipindi chake JPM…..

1. Watumiaji wa Umeme waliongezeka nchini toka asilimia 35 Hadi asilimia 85. Yaani JPM alipoingia madarakani alikuta Ni asilimia 35 tu ya watanzania wenye Umeme kabla hajafa wanaotumia Umeme majumbani walifikia asilimia 85.

2. Alishusha gharama za kuunganisha umeme toka 177,000 Hadi 27,000. Alipoingia JPM Madarakani alikuta Bei ya Umeme shilingi 177,000 na nguzo ilikuwa Ni shughuli tuliambiwa nguzo zinaagizwa SA kabla hajafa ukiwa na elfu 27,000 unafungiwa umeme.

3.Vijiji vilivyounganishwa na umeme kwa miaka Mitano katika kipindi chake vilikuwa 9,112 toka vijiji 2,018 JPM alivyovikuta 2015.

4. Tulikuwa hatuna Rada na tulitegemea Kenya kutuongozea anga letu. Kwa miaka mitano JPM alitufungia rada nne ambazo zipo viwanja vya ndege vya Daresalam, Mwanza, Songwe na Kilimanjaro.

5. Kwa upande wa usafiri wa Maji zimekarabatiwa meli ya mafuta ya MT. Sangara, hii ipo ziwa Tanganyika, ziwa Victoria zimekarabatiwa meli Tano. MV Victoria, MV Butiama, Mv Claris, Mv Umoja na MV Wimbi.

6. Alituanzishia Elimu Bure
7. Alituanzishia ujenzi wa SGR
8. Alituanzishia ujenzi wa Bwawa la Umeme.
9. Alitununulia ndege
10. Alitujengea hospital na Barabara za kutosha.

Huyu alikuwa mwana CCM alikufa akiwa CCM na ni jukumu la CCM kulinda image yake hata kama hayupo. Kwa CCM tujifunze kitu muhimu sana nilichowahi kuandika kuhusu tofauti kati ua Mentor na Competitor. Niliwahi kusema kuna tofauti kati ya misamiati hiyo miwili. Mentor ni mtu unayepewa au unayemtafuta akusaidie katika kazi wakati unaanza kazi mpya au biashara mpya ambayo hujawahi kuifanya awali.

Competitor ni mtu anayejitokeza kushindana na wewe katika field uliyopo, mara nyingi hawa hujitokeza wenyewe na hawatafutwi.Ni kosa kubwa kumchukua au kumfanya mtu ambaye ana skills, Uzoefu na Knowledge kubwa katika eneo la kazi yako au biashara unayofanya na kumfanya Competitor. Huyu unatakiwa umfanye mentor na si Competitor wako.

Mark Zuckerberg CEO wa mtandao wa Facebook aliwahi kuhojiwa na Charlie Rose katika kipindi cha American talk Show, akasema nyuma ya mafanikio yake kuna Mentor anayeitwa Steve Jobs. Katika ukuraza wake wa Facebook pia Zuckerber aliwahi kumshukuru Steve Jobs kwa msaada anaompa.

Bill Gate huyu mnamjua kutokana na utajiri wake.Aliwahi kufanyiwa mahojiano na CBC Bill Gate hakusita kumtaja mtu anayeitwa Buffet kama mtu anayemfundisha mambo ya kibiashara na namna ya kuendesha kampuni lake. Bill Gate alidai Buffet ni mtu anayemfundisha kuchukua mambo magumu na kuyafanya kuwa marahisi kabisa. Hii ni kutokana na uzoefu aliokuwa nao Buffet katika eneo jipya aliloingia Bill Gate.

Richard Branson mwanzilishi wa kampuni la Virgin Group, aliwahi kusema kama ukiwauliza wafanyabiashara wowote waliowahi kufanikiwa wamefanikiwaje hawataacha kuwataja mentors wao. Richard Branson yeye alimtaja Freddie Laker ambaye alikuwa mfanyabiashara wa ndege kama Mentor wake.

Hawa ni baadhi tu ya watu waliokiri kuwa Mentors wao wamewafanya kuwa kama walivyo sasa. Ni jambo la kawaida kuwa unaweza Kufanikiwa kuliko Mentor wako lakini Kamwe usimdharau au kumtupa.

Tatizo kubwa ni watu kushindwa kutambua nani ni Mentor na ni nani Competitor wako. Kwa CCM lishikeni sana neno hili kwa JPM wakati tunaelekea kwenye uchaguzi Serikali za Mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025.

Kwa upande wa Upinzani Haswa Chadema.

Kuna hoja nyingi za kutangaza Sera zenu mkasikika na kupata wafuasi wengi kuliko kushambuliana na Marehemu. Kuna wafanyakazi wanalalamika kuhusu Kikokotoo kuna wanaolalamika bei ya vyakula nk.

Mfano Ili ule Wali nyama Mlo mmoja kwa Familia yenye watu watano itakupasa uwe na Shilingi 10,000

Mchele 1 Kg 3,500
Nyama Nusu KG 5,000
Mafuta ya 1,000
Viungo (Nyanya, Vitunguu, nk) 1,000

Jumla 10,500

Wali maharagwe ili ule gharama itakuwa 10,000 Kinachobadilika hapo ni bei ya maharagwe ambayo 4,500.

Milo miwili mtu angalau kwa familia ya watu watano asubuhi unapaswa kuacha kuanzia 20,000 hadi 25,000. Tena hii familia iishi kwa adabu iachane na mambo ya Chai asubuhi.

Hapa bado Nishati ya kupikia Chakula hicho.

Kwa hesabu za Darasa la Pili kutoa, kujumlisha na kugawanya kwenye familia ya namna hii mkuu wa Kaya anatakiwa awe anafanya kazi inayomlipa kwa mwezi angalau 600,000.

Hapa akijichanganya tu kwenye hiyo laki sita akatoa hapo hela ya Nauli na Kodi tu kuna siku familia haitapata chakula kabisa. Tujiuliza asilimia ngapi za watanzania wenye kipato angalau cha 600,000 kwa mwezi?

Kipindi cha JPM walikuwa wanalamika kuhusu maendeleo ya vitu na watu. Nadhani turudi kwenye hoja zile za Maendeleo ya watu na Vitu.Kwa bahati Mbaya sana Upinzani hauoni Hoja hizi na Bunge ambalo lina wawakilishi wa wananchi pia hawalioni Jambo hili na kushughulika na Shida za wananchi ili Serikali itekeleze.
 
Apumzike kwa amani ,ni shujaa ambae kafanyia makubwa hili taifa kwa muda mfupi but kila siku anapewa Tuhuma zisizo na ushahidi .
FB_IMG_1665831491154.jpg
-%20KumbukiziMTAFUTANO.jpg
 
Lile Hutu bado chawa wake(Sukuma gang) wanahangaika kulisafisha? Lile uaji halisafishiki especially hiyo mifano inayoji-contradict(Singapore walipewa kikomo cha kuzaa wawili hivi Jibwa lile msimamo wake ulikuwaje kwenye hilo?) Kuwa na wivu kwa entrepreneurs kwa kuwapora mali na fedha huku akiua private sector kwa ujumla wake ndiyo ilikuwa njia yake ya kukuza uchumi? Au kuhakikisha tenders zote za constructions zinakwenda kwenye kampuni yake(Mayanga constructions) ndiyo ulikuwa uzalendo/Uchato/Umagufuli?
Lile jibwa lilikuwa jizi na kifo chake imekuwa neema kwa taifa.
 
Lile Hutu bado chawa wake(Sukuma gang) wanagangaika kulisafisha? Lile uaji halisafishiki especially hiyo mifano inayoji-contradict(Singapore walipewa kukomo cha kuzaa wawili hivi Jibwa lile msimamo wake ulikuwaje kwenye hilo?) Kuwa na wivu kwa entrepreneurs kwa kuwapora mali na fedha huku akiua private sector kwa ujumla wake ndiyo ilikuwa njia yake ya kukuza uchumi? Au kuhakikisha tenders zote za constructions zinakwenda kwenye kampuni yake(Mayanga constructions) ndiyo ulikuwa uzalendo/Uchato/Umagufuli?
Lile jibwa lilikuwa jizi na kifo chake imekuwa neema kwa taifa.
Lile shikishwa ukuta limekuja hapa likijifanya mwamba baada ya kuishiwa hoja ndani ya wiki mbili likaamua kutimua kurudi kwa rob amster. Lilidhani labda na huku litapata jamaa wa kulitekenya! Liambieni lizoee maisha ya huko tu linakokaa na kulishwa bure na akina rob amster kwa kwa kubadilishana na kuuza na kudharaulisha utu wake. Bongo atuachie sisi wanaume wa shoka tunaoiweza. Lisu, kiongozi wa mashoga Africa, ulaya na Asia.
 
KABURI LA MAGUFULI KULE CHATO BADO LINATISHA

Agenda ya Upinzani kwa sasa ni Kulishambulia Kaburi la JPM na JPM mwenyewe. Toka wameruhusiwa kufanya mikutano ya Hadhara wameshindwa kuleta hoja zinazohusu wananchi badala yake wanapambana na Marehemu.
-
JPM hakuwa wa kwanza kuongoza nchi kwa namna alivyoiongoza. Kasomeni Letter from the Grave inayozungumzia maisha aliyoyakuta Kuan Yew Singapore na alipoiacha alipokufa.
-
Singapore tulikuwa nayo sawa kiuchumi miaka 1965 Leo wanatoa Elimu ya kiwango Cha juu kabisa, wanatoa huduma Bora za afya nk. Hawa walianza na uthubutu na walianza na miundombinu ambayo ndio njia ya kuyafikia hayo maendeleo ya watu. Aliyechangia mabadiliko hayo pale Singapore alikuwa ni Lee Kuan Yew. Mwanzoni hakuelewaka lakini leo ndio wanamuita baba wa Taifa hilo.
-
Wakati haya yakifanyika watu wa Singapore walikuwa wanalalamika kuwa tunanyanyasika nk. Kuan Yew aliwahi kuanzisha Sera ya stop at two yaani usizidishe watoto wawili ili kupunguza unemployment, watu walilalamika, mashirika ya haki za binadamu walilalamika, Media zilipiga kelele lakini alisimamia msimamo huo huo siku moja alipohojiwa kuhusu Hilo alisema “I am often accused of interfering in the private lives of citizensv(1987). Had I not done that, we wouldn’t be here today. And I say without the slightest remorse ... we would not have made economic progress if we had not intervened on very personal matters.” haya yalikuwa majibu yake.
-
JPM anayeshambuliwa na Chadema ifike mahali sasa waache na watafute agenda nyingine ambazo zitagusa wananchi moja kwa Moja. Kwa nn nasema hivyo?….katika kipindi chake JPM…..

1. Watumiaji wa Umeme waliongezeka nchini toka asilimia 35 Hadi asilimia 85. Yaani JPM alipoingia madarakani alikuta Ni asilimia 35 tu ya watanzania wenye Umeme kabla hajafa wanaotumia Umeme majumbani walifikia asilimia 85.

2. Alishusha gharama za kuunganisha umeme toka 177,000 Hadi 27,000. Alipoingia JPM Madarakani alikuta Bei ya Umeme shilingi 177,000 na nguzo ilikuwa Ni shughuli tuliambiwa nguzo zinaagizwa SA kabla hajafa ukiwa na elfu 27,000 unafungiwa umeme.

3.Vijiji vilivyounganishwa na umeme kwa miaka Mitano katika kipindi chake vilikuwa 9,112 toka vijiji 2,018 JPM alivyovikuta 2015.

4. Tulikuwa hatuna Rada na tulitegemea Kenya kutuongozea anga letu. Kwa miaka mitano JPM alitufungia rada nne ambazo zipo viwanja vya ndege vya Daresalam, Mwanza, Songwe na Kilimanjaro.

5. Kwa upande wa usafiri wa Maji zimekarabatiwa meli ya mafuta ya MT. Sangara, hii ipo ziwa Tanganyika, ziwa Victoria zimekarabatiwa meli Tano. MV Victoria, MV Butiama, Mv Claris, Mv Umoja na MV Wimbi.

6. Alituanzishia Elimu Bure
7. Alituanzishia ujenzi wa SGR
8. Alituanzishia ujenzi wa Bwawa la Umeme.
9. Alitununulia ndege
10. Alitujengea hospital na Barabara za kutosha.

Huyu alikuwa mwana CCM alikufa akiwa CCM na ni jukumu la CCM kulinda image yake hata kama hayupo. Kwa CCM tujifunze kitu muhimu sana nilichowahi kuandika kuhusu tofauti kati ua Mentor na Competitor. Niliwahi kusema kuna tofauti kati ya misamiati hiyo miwili. Mentor ni mtu unayepewa au unayemtafuta akusaidie katika kazi wakati unaanza kazi mpya au biashara mpya ambayo hujawahi kuifanya awali.
-
Competitor ni mtu anayejitokeza kushindana na wewe katika field uliyopo, mara nyingi hawa hujitokeza wenyewe na hawatafutwi.Ni kosa kubwa kumchukua au kumfanya mtu ambaye ana skills, Uzoefu na Knowledge kubwa katika eneo la kazi yako au biashara unayofanya na kumfanya Competitor. Huyu unatakiwa umfanye mentor na si Competitor wako.
-
Mark Zuckerberg CEO wa mtandao wa Facebook aliwahi kuhojiwa na Charlie Rose katika kipindi cha American talk Show, akasema nyuma ya mafanikio yake kuna Mentor anayeitwa Steve Jobs. Katika ukuraza wake wa Facebook pia Zuckerber aliwahi kumshukuru Steve Jobs kwa msaada anaompa.
-
Bill Gate huyu mnamjua kutokana na utajiri wake.Aliwahi kufanyiwa mahojiano na CBC Bill Gate hakusita kumtaja mtu anayeitwa Buffet kama mtu anayemfundisha mambo ya kibiashara na namna ya kuendesha kampuni lake. Bill Gate alidai Buffet ni mtu anayemfundisha kuchukua mambo magumu na kuyafanya kuwa marahisi kabisa. Hii ni kutokana na uzoefu aliokuwa nao Buffet katika eneo jipya aliloingia Bill Gate.
-
Richard Branson mwanzilishi wa kampuni la Virgin Group, aliwahi kusema kama ukiwauliza wafanyabiashara wowote waliowahi kufanikiwa wamefanikiwaje hawataacha kuwataja mentors wao. Richard Branson yeye alimtaja Freddie Laker ambaye alikuwa mfanyabiashara wa ndege kama Mentor wake.
-
Hawa ni baadhi tu ya watu waliokiri kuwa Mentors wao wamewafanya kuwa kama walivyo sasa. Ni jambo la kawaida kuwa unaweza Kufanikiwa kuliko Mentor wako lakini Kamwe usimdharau au kumtupa.
-
Tatizo kubwa ni watu kushindwa kutambua nani ni Mentor na ni nani Competitor wako. Kwa CCM lishikeni sana neno hili kwa JPM wakati tunaelekea kwenye uchaguzi Serikali za Mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025.

Kwa upande wa Upinzani Haswa Chadema.

Kuna hoja nyingi za kutangaza Sera zenu mkasikika na kupata wafuasi wengi kuliko kushambuliana na Marehemu. Kuna wafanyakazi wanalalamika kuhusu Kikokotoo kuna wanaolalamika bei ya vyakula nk.

Mfano Ili ule Wali nyama Mlo mmoja kwa Familia yenye watu watano itakupasa uwe na Shilingi 10,000

Mchele 1 Kg 3,500
Nyama Nusu KG 5,000
Mafuta ya 1,000
Viungo (Nyanya, Vitunguu, nk) 1,000

Jumla 10,500

Wali maharagwe ili ule gharama itakuwa 10,000 Kinachobadilika hapo ni bei ya maharagwe ambayo 4,500.

Milo miwili mtu angalau kwa familia ya watu watano asubuhi unapaswa kuacha kuanzia 20,000 hadi 25,000. Tena hii familia iishi kwa adabu iachane na mambo ya Chai asubuhi.

Hapa bado Nishati ya kupikia Chakula hicho.

Kwa hesabu za Darasa la Pili kutoa, kujumlisha na kugawanya kwenye familia ya namna hii mkuu wa Kaya anatakiwa awe anafanya kazi inayomlipa kwa mwezi angalau 600,000.

Hapa akijichanganya tu kwenye hiyo laki sita akatoa hapo hela ya Nauli na Kodi tu kuna siku familia haitapata chakula kabisa. Tujiuliza asilimia ngapi za watanzania wenye kipato angalau cha 600,000 kwa mwezi?

Kipindi cha JPM walikuwa wanalamika kuhusu maendeleo ya vitu na watu. Nadhani turudi kwenye hoja zile za Maendeleo ya watu na Vitu.Kwa bahati Mbaya sana Upinzani hauoni Hoja hizi na Bunge ambalo lina wawakilishi wa wananchi pia hawalioni Jambo hili na kushughulika na Shida za wananchi ili Serikali itekeleze.
Mchafu hachafuliwi. Magufuli alijichafua mwenyewe hivyo kilichopo ni wapambe wake na wanufaika wake ndiyo wanataka kumsafisha.

Unaweza kumchafua vipi mtu aliyekuwa anamiliki mwenyewe kikundi cha wasiojulikana kinateka watu, kinatesa na kinaua? Unaweza kumchafua vipi mtu ametuma kikundi kiikamuue Tundu Lissu akiwa bungeni?

Unaweza kumchafua vipi mtu aliyekikri mwenyewe kuwa ni kichaa?

Unaweza kumchafua vipi mtu anasema siwezi kuleta maendeleo hapa kwa vile mlichagua mpinzani?


Muache aendelee kuoza huko aliko, tuko mikono salama na SSH
 
KABURI LA MAGUFULI KULE CHATO BADO LINATISHA

Agenda ya Upinzani kwa sasa ni Kulishambulia Kaburi la JPM na JPM mwenyewe. Toka wameruhusiwa kufanya mikutano ya Hadhara wameshindwa kuleta hoja zinazohusu wananchi badala yake wanapambana na Marehemu.
-
JPM hakuwa wa kwanza kuongoza nchi kwa namna alivyoiongoza. Kasomeni Letter from the Grave inayozungumzia maisha aliyoyakuta Kuan Yew Singapore na alipoiacha alipokufa.
-
Singapore tulikuwa nayo sawa kiuchumi miaka 1965 Leo wanatoa Elimu ya kiwango Cha juu kabisa, wanatoa huduma Bora za afya nk. Hawa walianza na uthubutu na walianza na miundombinu ambayo ndio njia ya kuyafikia hayo maendeleo ya watu. Aliyechangia mabadiliko hayo pale Singapore alikuwa ni Lee Kuan Yew. Mwanzoni hakuelewaka lakini leo ndio wanamuita baba wa Taifa hilo.
-
Wakati haya yakifanyika watu wa Singapore walikuwa wanalalamika kuwa tunanyanyasika nk. Kuan Yew aliwahi kuanzisha Sera ya stop at two yaani usizidishe watoto wawili ili kupunguza unemployment, watu walilalamika, mashirika ya haki za binadamu walilalamika, Media zilipiga kelele lakini alisimamia msimamo huo huo siku moja alipohojiwa kuhusu Hilo alisema “I am often accused of interfering in the private lives of citizensv(1987). Had I not done that, we wouldn’t be here today. And I say without the slightest remorse ... we would not have made economic progress if we had not intervened on very personal matters.” haya yalikuwa majibu yake.
-
JPM anayeshambuliwa na Chadema ifike mahali sasa waache na watafute agenda nyingine ambazo zitagusa wananchi moja kwa Moja. Kwa nn nasema hivyo?….katika kipindi chake JPM…..

1. Watumiaji wa Umeme waliongezeka nchini toka asilimia 35 Hadi asilimia 85. Yaani JPM alipoingia madarakani alikuta Ni asilimia 35 tu ya watanzania wenye Umeme kabla hajafa wanaotumia Umeme majumbani walifikia asilimia 85.

2. Alishusha gharama za kuunganisha umeme toka 177,000 Hadi 27,000. Alipoingia JPM Madarakani alikuta Bei ya Umeme shilingi 177,000 na nguzo ilikuwa Ni shughuli tuliambiwa nguzo zinaagizwa SA kabla hajafa ukiwa na elfu 27,000 unafungiwa umeme.

3.Vijiji vilivyounganishwa na umeme kwa miaka Mitano katika kipindi chake vilikuwa 9,112 toka vijiji 2,018 JPM alivyovikuta 2015.

4. Tulikuwa hatuna Rada na tulitegemea Kenya kutuongozea anga letu. Kwa miaka mitano JPM alitufungia rada nne ambazo zipo viwanja vya ndege vya Daresalam, Mwanza, Songwe na Kilimanjaro.

5. Kwa upande wa usafiri wa Maji zimekarabatiwa meli ya mafuta ya MT. Sangara, hii ipo ziwa Tanganyika, ziwa Victoria zimekarabatiwa meli Tano. MV Victoria, MV Butiama, Mv Claris, Mv Umoja na MV Wimbi.

6. Alituanzishia Elimu Bure
7. Alituanzishia ujenzi wa SGR
8. Alituanzishia ujenzi wa Bwawa la Umeme.
9. Alitununulia ndege
10. Alitujengea hospital na Barabara za kutosha.

Huyu alikuwa mwana CCM alikufa akiwa CCM na ni jukumu la CCM kulinda image yake hata kama hayupo. Kwa CCM tujifunze kitu muhimu sana nilichowahi kuandika kuhusu tofauti kati ua Mentor na Competitor. Niliwahi kusema kuna tofauti kati ya misamiati hiyo miwili. Mentor ni mtu unayepewa au unayemtafuta akusaidie katika kazi wakati unaanza kazi mpya au biashara mpya ambayo hujawahi kuifanya awali.
-
Competitor ni mtu anayejitokeza kushindana na wewe katika field uliyopo, mara nyingi hawa hujitokeza wenyewe na hawatafutwi.Ni kosa kubwa kumchukua au kumfanya mtu ambaye ana skills, Uzoefu na Knowledge kubwa katika eneo la kazi yako au biashara unayofanya na kumfanya Competitor. Huyu unatakiwa umfanye mentor na si Competitor wako.
-
Mark Zuckerberg CEO wa mtandao wa Facebook aliwahi kuhojiwa na Charlie Rose katika kipindi cha American talk Show, akasema nyuma ya mafanikio yake kuna Mentor anayeitwa Steve Jobs. Katika ukuraza wake wa Facebook pia Zuckerber aliwahi kumshukuru Steve Jobs kwa msaada anaompa.
-
Bill Gate huyu mnamjua kutokana na utajiri wake.Aliwahi kufanyiwa mahojiano na CBC Bill Gate hakusita kumtaja mtu anayeitwa Buffet kama mtu anayemfundisha mambo ya kibiashara na namna ya kuendesha kampuni lake. Bill Gate alidai Buffet ni mtu anayemfundisha kuchukua mambo magumu na kuyafanya kuwa marahisi kabisa. Hii ni kutokana na uzoefu aliokuwa nao Buffet katika eneo jipya aliloingia Bill Gate.
-
Richard Branson mwanzilishi wa kampuni la Virgin Group, aliwahi kusema kama ukiwauliza wafanyabiashara wowote waliowahi kufanikiwa wamefanikiwaje hawataacha kuwataja mentors wao. Richard Branson yeye alimtaja Freddie Laker ambaye alikuwa mfanyabiashara wa ndege kama Mentor wake.
-
Hawa ni baadhi tu ya watu waliokiri kuwa Mentors wao wamewafanya kuwa kama walivyo sasa. Ni jambo la kawaida kuwa unaweza Kufanikiwa kuliko Mentor wako lakini Kamwe usimdharau au kumtupa.
-
Tatizo kubwa ni watu kushindwa kutambua nani ni Mentor na ni nani Competitor wako. Kwa CCM lishikeni sana neno hili kwa JPM wakati tunaelekea kwenye uchaguzi Serikali za Mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025.

Kwa upande wa Upinzani Haswa Chadema.

Kuna hoja nyingi za kutangaza Sera zenu mkasikika na kupata wafuasi wengi kuliko kushambuliana na Marehemu. Kuna wafanyakazi wanalalamika kuhusu Kikokotoo kuna wanaolalamika bei ya vyakula nk.

Mfano Ili ule Wali nyama Mlo mmoja kwa Familia yenye watu watano itakupasa uwe na Shilingi 10,000

Mchele 1 Kg 3,500
Nyama Nusu KG 5,000
Mafuta ya 1,000
Viungo (Nyanya, Vitunguu, nk) 1,000

Jumla 10,500

Wali maharagwe ili ule gharama itakuwa 10,000 Kinachobadilika hapo ni bei ya maharagwe ambayo 4,500.

Milo miwili mtu angalau kwa familia ya watu watano asubuhi unapaswa kuacha kuanzia 20,000 hadi 25,000. Tena hii familia iishi kwa adabu iachane na mambo ya Chai asubuhi.

Hapa bado Nishati ya kupikia Chakula hicho.

Kwa hesabu za Darasa la Pili kutoa, kujumlisha na kugawanya kwenye familia ya namna hii mkuu wa Kaya anatakiwa awe anafanya kazi inayomlipa kwa mwezi angalau 600,000.

Hapa akijichanganya tu kwenye hiyo laki sita akatoa hapo hela ya Nauli na Kodi tu kuna siku familia haitapata chakula kabisa. Tujiuliza asilimia ngapi za watanzania wenye kipato angalau cha 600,000 kwa mwezi?

Kipindi cha JPM walikuwa wanalamika kuhusu maendeleo ya vitu na watu. Nadhani turudi kwenye hoja zile za Maendeleo ya watu na Vitu.Kwa bahati Mbaya sana Upinzani hauoni Hoja hizi na Bunge ambalo lina wawakilishi wa wananchi pia hawalioni Jambo hili na kushughulika na Shida za wananchi ili Serikali itekeleze.
Yaani umeandika shairi zuri tu na naona unavyoumia na kuteseka sana.
Ila hapa mwisho umemaliza Kwa kosa la kuwataja wapinzani! Nani kakudanganya! Wanaingiaje hapa?
Si uwaulizene hao wabunge waliingiaje hapo na wanafanya Nini kumuenzi aliyewapa nafasi hiyo??
Unamaanisha hata Rais na Mawaziri huwaamini?
Mbona wengine bado ni chaguo lake kama hao wabunge?

Mahafidhina wako wengi!!
 
Mchafu hachafuliwi. Magufuli alijichafua mwenyewe hivyo kilichopo ni wapambe wake na wanufaika wake ndiyo wanataka kumsafisha.

Unaweza kumchafua vipi mtu aliyekuwa anamiliki mwenyewe kikundi cha wasiojulikana kinateka watu, kinatesa na kinaua? Unaweza kumchafua vipi mtu ametuma kikundi kiikamuue Tundu Lissu akiwa bungeni?

Unaweza kumchafua vipi mtu aliyekikri mwenyewe kuwa ni kichaa?

Unaweza kumchafua vipi mtu anasema siwezi kuleta maendeleo hapa kwa vile mlichagua mpinzani?


Muache aendelee kuoza huko aliko, tuko mikono salama na SSH
MUSIBA ako wapi ??
Ndio utajua Machawa !!
 
Mkuu kuna watu humu wameajiriwa kwa kazi moja tu, kutukana jina la Magufuli kila litakapoonekana et ili wananchi tusahau sera zake tuungane na sera za wapigaji walioshindwa kuongoza tangu kipindi cha Jakaya.
Magufuli yupo mioyoni mwa wananchi. Na kila mabaya yanavyoongezeka raia wanaugua zaidi mioyoni mwao wakimkumbuka shujaa wao JPM.
Waombe sana 2024-2025 kisitokee chama chenye kunadi sera za Magufuli. Hakika hawa mapacha wawili Ccm na Cdm habari yao ndio itakuwa Mwisho.
 
Back
Top Bottom