Uyu jamaa atajaza Sana viwanjaMwamba
alisema kila kitu utakuta huko mpaka vijiko na pilipili hzi za mwendokasiananiacha hoi sana faza etu huyu anasema kwenye kampeni sisi twende na vijiko na pilpili tu
Dah...Wana ubwabwa tena?..Bora tuitwe Wana ubeche...Wanachauma tutambuane hapa..
A.k.a wana ubwabwa..
Loh mna ubwabwa.Wanachauma tutambuane hapa..
A.k.a wana ubwabwa..😜
😂😂 Okay tunapindua wana ubweche..😜Dah...Wana ubwabwa tena?..Bora tuitwe Wana ubeche...
Kitu Cha wali..Loh mna ubwabwa.......
Wale wanaoahidi kulipa mishahara x2 au watawapa ajiraHivi wewe ukiambiwa nipigie kura ili ule ubwabwa wa bure, mtu huyo anakuchukuliaje?
Nawe kweli utampiga, nawe tukuelewe vipi ?
Lishe inayoanguka kama manna toka mbingune?Wale wanaoahidi kulipa mishahara x2 au watawapa ajira
Sio rushwa? Au wanachukuliaje?.
Tatizo hujaielewa sera yake ya LISHE mashuleni
anauhusiano wowote na yale mabasi ya rungwe express ?
Hakuna uhusiano wowote pale.anauhusiano wowote na yale mabasi ya rungwe express ?
nimekupata mkuuHakuna uhusiano wowote pale.