Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Sidhani kama ni sahihi kutilia mashaka kauli ya kenge kuhusu mamba. Waziri Sophia Simba anajua anafanya nini na kwa kweli zingatia kabisa kuwa wizara mbili nyeti na hasa usalama wa taifa na takukuru zinaangukia sana katika wizara inayoshughulika na masula ya utawala bora, anajua anafanya nini.

Hili la madawa ya kulevya, mmhmhh



MLEVI MARA ZOTE NI MKWELI
 
habari za nyongeza kutoka ndani ya kikao dodoma

jamanihakuna jambo ambalo halikuzungumzwa mzindakaya ndie aliependekeza lowassa,rostam waitwe na mjumbe mwingine akasema bila kumsahau membe na speaker .
hiovyo sophia katika kujibu hiyo hoja akasema jamani hakuna jambo linaloshangaza kama anavyosikia edward edward ,edward kafanyia mengi hii nchi lakini hata wanaowanyooshea kidole sio .
-akamtetea mkapa kwa dakika kumi natano kuwa hawezi kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za uchochezi kutoka nje,kama yaliyotokea kwa chiluba sio rahisi.
pia akasema SFO IMETOA taarifa kamili kwamba chenge hela yake aliipata kihalali na hivyo hana kesi na hatafikishwa mahakamani.
akasistiza kuwa wanaonyoosha kidole na wao sio wasafi


Hii kali na kuna haja ya kufunua kilichofunikwa
 
This was a ploy by CCM to lay a trap for MENI. This idiot got in the net!!!!!!!!!11
Now let him lump it! You think they will forgive him for his newspapaer THIS DAY that is anti CCM?
Mengi should have known this is coming...he claims to be a loyal Tanzanian but now youll see!!!!!!!!!!!
This is the intervl.............
 
Let truth prevail..............mengi is on the way out!!!!!!!!!!!!!!ccm will finish him.................
 
Heeeeeeeeeeeeee!

Hujafa hujaumbika!...Kumbe huyu mama ana Mdomo hivi!..Kweli baraza la mawaziri bongo ni sawa na kundi la taaraabu!

Sasa maneno haya yako huku nje mitaani, na tuamue cha kufanya na hawa watu,... si wanatuongoza sisi?...

Si tumewapa madaraka kwa dhamana?..Tunawaogopa?
Tena sio taarabu tu.bali ya enzi zile za wakina Hadija kopo na nasma kidogo,na tusubiri mipasho zaida toka kwa mama kilango -patakuwa apatoshi hapo.
 
Inapotokea waziri anaehusika na utawala bora na yumo kwenye chama tawala akiwatangazia umma hakuna aliemsafi CCM..JAMANI wengi wanakuja na mawazo tofauti kwangu mimi''anamaanisha

RAIS...NAE fisadi
Baraza la mawaziri nalo MAFISADI
WANACHAMA WA CCM WOTE MAFISADI
WANAOKIPIGIA KURA CCM MAFISADI
KATIBU WA CCM FISADI
HALMASHAURI KUU ZOTE ZA CCM MAFISADI
UMOJA WA VIJANA CCM (UVCCM) MAFISADI

Jamani naomba niweke wazi pamoja na maneno machafu yaliomtoka mama yetu ama kwa bahati mbay ama kwa makusudi naomba niwahikikshie ccm ninayoijua mimi wapo watu wasafi...na watu hao hata siku moja utokaa kusikia wakipewa madaraka maana watakuwa kinyume na familia ya mafisadi nahivyo kuweka usalama wa serikali ya CCM matatani...mama simba labda umeingia zam na kukuta pesa zinachotwa kama njugu na kuchanganyikiwa nazo napenda kukuhakikishia kuna waliowahi kukataa pesa za mafisadi kama hizo mnazopokea kwa kina ROSTAM...na wengineo...
 
It is very warm to witness our democracy maturing. Swali ni moja. How are we?--as a people, going to deal with the tremors of maturing democratic processes. Can we maintain our cool and keep on nurturing democracy or kuwekeana chuki na kuwa tayari kuingia vitani?

We have a clear choice, that is 2010. In mean time, we can maintain our cool and stopping the hatred that is growing rapidly amongst wabongo.
 
mbona SS hajawatolea maelezo EL,RA na membe jinsi wanavyoiyumbisha nchi. maelezo yake yamelenga watu walewale
 
Sidhani kama ni sahihi kutilia mashaka kauli ya kenge kuhusu mamba. Waziri Sophia Simba anajua anafanya nini na kwa kweli zingatia kabisa kuwa wizara mbili nyeti na hasa usalama wa taifa na takukuru zinaangukia sana katika wizara inayoshughulika na masula ya utawala bora, anajua anafanya nini.

Hili la madawa ya kulevya, mmhmhh


MLEVI MARA ZOTE NI MKWELI

Ukweli asioukubali ni kuwa yeye "amelewa/mlevi". Kwa maana hiyo sio mara zote!
 
Heeeeeeeeeeeeee!

Hujafa hujaumbika!...Kumbe huyu mama ana Mdomo hivi!..Kweli baraza la mawaziri bongo ni sawa na kundi la taaraabu!

Sasa maneno haya yako huku nje mitaani, na tuamue cha kufanya na hawa watu,... si wanatuongoza sisi?...

Si tumewapa madaraka kwa dhamana?..Tunawaogopa?

Mkuu PJ, nchi nyingine waziri wa juu kama huyo kuropokaropoka maneno ya hovyo namna hii angeshafukuzwa kazi siku nyingi sana, lakini huyu naye Kikwete anamuogopa kumuondoa maana anaweza kugeuza kibao na kumpararura Kikwete kuhusiana na kampeni zake za kuingia Ikulu 2005. Kikwete kimyaaaa! kwa mara nyingine tena. Kweli Watanzania tuna kiongozi mbovu. Hata kumuita kiongozi inatia kichefuchefu maana hana anachoongoza yupo yupo tu.
 
Miaka ya nyuma kidogo kulikuwa na neno pashkune; dikumbuki maana yake halisi ila linaendandana sana na tabia za mama Sofia Simba. Tangu aingie kwenye siasa, sijawahi kumskikia akisema jambo la maana. Ila kwa tunaoumjua mambo yake ya mitaani hatushangai kumwona anaropoka hivyo, ndiyo maana nasema kuwa Pashkune nie neno linafaa sana kumwelezea huyu bibie.
 
Ninaamini yale tunayoyafanya huwa yanaonyesha sisi ni kina nani.Huyu mama sidhani kama ni kiongozi.Anaaibisha waliompa huo wadhifa maana ni mropokaji, mgomvi, mtukanaji etc. Kitu kibaya anabehave as if she is Invisible kama alivyo Robot wa JF!!!.......!!
Mkuu wangu.
Nakusihi usimfananishe huyu mama na Robot kwani sijawahi kusoma uropokaji wala matusi ya Invisible hapa jukwaani. Aidha Robot ni kiongozi wa kupigwa mfano kwani anaprommote na kupractice demokrasia kuliko uwajuao. Kwani anaweza kupigwa madongo na SISI bila kumban mtu. ila ukiinsult others anakushukia kama mwewe.

Hivyo ktk mfano wako (labda si kwa maana mbaya) mtoe ROBOT ktk rail
 
Mkuu wangu.
Nakusihi usimfananishe huyu mama na Robot kwani sijawahi kusoma uropokaji wala matusi ya Invisible hapa jukwaani. Aidha Robot ni kiongozi wa kupigwa mfano kwani anaprommote na kupractice demokrasia kuliko uwajuao. Kwani anaweza kupigwa madongo na SISI bila kumban mtu. ila ukiinsult others anakushukia kama mwewe.

Hivyo ktk mfano wako (labda si kwa maana mbaya) mtoe ROBOT ktk rail

Labda alishawahi kukutana na rungu la JF akawa banned japo asichojua kuwa wanaoteremsha rungu ni mods na siyo Big Brother Invisible
 
Mkuu wangu.
Nakusihi usimfananishe huyu mama na Robot kwani sijawahi kusoma uropokaji wala matusi ya Invisible hapa jukwaani. Aidha Robot ni kiongozi wa kupigwa mfano kwani anaprommote na kupractice demokrasia kuliko uwajuao. Kwani anaweza kupigwa madongo na SISI bila kumban mtu. ila ukiinsult others anakushukia kama mwewe.

Hivyo ktk mfano wako (labda si kwa maana mbaya) mtoe ROBOT ktk rail

Inawezekana alishawahi kukutana na rungu la JF asijue kuwa ni kazi ya mods akakilimbilia kufikiri ni Big Brother Invisible.
 
Mkuu PJ, nchi nyingine waziri wa juu kama huyo kuropokaropoka maneno ya hovyo namna hii angeshafukuzwa kazi siku nyingi sana, lakini huyu naye Kikwete anamuogopa kumuondoa maana anaweza kugeuza kibao na kumpararura Kikwete kuhusiana na kampeni zake za kuingia Ikulu 2005. Kikwete kimyaaaa! kwa mara nyingine tena. Kweli Watanzania tuna kiongozi mbovu. Hata kumuita kiongozi inatia kichefuchefu maana hana anachoongoza yupo yupo tu.


hii meli inaenda mrama abiria inabidi tutafute namna ya kujiokoa uozo uozo ndani ya serikari yetu na uongozi wake kwa ujumla
inatisha sana
 
Yaani huyu amma anaonyesha jinsi alivyo mshari yaani hoja zake zote azitoazo ni zile la he he he he type! Sasa hapa ni kama anasutana na watu huku kaweka kidole juu na sketi kaipandishia kiunoni- shame on her and aliyempa huo uongozi!! uozo mtupu
 
mjadala wangu na Zitto nitajaribu kuutoa kwenye PDF kwani naamini ni mojawapo ya mijadala muhimu sana humu katika kuelewa demokrasia yetu.
 
Narudia tena kusema Mh. Rais ana kigugumizi kuwawajibisha kina Hosea na wengineo kwa vile anajua wataumbuana kama alivyosema Hosea "....kama ni kuumbuana hata mimi naweza sana".
Sasa waacheni waumbuane, wafitiniane, wafichiane maovu; mwishowe tuwatoe kama wote wanaogopana. Watanzania, muda umefika tuchague chama kingine ili tujue mengi waliyoyaficha kwa kulindana na kuogopana; kumekucha! Kususia uchaguzi siyo suluhisho la matatizo yetu, ufumbuzi uko kwenye maamuzi yetu wenyewe!
Mimi napata tabu kuamini kuwa uoga wa Rais ni kuumbuliwa na watu hao (wadogo sana kimadaraka na wenye ushawishi finyu). Ukweli ni kuwa, anaweza akawafanya lolote bila wao kumuumbua kwa lolote.

Naamini kuwa Rais mwenye nia, hata kama aliingia madarakani kwa njia zisizokubalika, Katiba ya nchi inamlinda sana. Kumbuka, hakuna mtu anaeweza kuweka pingamizi la matokeo ya uchaguzi wa Rais katika mahakama zetu. Vile vile, kashfa yoyote kwa Rais wa JMT ni kosa la jinai.

Naamini tu kuwa Rais ameamua kuachia maswahiba wake wajinome na chochote kinachoweza kuwafanya wanufaike na rasilimali za nchi hii. Hakuna uoga wala hofu ya namna yoyote. Ameamua kuachia mambo yaende kama yalivyo, BASI.
 
Back
Top Bottom