Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Sidhani kama ni sahihi kutilia mashaka kauli ya kenge kuhusu mamba. Waziri Sophia Simba anajua anafanya nini na kwa kweli zingatia kabisa kuwa wizara mbili nyeti na hasa usalama wa taifa na takukuru zinaangukia sana katika wizara inayoshughulika na masula ya utawala bora, anajua anafanya nini.
Hili la madawa ya kulevya, mmhmhh
MLEVI MARA ZOTE NI MKWELI
Hili la madawa ya kulevya, mmhmhh
MLEVI MARA ZOTE NI MKWELI