Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

mjadala wangu na Zitto nitajaribu kuutoa kwenye PDF kwani naamini ni mojawapo ya mijadala muhimu sana humu katika kuelewa demokrasia yetu.

Mkuu Mwanakijiji tuletee huo mjadala katika PDF maana najua utakuwa umejaa mambo mazito na ya muhimu kwa taifa letu.

Naamini yote yanayotokea sasa katika nchi hasa huu uozo na kuwa na viongozi ambao hawana dira wala muelekeo siku moja utaisha tu.

Wakati mwingine huwa namuonea huruma JK kwasababu hana mtu wa kumsaidia katika baraza lake la mawaziri kama mawaziri wenyewe design zao ndiyo hizo za akina Sofia Simba! Mhh mungu ulisaidie taifa letu katika kipindi hiki kigumu.

Naamini JK anayaona na anafanyia kazi huu uozo unaotolewa na mawaziri wake kama hawa.
 
hatari sana JK ypo wapi au ndio anajiandaa na uchaguzi ujao anaogopa asije maliza maneno mapema
 
Bwana Yesu rudi uiokoe hii meli ya TITANIC inayozamaaaaaaa, uiiiiii jamani tunaenda wapi. Mimi naogopa hawa viongozi wasio na busara ni taabu tupu.
 
Alisema sana mama Kahama watu mkampinga mama wa watu akanyinyamazia kimyaa leo yanatokea ndo mnajua huyu mama mshari akina mama kama hawa sisi uswahili tunawaita vimeo type
 
huyu mama anaandamwa na mapepo mengi tu mengi sana yaani ni uncountable...kwanza mapepo aliyoyaendea kwa waganga wakati wa UWT...na yule mmama alimwonnya asishiriki kwenye ushirikina...haya yanayotokea ni mapigo na bado mengi

mapepo ya ndoza za watu haya yanamsumbua lakini kwa ustahi...hayamjeruhi sana nahisi bado ajaingia kwenye anga shufwa akawewezeka vilivyo......

mapepo ya UFISADI haya ndio kiongozi namba moja ndio yanayomfanya huyu mama yuko radhi ata kumtukana babake/mamake mzazi ili mradi kuyafurahisha haya mapepo na yeye kuneemeka kwenye account zake...haya mapepo yana muda wake...ukishajeruhi kama mjeruhiwa akisimama na MUNGU hakika account inaisha...inakuwa aibu kwa familai...mama simba huo ni msaada wa bure uitaji kwenda kwa sheikh yahya
 
huyu mama anaandamwa na mapepo mengi tu mengi sana yaani ni uncountable...kwanza mapepo aliyoyaendea kwa waganga wakati wa UWT...na yule mmama alimwonnya asishiriki kwenye ushirikina...haya yanayotokea ni mapigo na bado mengi

mapepo ya ndoza za watu haya yanamsumbua lakini kwa ustahi...hayamjeruhi sana nahisi bado ajaingia kwenye anga shufwa akawewezeka vilivyo......

mapepo ya UFISADI haya ndio kiongozi namba moja ndio yanayomfanya huyu mama yuko radhi ata kumtukana babake/mamake mzazi ili mradi kuyafurahisha haya mapepo na yeye kuneemeka kwenye account zake...haya mapepo yana muda wake...ukishajeruhi kama mjeruhiwa akisimama na MUNGU hakika account inaisha...inakuwa aibu kwa familai...mama simba huo ni msaada wa bure uitaji kwenda kwa sheikh yahya

Teh teh teh,

Hii ya mapepo ya ndoa za watu imenimaliza kabisa. Wale wanamaombi wa Mwanza wanahitajika haraka sana ili kuanza Sala.
 
..Sophia Simba kasema ukweli jamani.

..ukiwa umechagua upande ktk ugomvi unaoendelea ndani ya CCM basi utapata matatizo na aliyoyasema Sophia Simba.

..naomba mjadala wa Sophia Simba kushinda uchaguzi wa UWT uletwe hapa. baadhi yenu mlikuwa mnamsifia huyu Mama leo mnamgeuka.

..CCM IMEOZA SASA HIVI. VIONGOZI WAKE WOTE WAMEFAIDIKA NA FEDHA HARAMU KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE.

NB:

..naomba haya mashambulizi kwamba huyu mama ni mhuni na amevunja ndoa za watu, yaelekezwe pia kwa viongozi wanaume wa CCM wenye tabia kama zake.

..Sophia Simba kazungumzia ufisadi ndani ya CCM povu tayari linawatoka. je, akiamua kuzungumzia ngono na ufuska kwenye chama tawala itakuwaje?
 
..
..naomba mjadala wa Sophia Simba kushinda uchaguzi wa UWT uletwe hapa. baadhi yenu mlikuwa mnamsifia huyu Mama leo mnamgeuka.

Hivyo Ndivyo Tulivyo JokaKuu. Ni wangapi hapa walimuunga mkono (sielewi hata kwa nini) Kikwete mwaka 2005 na leo wamemgeuka? Na sitashangaa watu hawahawa waliomgeuka Kikwete sasa hivi kumuunga mkono tena 2010.
 
Wana JF Salaam
Ndugu zangu while ninakubaliana na baadhi yenu kuwa mzee kwa mara ya kwanza nimeona amejibu tuhuma vizuri tu kwenye PF yake.
Wakati simlaumu mzee huyu kwa kurespond hivyo lakini kama kawaida yangu ninaamini amekosea [pengine kwa vile hana jukwa ndani ya ccm] lakini cha msingi habari hizi za mama simba amezipata wapi? maana kile kikao kilikuwa siyo hadhara [closed] Hata mama kilango kwa maoni yangu amechemsha sana kwani hizo tuhuma mama simba alizitoa kwenye kikao ambacho yeye alikuwa mjumbe kama hivyo basi kipi kilichomfanya apanick na kuongea hadharani?
Mimi ninampa tano mama simba kwani right or wrong lakini hakuogopa kusema kile anachoamini [hata kama sikweli] kwenye kikao halali.
Hata hivyo ninaona ccm imeingiwa na mamluki wa siasa kwani kila kinachozungumza kwenye vikao habari lazima zivuje na hii imetokana na kupokea wanachama bila kuchuja-
Wakitaka kuendelea vizuri itabidi wafukuzane chamani maana ninaona hakuna namna huko tunapokwenda kwani opportunist wengi wameingia ndani ya chama hicho.
Wasalaam
 
Julius,

..halafu kwanini huyu Mama anashutumiwa kwa ufuska wakati tunavumilia viongozi wanaume ndani ya CCM ambao ni mafuska zaidi yake?

..naomba wanaomshutumu Mama Sophia Simba wawataje na hao wanaume anaoshirikiana nao ktk ufuska wake.
 
Julius,

..halafu kwanini huyu Mama anashutumiwa kwa ufuska wakati tunavumilia viongozi wanaume ndani ya CCM ambao ni mafuska zaidi yake?

..naomba wanaomshutumu Mama Sophia Simba wawataje na hao wanaume anaoshirikiana nao ktk ufuska wake.

Jokakuu,

wanaume aliotembea nao Mama Simba yalitajwa hapa weekend hii. Mimi sitaki ugomvi na watu -- pitia hii thread kwa makini utaona majina ya viongozi wa juu wa ccm yametajwa.
 
Jokakuu,

wanaume aliotembea nao Mama Simba yalitajwa hapa weekend hii. Mimi sitaki ugomvi na watu -- pitia hii thread kwa makini utaona majina ya viongozi wa juu wa ccm yametajwa.

Unajua vitu vingine jamani ni kuwa wastaarabu kidogo. Yaani mtu kuwasema wenzie kwenye kikao basi imekuwa shida mara katembea au kazaa na nani basi ili mradi mtu aonekane hana maana. Sasa hao mnaowatetea wamezaa na akina nani au ni wangapi wanaishi wenzi wao wa ndoa? Nadhani cha msingi nikuangalia kitu kipi mtu kasema na kwa mazingira yepi. Yule mama kaongea yale mambo ndani ya kikao cha chama chao, hatujamsikia akiwaita waandishi wa habari na kuyasema hayo halafu bado watu wanamwita mropokaji au kakurupuka. Kama mkurupukaji mbona hakuongea kabla ya kikao cha chama chao?
 
Mkodoleaji said:
Unajua vitu vingine jamani ni kuwa wastaarabu kidogo. Yaani mtu kuwasema wenzie kwenye kikao basi imekuwa shida mara katembea au kazaa na nani basi ili mradi mtu aonekane hana maana. Sasa hao mnaowatetea wamezaa na akina nani au ni wangapi wanaishi wenzi wao wa ndoa? Nadhani cha msingi nikuangalia kitu kipi mtu kasema na kwa mazingira yepi. Yule mama kaongea yale mambo ndani ya kikao cha chama chao, hatujamsikia akiwaita waandishi wa habari na kuyasema hayo halafu bado watu wanamwita mropokaji au kakurupuka. Kama mkurupukaji mbona hakuongea kabla ya kikao cha chama chao?

Mkodoleaji,

..hata mimi nimeshangaa kwamba baadhi ya waliolipuliwa na huyu Mama wamekwenda kuzungumza na waandishi wa habari badala ya kumjibu ndani ya kikao.
 
Jokakuu,

wanaume aliotembea nao Mama Simba yalitajwa hapa weekend hii. Mimi sitaki ugomvi na watu -- pitia hii thread kwa makini utaona majina ya viongozi wa juu wa ccm yametajwa.

Hivi huyu Sophie ni hot or not? I'm just curious....
 
Back
Top Bottom