Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Hivi jamani huyo mengi msafi kweli mbona anajidai hivi? Kama kweli atueleze vita gani ya ufisadi anayopigana wakati yeye kasusa kutia mguu pale hotel ya kilimanjaro baada ya kunyimwa ulaji....mmh atueleze ni kweli utajiri alioupata umetokana na mtaji wa kuuza peni na karanga au baada ya kuwapua mabilioni ya walalahoi mwaka 1984 pale benki kuu maana kuna tetesi kuwa wao walihusika kuitia moto benki ile ili kupoteza ushahidi wa madeni yao na hata wale waliokuwa na vielelezo vya wadaiwa wote walipotezwa kimya kimya....mmh atueleze ni kweli alipompa katibu mkuu wa CCM mzee makamba pesa taslimu milioni 100 ili akasaidie uchaguzi huku ikijulikana fika ilikuwa hongo ya mzee huyo....atueleze madeni ya NBC anayodaiwa yamefikia wapi au ameshaipotezea kwa vigezo vya kisheria.....atueleze bwana huyo katika makampuni yake anayomiliki ameajiri watanzania wangapi maana asilimia 90 ya wafanyakazi wake ni vibarua na hata walioajiri wamepewa mikaba ya miaka miwili au mmoja...ajira nyingi zimeenda kwa wachaga na ndugu zake.....atueleze huyu bwana kisa cha kukimbilia kwenye vyombo vya habari kila anapoguswa huku akijua kuna vyombo vya kushughulikia masuala yake kwa mfano kama kweli yeye mwanachama halisi wa CCM na anakitakia mema iweje asitumie taratibu za chama chao kuwasilisha majibu yake kwa mama simba....atueleze alifanya vile kwa manufaa ya nani kama si kumtusi kisirisiri Rais wake na mwenyekiti wake wa chama kuwa viongozi wake aliowachagua hawafai na ni mafisadi.....huyo mzee ni nyoka kama si ndumilakuwili maana anagusika penye masilahi yake. Nasema anaatueleze bwana sio kuleta mbwembwe tuuu.
 
Hivi jamani huyo mengi msafi kweli mbona anajidai hivi? Kama kweli atueleze vita gani ya ufisadi anayopigana wakati yeye kasusa kutia mguu pale hotel ya kilimanjaro baada ya kunyimwa ulaji....mmh atueleze ni kweli utajiri alioupata umetokana na mtaji wa kuuza peni na karanga au baada ya kukwapua mabilioni ya walalahoi mwaka 1984 pale benki kuu maana kuna tetesi kuwa wao walihusika kuitia moto benki ile ili kupoteza ushahidi wa madeni yao na hata wale waliokuwa na vielelezo vya wadaiwa wote walipotezwa kimya kimya....mmh atueleze ni kweli alipompa katibu mkuu wa CCM mzee makamba pesa taslimu milioni 100 ili akasaidie uchaguzi huku ikijulikana fika ilikuwa hongo ya mzee huyo....atueleze madeni ya NBC anayodaiwa yamefikia wapi au ameshaipotezea kwa vigezo vya kisheria.....atueleze bwana huyo katika makampuni yake anayomiliki ameajiri watanzania wangapi maana asilimia 90 ya wafanyakazi wake ni vibarua na hata walioajiri wamepewa mikaba ya miaka miwili au mmoja...ajira nyingi zimeenda kwa wachaga na ndugu zake.....atueleze huyu bwana kisa cha kukimbilia kwenye vyombo vya habari kila anapoguswa huku akijua kuna vyombo vya kushughulikia masuala yake kwa mfano kama kweli yeye mwanachama halisi wa CCM na anakitakia mema iweje asitumie taratibu za chama chao kuwasilisha majibu yake kwa mama simba....atueleze alifanya vile kwa manufaa ya nani kama si kumtusi kisirisiri Rais wake na mwenyekiti wake wa chama kuwa viongozi wake aliowachagua hawafai na ni mafisadi.....huyo mzee ni nyoka kama si ndumilakuwili maana anagusika penye masilahi yake. Nasema anaatueleze bwana sio kuleta mbwembwe tuuu.
 
Hivi huyu Sophie ni hot or not? I'm just curious....

Daaang son, u baaaad!

What if she is, WYHT? Mamam anaonekana kakaa kimipasho mipasho tu unaweza kuongea current events akakupaka akifikiri umemtukana, lol.

03_09_q5ha70.jpg
 
It's only in Tanzania where a person like Sophia Simba can become a leader and a cabinet minister for that fact. Mama kakaa kama muimbaji wa taarabu na hata maneno yake saa nyingine uta fikiri ni nyimbo za akina Hadija Kopa. If it wasn't for her being a minister i wouldn't waste my time on her.

Nafikiri tufike mahali tuone ukweli, kwa nini tunamlaumu Sofia badala ya kumlaumu aliyemweka? maana ieleweke Sofia hakuchaguliwa na wananchi hata mizengwe ya chama cha wanawake wa ccm alichaguliwa kimizegwe.
hivyo Sofia anawatu waliomweka kwa manufaa fulani ikiwa ni pamoja na mkuu wa nchi. Hivyo basi kama ni wa kulaumu labda tumulaumu mkuu mwenyewe kwani anajua kwa nini alimweka hapo.
 
Quote" 90% of bad leaders are selected by good citizens who does not vote". Tuyaonapo haya ya akina Simba tufahamu kwamba watu wengi wenye ufahamu mzuri hawajitokezi kuwakanya kufikia hatua ya kupewa nafasi nyeti kama hii aliyo nayo.

Abraham Linoln alifika mahali akatamka maneno haya:" If you give me six hours to chop down the tree, i will spend the first four hours sharpening an axe". Hivi tunategemea mtu ambaye amekurupuka kupata madaraka kwa njia ya rushwa atakuwa na muda wa kujiandaa na ku-assess maneno atakayoyatoa mbele ya watu?. Hapo anakuwa mkali kama chatu aliyefumwa akila mayai. Wito wangu kwa watanzania, mjitokeze kujiandikisha na kupiga kura, ili tung'oe mizizi ya wachache wanaotutafuna.

Biblia katika kumbukumbu la torati 18, inasema Rushwa hupofusha macho ya wenye hekima. Hapo ustarajie Kingunge , sophia na wengine watakuwa na macho ya kuona!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.

A million thanks for mambo jambo.
 
LOL. Ushindi ni lazima kwa CCM. Tutashinda hata iwe vipi kwani upinzani Bongo umelala na wanaangalia maslahi binafsi tu!
 
LOL. Ushindi ni lazima kwa CCM. Tutashinda hata iwe vipi kwani upinzani Bongo umelala na wanaangalia maslahi binafsi tu!

Mtashinda ndio kwa kulaghai wanyonge kwa T-shirts,kanga na pilau.Ikiwezekana hata kwa kuiba kura na kutishia usalama wa raia wapenda haki.Lakini mwisho wake upo,Hakunaga barabara ndefu isiyo na mwisho,hata ndoto nzuri huwa inaisha.
 
Kwa muda mwingi viongozi wanawake wa TZ, hawapewi respect kama viongozi wanaume.

Maneno anayojibiwa Mheshimiwa Sophia Simba ni ushahidi wa kutosha kwamba, viongozi wanawake ndani ya TZ wanakazi ndefu ya kupigania haki zao. Kuna maneno mengi ambayo yalitamkwa na viongozi wa kiume bila ya kuwa na ushahidi, lakini hatukuona majibu yasiyokuwa na respect kutoka ktk viongozi wa CCM kama tunavyoona sasa hivi.

Kwa mfano, Mrema na Mtikila, hawa viongozi walikuwa wanazungumza watakavyo bila ya kuwa na ushahidi, lakini hawakuwahi kuitwa " Chizi" "Mwendazimu" au "Kichaa". Ubaguzi wa Wanawake ndani ya TZ ni moja ya tatizo kubwa ambalo linatakiwa litatuliwe haraka iwezakanyo.

Mheshimiwa Simba na viongozi wengine wa kike wajibiwe kwa hoja na si kuambiwa "Machizi" "Mal** nk.
 
Mjomba mmhhhhh,

Chunguza kwanza utabahini!!!!

Tibhaijuka je mbona anaweza kujisimamia mwenyewe, Rose Migiro je????

Kuwa kiongozi yahitaji hekima sana na uadilifu mjomba,

Sophia meaning Wisdom sasa yeye kama ameshindwa tu kujitambua sasa tumsaidie vipi hapo?????? Anapawswa kwanza arudi nyuma na kujitambua yeye ni nani na umuhimu wake ktk jamiii ni upi ndipo aanze kusongambele. Ila sasa mbaya zaidi nikuwa kafirisika ki fikla na kupungukiwa na busara ni tatizo kubwa sana hilo.


Ushauri wa bure ajirudi na ajitambue hapo atapata hata nafasi ya kujisafisha japo nusu
 
Two wrongs do not make a right, kama viongozi wa kiume wanachemsha kila siku tunawabana makoo humu, nawe jiunge.

Just because viongozi wa kiume wanachemsha hii haimpi pass Simba kuchemsha with impunity, what kind of mediocrity is that?

Halfu kumuita huyu mama feminist ni kuwatukana feminist, mi nawajua feminist wasomi / werevu wapo Tanzania, nenda TGNP utakutana na baadhi yao, unakaa nao chini mnaongea mambo intellectually, sio huyu Simba hajui hata mlango wa shule unafungukia upande gani.
 
Mkuu kwanza unajua maana ya feminism na features zake? What Sophia Simba is displaying is not feminism. What you are implying is that there is sexism. But non of those cases a true in the case of Sophia binti wa Simba.
 
Hakuna che Feminism, Chauvanism, Lesbianism wala nini katika utendaji wa kazi. That is very personal na wakati mwingine ni kama kisingizio ama defensive mechanism. Alipopewa hiyo kazi ya Uwaziri hakupewa kwa sababu ni Mwanamke alipewa kwa sababu ya sifa zake na utendaji wake wa kazi. Hakukuwa na kigezo cha feminism ingawa rais aliahidi uwakilishi wa kutosha wa kijinsia. Sasa tujiulize mpaka sasa hivi tumepata nini kutoka kwake yeye Sofia Simba?

Ushauri wangu: JF ingeanzisha opinion poll ya Mawaziri wote wa JK aka Muungwana aka VASCO based on their perfomance katika kipindi chote cha miaka mitano.
 
Kwa inshu ya Mrema labda kama unasemea alivyokuwa CCM,mi nakumbuka kuna viongozi walishaitwa hadi Majoka ya mdimu na ni wanaume.
 
Issue ya SS sio gender yake..ni jinsi anavyoyapeleka mambo yake.Kuna mambo anayapeleka yanawapa watu nafasi ya kuulizia uwezo wa kufikiria uko vipi maana yana tia aibu
 
Mkuu umekuja kwa lengo la kumsafisha?? Mbona wanawake wenzie wanajiheshimu kama akina Janet Kahama akina Asha Rose Migiro akina Lucy Owenya
 
Back
Top Bottom