Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Nilifikiri birthday ni November 11? LOL

On a serious note acheni kuingia personal.

Moderators naomba tufunge huu mjadala
 
Mkuu, kumbe Mwalimu alikuwa kiuwembe enhee...tupe basi ushahidi alijirusha na nani...hii haihitaji DNA kama ya Mama Sophia...kumbuka wewe ni Mzee wa facts na unaongea facts tu...prove your self, eti Nyerere alijirusha na nani...?

Mkuu unamkumbuka LUCY CELINA LAMECK?

Alikufa na nini vile?
 
- Mkuu Mtanzania, kwa kawaida huwa nina tabia ya kukataa upuuzi regardless unaelekezwa kwa nani, samahani sana kama nimekukwa za na huo mfano wangu nia haikuwa kutomtendea haki Mwakalinga, nia na madhumuni ilikuwa kuweka wazi kwamba pamoja na kushuka sana kwa maadili ya uongozi Tanzania, haina maana wananchi wote pia tumeishiwa maadili, kuna ambao bado tunayo, tunayasimamia na tunayaishi, na tunazikataa kabisa hizi siasa za kwa kuwa mimi ni fisadi, basi ni lazima nihakikishe wote tunaonekana mafisadi,

- Hii tabia mpya iliyozuka ya viongozi uchwara na machangudoa kama Sophia, ya kuamka tu kuanza kuongea pumba bila facts, kwa Waziri Wa Ofisi Ya Rais anayesimamia Takukuru, anasimama mbele ya kamati muhimu kama hii ya Mwinyi na kujigamba kwamba CCM hakuna msafi, na kwamba Lowassa ni kiongozi bora na hana makosa yoyote, ni lazima wananchi wastaarabu kama mimi tuikatae na tutaikataa mpaka mwisho wa dunia.

- Katika kuongea siasa huwa tunatumia mifano yote ya kisiasa, Mwakalinga aliposhutumiwa hapa JF kuwa amepokea hela za Lowassa nilikuwa wa kwanza kusimama kama sasa kutaka facts, aliposhambuliwa tena hapa JF kwamba amepitia Monduli kwa Lowassa pia nilikuwa wa kwanza kudai facts kama ninavyodai facts kuhusu huu upuuuzi wa Sophia, na ahsante kwa kunikumbusha kwamba Sophia ameongea to the public, ninavyofahamu ni kwamba aliongea kwenye kamati tu, ambako hakuna waandishi wa habari wala vyombo vya habari, lakini nimekusikia sana mkuu na samahani sana mimi nilidhani kua hizi ishus zinafanana za kupakana matope,

- Again samahani sana na sitarudia tena mkuu, isipokuwa tu simtetei kiongozi yoyote, mimi huwa ninasimamia principle na sio watu fulani ukiwekwa ukweli sawa, lakini huu upuuuzi wa mitaani hapana bado hili taifa tupo wenye kusikia aibu, na kutumia commonsense as opposed na hawa kina Sophia,

- Again, Mkuu Mtanzania samahani sana kwa kukukwaza, my bad na it won't happen again, promise!

Field Marshall Es!

Mkuu FMES,

Nimekuelewa mkuu na hakuna tatizo; tuendelee kukata issues. Kinachotokea kwenye hii mikutano ya viongozi wa CCM kwa kweli kinasikitisha mno. Nimejiuliza mara nyingi wiki hii, imekuwaje hawa watu ndio wakawa viongozi wa nchi yetu?

Bahati mbaya sana ikifika 2010 tutawarudisha watu hao hao ili waendelee kuropoka na nchi iendelee kuwa hoi bin maskini.

Mambo mengine sio tu yanafehedha chma, bali yanatufedhesha hata sisi wananchi wote.
 
Guninita sio wa kwenda Mirembe bali ni wa kusaidia madaftari na kalamu afaulu elimu yake ya sekondari anayosoma kwa sasa!

Hao wengine naona waenende Mirembe maana nijuavyo chama kinatafuta wanachama na sio kuwakana wanachama.

Hii ilikuwa nafasi kwa CCM kucheck kama Mengi ni mwananchama na kama sio mwanachama basi kumfuata ofisini kwake na kumpatia kadi.

Sasa huyo kichaa mwingine anakurupuka na kumkana mwanachama wetu!!
 
Hapa kuna more tha what meets the eye, kuna internal infighting, kuna factions na agendas ambazo hazisemwi wazi.

CCM wanataka kutuambia kwamba wana rekodi zote za wanachama wote kutoka 1977? Really? Hata kama wangekuwa na databases za computer hili lingekuwa na shaka, sembuse vidaftari na ledgers vyao.
 
hawa wapuuzi; yeye kasema kadi yake ni ya mwaka fulani, ya namba fulani imetolewa Kisutu; huyo mtu wa CCM anatakiwa kusema "hiyo kadi ni yauongo, kadi yenye namba hii haipo, na tawi la Kisutu halikutoa kadi hiyo tarehe na mwaka huo"...

Habari imekwisha; lakini katika wazimu wao wanataka mtu awapigie magoti, awalambe lambe, awamwagie maua na kuwaimbia wimbo wa CCM nambari one.

well said .....
 
Mengi kaanza kuto tambuliwa na anao wapa mapesa kushinda na kududumiza haki za watanzania , kesho wana weza kuanza kumhoji uraia wake .Maana hawa jamaa hawakawilii
 
- Maviongozi goi goi, yanashindwa kuongoza taifa yanaanza kulilia Mengi, what Mengi has to do na uozo wa viongozi hawa? Taifa halieleweki, Waziri Mkuu nani Rais nani wananchi ni nani wafanyabiashara ni nani hakieleweki, ishus za serikali unaweza kumuingiza anybody it is okay, hivi Rais wa nchi hii yuko wapi?

- Onetime Gobarchev, alienda US akiwa Rais wa USSR alipofika JFK wakamletea Donald Trump kumpokea, akawauliza huyu mtu ni nani kwenye serikali wale arrogants wakamjibu eti humjui Trump? Mrusi yule masikini ya Mungu hakuelewa kabisa kwamba what Trump has to do na serikali?

- Sasa look Tanzania, nilisema huko nyuma vacuum ya uongozi, kila mtu anajaribu ku-fill in walianza na Mahakama ya kadhi, ikaja waraka wa Katoliki, ukaja waraka wa Wasilamu, mafisadi na NEC, sasa kamati ya Mwinyi, Mawaziri wanaongea huko kama wananchi wa vijijini wasio elewa lolote, wasiokuwa na power yoyote, hakuna kunachoeleweka Rais ndio kwanza atashuka New York anytime, dalili zote sasa ziko wazi kwamba mafisadi wako on the way to take over, kweli huyu Lowassa ni hatari sana,

- Lakini ninaomba kumtumia ujumbe mzito sana Lowassa na kundi lake ambao wengine wapo humu JF, hili taifa sio lenu nyiyi tu na hela zenu za ufisadi, sio kweli kwamba wabongo tutakaa pembeni na kuwaacha mkituvuruga, tutafika mahali tutawavuruga pia na hayo madaraka mnayolilia hamtapata kamwe, maana sio sisi wananchi wote ni wajinga kama hawa mnaowapa hizo hela zenu chafu!

Respect.

FMEs!
 
Nchi ipo kwenye Auto Pilot...

Mwenye meno anatafuna. JK safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana!
 
habari za nyongeza kutoka ndani ya kikao dodoma

jamanihakuna jambo ambalo halikuzungumzwa mzindakaya ndie aliependekeza lowassa,rostam waitwe na mjumbe mwingine akasema bila kumsahau membe na speaker .
hiovyo sophia katika kujibu hiyo hoja akasema jamani hakuna jambo linaloshangaza kama anavyosikia edward edward ,edward kafanyia mengi hii nchi lakini hata wanaowanyooshea kidole sio .
-akamtetea mkapa kwa dakika kumi natano kuwa hawezi kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za uchochezi kutoka nje,kama yaliyotokea kwa chiluba sio rahisi.
pia akasema SFO IMETOA taarifa kamili kwamba chenge hela yake aliipata kihalali na hivyo hana kesi na hatafikishwa mahakamani.
akasistiza kuwa wanaonyoosha kidole na wao sio wasafi
 
habari za nyongeza kutoka ndani ya kikao dodoma

jamanihakuna jambo ambalo halikuzungumzwa mzindakaya ndie aliependekeza lowassa,rostam waitwe na mjumbe mwingine akasema bila kumsahau membe na speaker .
hiovyo sophia katika kujibu hiyo hoja akasema jamani hakuna jambo linaloshangaza kama anavyosikia edward edward ,edward kafanyia mengi hii nchi lakini hata wanaowanyooshea kidole sio .
-akamtetea mkapa kwa dakika kumi natano kuwa hawezi kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za uchochezi kutoka nje,kama yaliyotokea kwa chiluba sio rahisi.
pia akasema SFO IMETOA taarifa kamili kwamba chenge hela yake aliipata kihalali na hivyo hana kesi na hatafikishwa mahakamani.
akasistiza kuwa wanaonyoosha kidole na wao sio wasafi

Hao ambao si wasafi..si ndio tunataka waende mahakamani yeye ndio anadhamana ..so tunawasubiri waitwe mahakamani vingenevyo..awajibishwe kwa maneno yake ..siyo kupimwa..akili mbona mnampa ujanja wa kujitetea wakili wake anaweza kusema mteja (sophia) hanazo...akishindwa kuwakamata yeye apelekwe mahakamani kwa uzembe..
 
habari za nyongeza kutoka ndani ya kikao dodoma

jamanihakuna jambo ambalo halikuzungumzwa mzindakaya ndie aliependekeza lowassa,rostam waitwe na mjumbe mwingine akasema bila kumsahau membe na speaker .
hiovyo sophia katika kujibu hiyo hoja akasema jamani hakuna jambo linaloshangaza kama anavyosikia edward edward ,edward kafanyia mengi hii nchi lakini hata wanaowanyooshea kidole sio .
-akamtetea mkapa kwa dakika kumi natano kuwa hawezi kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za uchochezi kutoka nje,kama yaliyotokea kwa chiluba sio rahisi.
pia akasema SFO IMETOA taarifa kamili kwamba chenge hela yake aliipata kihalali na hivyo hana kesi na hatafikishwa mahakamani.
akasistiza kuwa wanaonyoosha kidole na wao sio wasafi

Mkuu, swali kidogo kwako.

Ulikuwa ndani ya hiki kikao?
 
Back
Top Bottom