- Ndugu yangu mbona unahangika sana, unahngaikia nini hasa? kinachikuwsha ni nini hasa mkuu haya maneno unatunga tunga ili yakusaidie nini?
1. Sophia amemsifia Lowassa kuwa ni Mwanaume wa shoka na kwamba hajawahi kuona kiongozi safi na mchapakazi kama yeye, amesifia Rostam, Karamagi, na Makamba kwamba ni viongozi imara sana an wasafi na hasa Makamba kwamba anakiweka chama pazuri sana.
- Hayo ya viongozi wanne umeyatunga na kuyabandika tu hapo uonekane uko objective kumbe ni ayako ni ile ile tu kumchafua Malecela na mkewe, unachohangikia nini hasa mkuu?
2. Mama Kilango alikutwa na madawa ya kulevya na nani? kampeni zote za uchaguzi wapinzani wake wameshindwa kuyasema hayo, kwenye kampeni za urais Sophia alikuwa upande wa Mtandao kwa nini hakusema haya? Waziri wa Takukuru anashindwa nini kutoa ushahidi wa madai yake na kummaliza adui yake mkubwa Mama Kilango?
Unahangaika bure ndugu yangu, hutafanikiwa mafisadi Tanzania tunawafahamu na wanafahamika sana, hizi dataz ni zako sio za kutoka huko kwenye kamati na unapoteza muda wako bure tu even though ninajua kuwa una muda mwingi sana wa mchezo, lakini unahangaika bure! Kama Mama Kilango is too good kuuza madawa ya kulevya ni upuuuzi usio na mfano! kama wazazi wenu ni mafisadi na mmeshiriki kula hela zao za kifisadi poleni sana lakini sio wote ni lazima ni mafisadi, unahangaika bure tu mkuu!
- Hizi dataz ni zako wewe tu mkuu wala hazina anything to do na huko Dodoma!
FMEs!