- Hakuna anaye-divert anything hapa na hutishi mtu na hii mi-ID yako mkuu, Sophia ameongea bila usahidi lakini yeye ushahidi upo wazi kwa kuzaa watoto wanne na viongozi wanne ambao ni waume wa marafiki zake, watoto wapo this is a fact, sasa na wewe tuletee facts za wizi wa Malecela na mkewe hapa tuwahukumu, otherwise acha longo longo peleka hasira zako za maisha huko.
- Mimi ndiye niliyesema kwamba Sophia hafai kuwa waziri wa Takukuru, kwa sababu yeye maadili ya binafsi hana sasa itakua sheria na maadili ya taifa, sasa nielimishe ninacho-divert hapo ni nini? Mimi sitishiki na hii mi-ID yako, muhimu ni hoja na facts ambazo huna! nilitaka kupumzika lakini naona hukubali sasa tuendelee kucheza hii ngoma!
FMEs!