Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,968
- 727
Hakuna cha utawala bora wala ushuzi......Waziri Simba alitakiwa kuonyesha mfano. Kama alijua kuwa Malecela kalamba m200 kutoka kwa fisadi, walishindwa nini kufanya uchunguzi tokea mwanzo...badala yake wanakuja na DOUBLE POSHO kwa wabunge.
This time mtasema yote, nafikiri ni wakati muafaka muanze kuungama.
This time mtasema yote, nafikiri ni wakati muafaka muanze kuungama.