Kama kweli anatetea matakwa ya mteuaji, tumekwisha.Sophia Simba anatekeleza matakwa ya mteuajii....
hana chakupotezaa..wanamwihitaji sana kwa michezo yao ya kufikia ushindii..
Kama kweli anatetea matakwa ya mteuaji, tumekwisha.Sophia Simba anatekeleza matakwa ya mteuajii....
hana chakupotezaa..wanamwihitaji sana kwa michezo yao ya kufikia ushindii..
Ndio maana nikasema tangu jana,utampaje Wizara Nyeti kama hiyo mtu muhudhuriaji mzuri wa Travertien Hotel kwenye mipasho ya akina Yusuph Mzee! No wonder ipo siku atawanyooshea vidole juu mpaka Bungeni akidhani yupo Tandale kwa mtogole!- Ninamfahamu sana huyu waziri tena kwa karibu sana, na kwa yoyote anayemfahamu vizuri anajua kwamba haya ni maneno yake binafsi kwa sababu ndio kawaida yake kuzungumza maneno low na out of sense.
William.
Naungana na wewe mkuu. Tena acha watukanwe sana maana kama kweli unachukia ufisadi hauwezi kukaa ndani ya CCM. Ona sasa wanakumbushiana viporo vya miaka hiyoooo. Tokeni mkapambane kivyenuuu.Kila kukicha naombea kikao hiki cha CCM kiendelee vyema.. NAOMBEA HATIMA YAKE IWE ni Kuvunjika kwa CCM....... Na vitokee vyama vi2 vyenye nguvu sawa... Natamani chama kimojawapo kiitwe Chama Cha Mafisadi na Kingine kiitwe Chama Cha Wazalendo....... Mungu yupo na watanzania.
DC,vichwa vya kuku vina afadhali,tungekuwa tunaruka mara moja tukishitukia deal,mimi nadhani tunadhalilishwa kama vile tuna Vichwa vya Kondoo! Kila kitu kwetu ni hewala Bwana.Naona kinachotokea hapa Tanzania kinatia kichefu chefu na kutudhalilisha Watanzania wote kana kwamba wote tuna vichwa vya kuku! Very sad in deed😕
Hivi Bill unaweza kutuambia zile hela walizompora majambazi Mama Killango wakati ule wanajiandaa kwa kampeni alizitoa wapi?
BILL COOL DOWN YOUR TEMPER MZEE, PARA ONE ILITOSHA KWA MAJIBU YA HUYO NDG MBOMA Jr.- Zile Shillingi Laki mbili walizompora na masanduku yake ya biashara toka US, au una maana zingine?
- It is about time sasa ukajibu swali la msingi Baba yako mdogo Mboma alikupa hela ngapi za Kiwira kumsomeshea mtoto wake uliyekuwa unaishi naye? kuwa mkweli ndugu yangu!
William.
Sasa wewe umegusa pabaya mkuuu, acha kabisa kaka. hapo pabayaa mkuu.
- Zile Shillingi Laki mbili walizompora na masanduku yake ya biashara toka US, au una maana zingine?
- It is about time sasa ukajibu swali la msingi Baba yako mdogo Mboma alikupa hela ngapi za Kiwira kumsomeshea mtoto wake uliyekuwa unaishi naye? kuwa mkweli ndugu yangu!
William.
Unajua Semenya wakati mwingine unashangaa watu wanapoamua kuwatetea watu ambao wanatia shaka. CCM ni mafisadi na wananchi wengi wanalalamika tatizo labda hawajapata mbadala. Hili kundi la wanaojiita wapiganaji waliichukua issue ya ufisadi ambayo CHADEMA walikuwa wanapigana nayo vizuri ili kupunguza nguvu za Chadema. Sasa wamejikuta wanapambana wao kwa wao. Kama wangekuwa wasafi si wangehamia CHADEMA ili waendeleze mapambano? (ushauri wangu kwa CHADEMA endeleeni kuwasha moto hata hawa wanaojiita wapambanaji kama wana uchafu wao usemeni).
.
K4,Sikubaliani na wewe,
Unasema CCM wote ni mafisadi je unao ushahidi? waache wapambane humohumo unataka wakimbie chama wamwachie RA na Chenge!! jamani mwenye ushahidi wa hawa wapambanaji apeleke mahakamani ndo sisi wananchi tutamwelewa huyo Simba. Na kwanini hii yote itokee wakati huu, mara Hosea huyo Bungeni, mara Sophia hii yote ni kutapatapa.
Kinachosikitisha ni kwamba huyu ni Waziri wa wizara muhimu kama aliyonayo na pia ni Mwenyekiti wa Umaoja wa Wanawake wa Tanzania.
Mama Simba anaelekea kutumia vibaya taarifa anazozipata kutoka vyombo vya DOLA vilivyo chini ya wizara yake. Watampotosha jamaa wa UwT na TAKUKURU. Yeye ni outsider kama sisi wengine. Watamwangusha tu. Anasema NDOA takatifu ya JSM na Mama Kilango ilifadhiliwa na JEETU PATEL?!
Uliyoyasema kwenye kamati ya mzee Mwinyi ni ya aibu kwa aliyekuteua na wale uliojaribu kuwatetea. Sitaki niyarudie lakini kwa heshima yote uliyobakia nayo your time is up ma'am. Thank you for your unforgetable diservice to our country. Tukiamka tusikie umejiuzulu na kuwa mfano wa utawala bora. Usisubiri uundiwe kamati.
Maneno mazito kaka, yani mpaka nasikitika, naogopa,natetemeka...sina lakusema.its really un - unethical to use reports he have in pocession in her political debates....au conflicts....maana kwa mtu anayejuwa ethics huwezi kumpa idara nyeti mtu mpayukaji....pale wakekaa mawaziri kwa uchache kama mheshimiwa ..bhoke munanka,peter syovelwa,kawawa,hassy kitine,masilingi...etc..Sijapata kuona waziri asiyekuwa na maadili kama SOPHIA kukaa pale wizara ya ikulu...sisemi kuwa sophia hafai kuwa waziri lah...ILA HAFAI KUWA WAZIRI WA USALAMA[UTAWALA BORA]...kwani INTERGRITY yake is QUESTIONABLE....sasa atasimamiaje intergrity za wengine....
USALAMA WA TAIFA HAWAJAWAHI KUONEKANA MBWA KOKO KAMA KIPINDI HIKI...kwanza walitumika kufanya kampeni za UWT...CCM,PCB .walisimamia ugawaji wa rushwa huku wakizuia mshindani asitoe..na mengine mengi machafu.....MWISHO WA YOTE KIKWETE AKAMTETEA KUWA MSOMI HUYU ANAFAA KUWA KINARA WA WANAWAKE......yaani kwa maana nyingine ukimuangalia sophia unapata picha ya wanawake waliowengi.....
Ukitumegea kidogo itakuwa vizuri mkuu,nina hamu kupata walau kdogo cha hayo aliyotapika.