Ilumine
Senior Member
- Dec 27, 2008
- 196
- 4
...... Naibu Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Emanuel Nchimbi alitumia nafasi yake kuomba maridhiano ya wabunge wa CCM, kujenga moyo wa kusameheana ili chama kisonge mbele.
Hakuna kusameheana hapa, haki itendeke, maridhiano yawe katika kuutafuta ukweli wa mambo, sio kuridhiana kwa kutunziana heshima, wakati hao wote ni mafisadi watupu!!!