Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

...... Naibu Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Emanuel Nchimbi alitumia nafasi yake kuomba maridhiano ya wabunge wa CCM, kujenga moyo wa kusameheana ili chama kisonge mbele.

Hakuna kusameheana hapa, haki itendeke, maridhiano yawe katika kuutafuta ukweli wa mambo, sio kuridhiana kwa kutunziana heshima, wakati hao wote ni mafisadi watupu!!!
 
duh yani ni usingizi tu ama sivyo ningekesha, naomba mnisaidie kitu kimoja, mtu kama mimi nitajuaje kwamba anayoyasema huyo mdada Sophia ni ya kweli ama si ya kweli.mnaowasii washitumiwa waache tu, mimi naomba pia waacheni nao watoke, labda itasaidia tukisikia upande wa pili. leo nimeikumbuka sana hile nyimbo ya Misosi(nitoke vipi). usiku mwema wana JF wenzangu.
 
- Unajua kuandika na kujijibu na kijipa thanks ni dalili za akili kama za Sophia Simba, naona nikuachie labda wakitokea wengine ndio nitajibu, maana inatia kinyaa kama Sophia!

William.
wapi mejipa thanks mkuu.
Mbona unahasira?kwa majibu yako inaonekana alidhamini. NAMIMI NASEMA INATIA KINYAA TENA MNOOOOO KWA MTU ANAEJIFANYA MSAFI NA MPIGANAJI KWA KUPOKEA HELA ZA MAFISADI.'na kujifanya msafi kumbe hamna LOLOTE.

Kwanini Baba wa taifa [RIP] alimkataa na hakumkubali malecela? May be he saw some thing weak on him?may be,

CCM mnakera sasa
jamani anzeni program za maendeleo, tumechoka na madudu haya.
 
Hiki ndio chama watanzania wanachokitegemea kweli taifa letu limekwisha.
 
Unaweza kuta jeeto kuwa mahakamani baadh ya wapiganaji hawapendi hiyo hali, kisa alikua big boss wao once. jamaa [CCM]sasa inakera sanaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Embu fikirieni TZ sasa kuna kitu gani cha maendeleo, kama si blaa blaaa blaaa tuuuuu.
 
wanaJF nafikiri ii thread inafaa iunganishwe na thread ya Sofia Simba:Time 2 Go!
Zote zinazungumzia topic moja.....kulipuka kwa Sophia Simba.
 
- Hatujawahi kuogopa kuongelea tunayoyafahamu, hii harusi nilishiriki na pia kampeni nilishiriki na Sophia ninamfahamu sana tena kwa karibu sana na nimeshirikiana naye sana kwenye vyote, ndio maana ninamshangaa na it has nothing to do na hizo sides zako,

- yeye angetumia ukaribu wake na Rais kumuomba amuombe Obama amsamehe mtoto wake aliyefungwa maisha kule California, bdala ya kuji-expose uwezo wake mdogo wa kufikiri kwenye hizi kamati serious za taifa!

William.
Du leo hata sisi watoto wa wakulima tutayasikia mengi, kumbe kuna watu wako jela maisha huko sehemu wow!.
 
- Hatujawahi kuogopa kuongelea tunayoyafahamu, hii harusi nilishiriki na pia kampeni nilishiriki na Sophia ninamfahamu sana tena kwa karibu sana na nimeshirikiana naye sana kwenye vyote, ndio maana ninamshangaa na it has nothing to do na hizo sides zako,

- yeye angetumia ukaribu wake na Rais kumuomba amuombe Obama amsamehe mtoto wake aliyefungwa maisha kule California, bdala ya kuji-expose uwezo wake mdogo wa kufikiri kwenye hizi kamati serious za taifa!

William.
saku kafungwa au nani?
 
Hivi huyu mama kwa kauli hizo za aibu alizotoa; ana tofauti gani na yule Mkuu wa Wilaya ya Bukoba aliyecharaza walimu viboko? kwa nini Ikulu isiingilie kati mara moja ili apumzishwe kwa kuvuliwa madaraka yote walau Serikalini? Akibaki huko UWT-CCM shauri zao, sijali!
 
sisi hatutaki kujua kuwa watoto wa wana CCM wamefungwa wangapi, tunachotaka sasa CCM imeguke tuwe na upinzani wa kweli TZ.Hawa jamaa hawakawii kuifanya TZ ikawa Zimbabwe Nyingine hawa, wanaelekea pabaya.
 
Du leo hata sisi watoto wa wakulima tutayasikia mengi, kumbe kuna watu wako jela maisha huko sehemu wow!.
Ndo mana nasem mkuu hawa CCM wanajuana hawa, hakuna msafikule, meshagundua. Ukijifanya eti unawatetea sijui wapiganaji sijui akina nani, mwishowasiku ma file yao yanagundulika, na unashindwa hata la kuwatetea. Sisi ni kukaa kando nakuangalia barafu ya CCM inavyoyayuka. Ila iyayuke mapema kwasababu ikichelewa tutakua Zimbabwe nyingine.
 
Wacha tu hili li-CCM lisambaratike, pengine tutapata chama mbadala kitakachokuwa serious.
 
wapi mejipa thanks mkuu.
Mbona unahasira?kwa majibu yako inaonekana alidhamini. NAMIMI NASEMA INATIA KINYAA TENA MNOOOOO KWA MTU ANAEJIFANYA MSAFI NA MPIGANAJI KWA KUPOKEA HELA ZA MAFISADI.'na kujifanya msafi kumbe hamna LOLOTE.

Kwanini Baba wa taifa [RIP] alimkataa na hakumkubali malecela? May be he saw some thing weak on him?may be,

CCM mnakera sasa
jamani anzeni program za maendeleo, tumechoka na madudu haya.


- Baba wa taifa alimkataa Malecela lakini akamkubali a proven fisadi Mkapa, sasa tusaidie hiyo theory mkuu, halafu mwenye hasira ni nani ungekua unataka ukweli ungeanza na Mjomba wako Mboma, vipi aliyoyafanya na Mkapa Kiwira then tuhamie na wengine, maana wewe si umenufaika na zile hela za Kiwira au unakataa tuweke ukweli wazi hapa ndugu yangu? Ha! ha! eti Semenya ha! ha! ha! mkubwa mzima kujiita majina hovyo hovyo umechanganyikiwa nini!

William.
 
Hivi huyu mama kwa kauli hizo za aibu alizotoa; ana tofauti gani na yule Mkuu wa Wilaya ya Bukoba aliyecharaza walimu viboko? kwa nini Ikulu isiingilie kati mara moja ili apumzishwe kwa kuvuliwa madaraka yote walau Serikalini? Akibaki huko UWT-CCM shauri zao, sijali!

- Ndio maana ninasema hii ya Sophia inachekesha sana, waziri wa usalama wa taifa, kumbe anajua kuwa hela za Jeetu ni za ufisadi, sasa kwa nini hajachukua hatua za kisheria na Takukuru yake?

- huyu ndiye Sophia alimburuza Mama Kahama kwenye uchaguzi uliogeuka kuwa kama mdundiko na mambo ya ngonjera na kwamba yeye amesoma sana, inasikitisha sana!


William.
 
Wakuu zangu,
kusema kweli huyu Mama Simba sasa nadhani kavuka mpaka.. Haya maneno anayasema ndani ya Bunge chini ya Kiapo, na ikiwa hakuna ukweli wa maneno haya (USHAHIDI) sijui..Kifupi nasubiri kuona Bunge litachukua hatua gani!
 
Huyu manma ni lazima alazimishwe kuleta ushahidi kwani maneno hayo ni mazito kupita kipimo... Yaani du Bunge limegeuka lango la Jiji jamani!
 
Mnasema huyu mama amesoma sana, hivi ana digrii tisa kama za Bwana Mugabe nini?.
 
- Bado hivi vita ni worthy kupiganwa, malaika wapo mbinguni hapa wote ni bin-adam, ila ushahidi ni muhimu sana kwa sababu unaweza kuambiwa umepewa Sillingi Millioni 400 na Lowassa wakati ushahidi hakuna, au?

- Ndio maana sisi huwa tunadai ushahidi au dataz angalau kidogo!

Rspect.

FMEs!

Tusikimbilie sana kwenye ushahidi wa kushikikika (tangible evidence), bali ikiwezekana tuangalie pia ule wa kimazingira na kuomba maelezo toka kwa wahusika ikiwezekana. Kama mtu anafanya mambo kinyume na mazingira ya kawaida lazima atoe maelezo ya huo uwezo unakotoka.
 
Uliyoyasema kwenye kamati ya mzee Mwinyi ni ya aibu kwa aliyekuteua na wale uliojaribu kuwatetea. Sitaki niyarudie lakini kwa heshima yote uliyobakia nayo your time is up ma'am. Thank you for your unforgetable diservice to our country. Tukiamka tusikie umejiuzulu na kuwa mfano wa utawala bora. Usisubiri uundiwe kamati.

Mkuu Mwanakijiji,
Nafikiri huyu mama alitakiwa kujiuzulu kwa aliyosema hapo siku za awali na sio jana. Kwenye tume ya Mwinyi amefanya tu alichotakiwa kufanya kama mbunge mwingine, kutoboa madhambi ya wengine. Tusubiri maelezo ya Kilango na wengine aliowashutumu wajibu mapigo.
 
Back
Top Bottom