Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

- Labda wewe na Hosea mngetuonyesha ushahidi, badala ya kuwapigia simu wabunge na kwenda kujikomba kwa Spika,

- Ninamheshimu sana DK, kazi yake kubwa kwenye taifa, ya kuanzisha kampuni ya umeme nilisema wazi kwamba kweli kulikuwa na conflict of interest, sasa kama tuna sheria on that basi alitakiwa achukuliwe hatua za kisheria, otherwise tunawahukumu wananchi wengine kwa ushahidi na sio ngonjera na viroja! ndio sababu tulienda shule!

- Wananchi wenye mawazo kama wewe ndio sababu kina Sophia watakuwa marais wetu in the future!

Ahsante.


William.

off course tutakuwa marais na watu kama ninyi ndio mnaotupigia kura kwa kuwa shida zenu na umasikini wenu ndo unatufanya tuwe viongozi.so kulalamika ni kulalamikia maamuzi yenu ya kutuchagua viongozi kama sisi na akina Sofia simba
 
Spika wa kujikomba kwake yupi sasa..Sitta au mwingine..anayeomba msamaha akitishiwa kuvuliwa uanachama ??
 
Tusema Sophia si Mfalme njozi kama ndiyo ataweza kujuwa kitu ndani ya vichwa vya Spika na Kilango Malecela, lakini madai aliyoyatoa hayaonekani dhahania hasa hili la kuwa wamewahi kuonja ladha ya fedha za mafisadi waje wajibu madai yao waseme ni uwongo na Jeetu Patel akatae kuwa si kweli...kuw fedha za EPA anazodaiwa kuchota hazikufika hata senti tano mfukoni mwa the Malecelas

- Unahangaika bure tu ndugu yangu, kina Mboma ndio wenye hela za wizi za Kiwira wala sio siri, Malecela hawezi kuwa amefanya kazi miaka yote hiyo toka akiwa Waziri wa Fedha EAC, mpaka aliporudi huku bongo bila wizi, wizi ni tabia ya kwenye damu, tizama Lowassa! Ha! ha! inachekesha sana leo utazitoa id zote lakini bure tupu ha! ha!!

Ahsante.

William.
 
What can we expect from hiyo kamati ya wazee waliochoka (ex fisadi) zaidi ya kuwasafisha mafisadi wenzao wa sasa?
 
Hao wanaopiga makelele ya ufisadi kina Mwakyembe, Sitta,Kilango na wenzao wote...wanapata wapi 'moral responsibility' ya kufanya hivyo wakiwa ndani ya chama kinacholea lea matajiri na mafisadi wa nchi hii?

Kama kweli wanajiona kuwa wao ni exceptions kwanini basi hawatoki huko na wakatafuta majukwaa mengine kusemea...haya yananikumbusha ya Mtikila alipo kuwa anadandia treni kwa mbele kubwatukia Rostam Aziz wakati nayeye ameshafaidika na mfuko ngekewa wa Rostam na alipobisha aliletewa ushahidi wa maandishi kupokea fedha kutoka kwa huyo huyo aliyemwita fisadi na akaufyata...

CCM imeoza wote ni mafisadi wanazidiana ujanja wa kuiba na kula...tulikuwa tukimsubiri Mwakyembe atuletee umeme wa upepo baada ya kukataa katakata mitambo ya dowans isinunuliwe tumeambulia patupu...nayeye pia fisadi...anapalilia maslahi yake mbele tu...sioni msafi CCM wasikatae maneno wanayoambiana na madongo wanayolembeleana huenda yana chembe chembe za ukweli wanatuzubaisha tu mafisadi wakubwa hawa!!!!!
 
labda hivyo ndivyo anavyotakiwa kufanya na bosi wake, kwa macho yako kazi imemshinda kwa bosi wake hivyo ndivyo atakavyo
bosi wake angekuwa hapendi utendaji wake wa kazi angemfukuza


Safi sana Mkuu. Yaani ingetusaidia sana kama tungeweza kupata maoni ya Mzee mwenyewe. Najua hilo haliwezekani ila kuna vitu vinaweza kutusaidia kuyapata. Kwani kama kasema kinyume na matakwa ya boss basi atachukuliwa hatua. Lakini kama ataendelea kudunda mzigo na pia kupewa tena hiyo ofisi au promotion 2010 basi ujue kazi ya boss imefanyika kama alivyotaka.
 
when u go for equity, u must go with cleaN HANDS. sijui kama inakua applied kwa akina kilango au lah...Bongo imekua shakhalabakhala.
 
- Bado hivi vita ni worthy kupiganwa, malaika wapo mbinguni hapa wote ni bin-adam, ila ushahidi ni muhimu sana kwa sababu unaweza kuambiwa umepewa Sillingi Millioni 400 na Lowassa wakati ushahidi hakuna, au?

- Ndio maana sisi huwa tunadai ushahidi au dataz angalau kidogo!

Rspect.


FMEs!
 
- Lakini bado ni Spika mpaka leo na Lowassa bado yuko bench? Ha! ha! ha! unajua unachekesha sana!

William.
Mkuu me naona kwa wana CCM sasa hakuna wa kukaa upande wake. hatujui siri zao nyingine, sidhani kama kuna msafi CCM hasa kwa hawa wakongwe. sisi tukae na tuangalie jinsi CCM wanavyobomoka. Dont side wth any body, unless u have interest.
 
when u go for equity, u must go with cleaN HANDS. sijui kama inakua applied kwa akina kilango au lah...Bongo imekua shakhalabakhala.

- Legally, Clean au dirty hands huonyeshwa kwa facts,

- kwa mfano ni fact kwamba Mboma, Mkapa na Yona wamepora Kiwira, au?

Respect.


FMEs!
 
Pia wanaJF tukumbuke kuwa : Sio kila lisemwalo ni kweli... na moja ya nguzo muhimu ni kuwa... kwenye usiamini kila jambo unaloambiwa .. manake hapa naona ka vile watu wote wanaamini kuwa ni kweli Milioni mia mbili zilitolewa kamam michango .. kwa kuwa tu Sophia Simba kasema ....na hili ni tatizo kwenye jamii yetu ndio maana watu wakisikia mwizi mwizi mwizi wanatoka na mafuta bila kuuliza nani kaibiwa wapi .. nakwamba kamam mtu mwizi apelekwe polisi.. matokeo yake wameuawa watu wasiokuwa na hatia ... just because people do not spend a minute to think before reacting......

Hitler aliwahi kusema : Luck are the rulers that people do not think...

NA TUSITOKE KWENYE MADA TUKAANZA KUJADILI MICHANGO YA HARUSI ILIKUWAJE .... MADA KUU HAPA NI UFISADI ...
Ukiwapeleka polisi wanapata dhamana na hata wakifungwa, baada ya muda mfupi wanaonekana tena mitaani, polisi, mahakamani na magereza kunanuka rushwa....Anyway lkni kuhusu maigizo ya UFISADI yanayoendele hivisasa bongo, tutasikia mengi sana du. Lakini nadhani huyu Sophia naye either ni fisadi au anashirikiana na mafisadi(kibiashara au kwa maswala mengine ya kijammii kama...) au kunaufisadi alishaufanya na haujakuwa 'public' ndio maana anawatetea sana hawa mafisadi ili yakimfika yeye (yaani data zake za ufisadi zikimwagwa hadharani) nayeye apate kampani ya watu watakaomtetea.

Haiwezekani kwa mtu mwenye akili timamu na mwenye dhamana kama yake akatamka maneno kama hayo, LEO nimegundua kwanini Dr Hosea anajigamba hawezi kujiuzulu, kumbe walisha discuss na bosi wake (Sophia) na mkakati wao ni kuwasafisha wakina Chenge, Lowassa, Mkapa n.k

By the way hivi Mheshimiwa raisi wetu ameyasikia hayo? Au yupo ziarani nchi za nje kuomba misaada?..
 
- Legally, Clean au dirty hands huonyeshwa kwa facts,

- kwa mfano ni fact kwamba Mboma, Mkapa na Yona wamepora Kiwira, au?

Respect.

FMEs!
Nakubaliana na wewe 100 percent, ila its a fact TOO KUWA JEETO PATEL ALIWADHAMINI BAADHI YA WATU WANAOJIITA WAPIGANAJI.
 
Mkuu me naona kwa wana CCM sasa hakuna wa kukaa upande wake. hatujui siri zao nyingine, sidhani kama kuna msafi CCM hasa kwa hawa wakongwe. sisi tukae na tuangalie jinsi CCM wanavyobomoka. Dont side wth any body, unless u have interest.

- Hatujawahi kuogopa kuongelea tunayoyafahamu, hii harusi nilishiriki na pia kampeni nilishiriki na Sophia ninamfahamu sana tena kwa karibu sana na nimeshirikiana naye sana kwenye vyote, ndio maana ninamshangaa na it has nothing to do na hizo sides zako,

- yeye angetumia ukaribu wake na Rais kumuomba amuombe Obama amsamehe mtoto wake aliyefungwa maisha kule California, bdala ya kuji-expose uwezo wake mdogo wa kufikiri kwenye hizi kamati serious za taifa!

William.
 
yes na wapo wengi kama wewe ambao mnamshangilia mwakyembe na ujambazi wake wa kuchukua posho mara mbili mbili,na kumuona si mkosaji pale alipoongoza kamati ya kuchunguza Richmond wakati kumbe na yeye ana kampuni yake anataka ianze kuzalisha umeme....

Kama Mwakyembe ni jambazi na kachukua posho mara mbili, kwa nini hayuko mahakamani sasa hivi au jela?

Kuwa na kampuni ya kuzuia umeme kunazuia nini kuchunguza kampuni na kighaidi na kijambazi la richmonduli?
 
- Hatujawahi kuogopa kuongelea tunayoyafahamu, hii harusi nilishiriki na pia kampeni nilishiriki na Sophia ninamfahamu sana tena kwa karibu sana na nimeshirikiana naye sana kwenye vyote, ndio maana ninamshangaa na it has nothing to do na hizo sides zako,

- yeye angetumia ukaribu wake na Rais kumuomba amuombe Obama amsamehe mtoto wake aliyefungwa maisha kule California, bdala ya kuji-expose uwezo wake mdogo wa kufikiri kwenye hizi kamati serious za taifa!

William.
Tuambie basi je Jeeto aliwadhamini kwenye harusi yao au?me nachokiona tuwasubiri wadondoke, kuliko ku side nao. wanajuana mengi sana walivyo tuibia.sasa tunajua moja baada ya jingine.CCM wachafu wote na wanarudisha maendeleo ya nchi kwa sasa. MKuu embu niambie kuna plan gani ya maendeleo imefanyika kwa mda wa miaka 5?kama si hayo madudu tuu.

Inakera Mkuu...
 
Lakini kama waziri wa utawala bora anadiriki kuhalalisha rushwa? Kwamba kwa kuwa kina malecela walifadhiliwa na fisadi basi wakae kimya wakiona wengine wanajihusisha na ufisadi. huu ndio utawala bora kweli?
 
Tuambie basi je Jeeto aliwadhamini kwenye harusi yao au?me nachokiona tuwasubiri wadondoke, kuliko ku side nao. wanajuana mengi sana walivyo tuibia.sasa tunajua moja baada ya jingine.CCM wachafu wote na wanarudisha maendeleo ya nchi kwa sasa. MKuu embu niambie kuna plan gani ya maendeleo imefanyika kwa mda wa miaka 5?kama si hayo madudu tuu.

Inakera Mkuu...

- Unajua kuandika na kujijibu na kijipa thanks ni dalili za akili kama za Sophia Simba, naona nikuachie labda wakitokea wengine ndio nitajibu, maana inatia kinyaa kama Sophia!

William.
 
Nakubaliana na wewe 100 percent, ila its a fact TOO KUWA JEETO PATEL ALIWADHAMINI BAADHI YA WATU WANAOJIITA WAPIGANAJI.
Sio tuu aliwadhamini wapiganaji bali pia ndiye alikuwa mfadhili mkuu wakati tingatinga likiwasafishia njia wengine wapite.
 
Back
Top Bottom