FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 355
Nasisitiza kuwa sista sophy asihukumiwe kwa msimamo wake, mwanakijiji anapaswa aweke kila kitu jamvini waziwazi ili tuweze kumuangalia sista sophy kwa ubaya ama uzuri wake.
Jamii ijiulize kwanini waziri? Wanini m/kiti wa uwt na kwanini mbunge atoe maelezo hayo mbele ya kamati ya chama chake?
Tusaidie mzee mwanakijiji, weka mambo hadharani ili pengine tujiridhishe na motive za dada sophy.
Tusimuhukumu kabla ya kufahamu kama faili hili la mwanakijiji lina fact au la?
Tupeni nondo za huko dodoma.
Kamarade es nini kinachojiri huko? Wewe uko wazi na unathubutu kusimama katika kile ukiaminicho.
Jamii ijiulize kwanini waziri? Wanini m/kiti wa uwt na kwanini mbunge atoe maelezo hayo mbele ya kamati ya chama chake?
Tusaidie mzee mwanakijiji, weka mambo hadharani ili pengine tujiridhishe na motive za dada sophy.
Tusimuhukumu kabla ya kufahamu kama faili hili la mwanakijiji lina fact au la?
Tupeni nondo za huko dodoma.
Kamarade es nini kinachojiri huko? Wewe uko wazi na unathubutu kusimama katika kile ukiaminicho.