Sio lazima kuoga kila siku.

Sio lazima kuoga kila siku.

Hakuna faida zozote za kiafaya kuoga kila siku kama huishi sehemu zenye joto au kufanya kazi ngumu za kukutoa jasho.

Watu wengi wanaoga kila siku kwa sababu ya mazoea tu. Kama uko kwenye baridi ukioga mara tatu kwa wiki inatosha.
Kuoga kwa maji ya moto, sabuni kali, huku ukijisugua inaondoa mafuta asili ya ngozi na kuipelekea ikauke, wakati mwingine kuwasha na kuoelekea nyufa au mikunjo ya ngozi sababu ya ukavu.

Ndiyo maana watu wenye dry skin kama ukurut (eczema) kuna wakati hshauriwa kutooga mwili wote kwa sabuni isipokuwa makwapani na sehemu za siri.

Ni mazingira na aina ya kaxi tufanyazo kutulazimisha tuoge mara kwa mara
 
Mimi naogeshwa kila siku haina shida


1789303993503.png
 
Hakuna faida zozote za kiafaya kuoga kila siku kama huishi sehemu zenye joto au kufanya kazi ngumu za kukutoa jasho.

Watu wengi wanaoga kila siku kwa sababu ya mazoea tu. Kama uko kwenye baridi ukioga mara tatu kwa wiki inatosha.
Kisayansi kila siku na kila muda cells za skin membrene zinakufa ujue!

Tunachokisugua na dodoki kukiondoa kwenye ngozi kama uchafu wakati wa kuoga %kubwa ni chembe chembe za ngozi mfu na jasho kwa %kidogo.

Hata usipotoa jasho kwa kazi lakini ni lazima mwili wako utachafuka tu.

Hivyo kuoga kila siku si hitaji la hiyari la mchafukoge, bali ni hitaji la lazima la binadamu ili kuuweka mwili wake katika hali ya siha.
 
Kunuka ni nnje nnje , bila kuoga mara mbili kwa siku siwezi jisikia vizuri , na ubaya wa harufu mtoaji hauwezi isikia , ila kiukweli watu wengi wananuka, sio masikio vikwapa na mapua , na wengi wanazunguka na chembechembe za mapupu bila kujua wanatema vibaya mno
 
Back
Top Bottom