Sio lazima kuoga kila siku.

Sio lazima kuoga kila siku.

Kama una mwili mzuri usionukanuka unaweza usioge hata wiki ikiwa upo sehemu zenye baridi. Maeneo ya joto utalimika kuoga kila siku ili kupoza mwili. Ni aibu unaenda kupiga shoo huku unanuka kikwapa hata kama ni mkeo na mmezoeana haifai kupigana shoo huku mnanuka jasho/vikwapa
Sasa upo makete utaoga daily kweli...
 
Hili halikwepeki kuna mazingira yanatokea mnalala mchongoma fresh tu..
Watu wanashangaa kulala mchongoma. Dubai mpaka leo watu wanaojitafuta unakuta mtu kabebwa kwenye bed space (hii ni vitanda unalipia per day) kuna room unakuta landlord hajaweka double decker. Watu wanapiga michongoma asubuhi wanawahi makazini na wamechomekea vizuri. Room.unakuta kuna wapopo,Ghana,Senegal,India,Pakistan watu wanalala radar usiku kucha.
 
Kuna mama mmoja hapa kila siku anaoga, hawezi kulala bila kuoga, hapa si joto sana useme anatoa joto mwilini. Ana matumizi makubwa sana ya maji, kajaza ndoo na majaba mwendo ni kuoga na kufua kila siku yeye na watoto wake watatu hataki kunuka jasho na hana kazi yoyote, ni kula na kulala tu
 
Iringa kuna sehemu inaitwa Mgololo baridi ya kule ukikaa kizembe bila kuoga mchana unaweza maliza week. Kuna wachina niliona wakiyaogopa maji kama mabomu wao ni kupuliza perfume.
 
Kuna mgeni nililala nae jana, nikamwambia kihekima maji ya kuoga yapo chooni akaniambia haogi.
Nikamwambia basi kanawe miguu akanijibu Tokea asubuhi sijavua viatu, miguu yangu misafi😂
Acha kuokota okota hiyo mibaba, ona hata kuoga imechoka!
 
Hakuna faida zozote za kiafaya kuoga kila siku kama huishi sehemu zenye joto au kufanya kazi ngumu za kukutoa jasho.

Watu wengi wanaoga kila siku kwa sababu ya mazoea tu. Kama uko kwenye baridi ukioga mara tatu kwa wiki inatosha.
Uko sahihi,una hoja usikilizwe.
 
Kwenye harakati zetu ni kawaida, kipengelr ni kulala mnatazama vichwa ndio KIUME tunaona sio sawa.
Watu wanashangaa kulala mchongoma. Dubai mpaka leo watu wanaojitafuta unakuta mtu kabebwa kwenye bed space (hii ni vitanda unalipia per day) kuna room unakuta landlord hajaweka double decker. Watu wanapiga michongoma asubuhi wanawahi makazini na wamechomekea vizuri. Room.unakuta kuna wapopo,Ghana,Senegal,India,Pakistan watu wanalala radar usiku kucha.
 
Sijawai kulala kitanda kimoja na mwanaume mwenzangu...misibani kama hakuna lodge bora niegamie viti tu.
Basi kuna aina ya maisha umepitia ambayo wengi hatujapitia, sie kuanzia shule, magetoni, majumbani mwetu etc tushalala sana wawili, sometimes mpaka wa3.
⬆️⬇️⬆️
 
Basi kuna aina ya maisha umepitia ambayo wengi hatujapitia, sie kuanzia shule, magetoni, majumbani mwetu etc tushalala sana wawili, sometimes

Basi kuna aina ya maisha umepitia ambayo wengi hatujapitia, sie kuanzia shule, magetoni, majumbani mwetu etc tushalala sana wawili, sometimes mpaka wa3.
⬆️⬇️⬆️
Udogoni sawa ila baada ya kuwa mwanaume kijana mpaka mbaba niliacha kabisa.
 
Back
Top Bottom