Sio lazima kuoga kila siku.

Sio lazima kuoga kila siku.

Naoga maji ndoo mbili,

Muda nusu saa,

Simu inapiga mziki,

Naoga kuanzia saa nne na nusu usiku mpk tano usiku

Asubuhi najimwagia maji tuu...

Nimetoka fua nguo na mashuka sasa ni wakati wa kuoga na kuswaki nikanuse mashuka yangu niliyofulia kwa niceone
Kwann unaishi kisela hivo shida kipato au uko likizo kuwowa?
 
Kunuka ni nnje nnje , bila kuoga mara mbili kwa siku siwezi jisikia vizuri , na ubaya wa harufu mtoaji hauwezi isikia , ila kiukweli watu wengi wananuka, sio masikio vikwapa na mapua , na wengi wanazunguka na chembechembe za mapupu bila kujua wanatema vibaya mno
Nakuunga mkono bwashee hao ni wachafu huwezi kukaa siku nzima bila kuoga labda ukaishi polini uko
 
Kuogaoga kila siku kunapunguza joto la mwili, mwili hupoa. Ukute unaenda kupiga shoo halafu umetoka kuoga utakwama tu kunako majambozi. Mwili unakuwa umepoa itabidi uchemke joto lipande damu ichangamke itembee haraka mwilini upige shoo vema. Utasubiri sana mwili uchemke
 
Wanawake wanene wale huoga kila siku kwa sababu miili yao ina mafuta mengi, inachemka haraka, saa zote wao wanahisi joto tu na huanza kunuka uvundo mpaka sehemu zao za siri. Ndio maana wale huoga kila siku kupunguza joto miilini mwao. Kwa dar wanaoga hata mara mbili hadi tatu kwa siku, wasipooga watanuka ugwadu
 
Wanawake wanene wale huoga kila siku kwa sababu miili yao ina mafuta mengi, inachemka haraka, saa zote wao wanahisi joto tu na huanza kunuka uvundo mpaka sehemu zao za siri. Ndio maana wale huoga kila siku kupunguza joto miilini mwao. Kwa dar wanaoga hata mara mbili hadi tatu kwa siku, wasipooga watanuka ugwadu
Wapunguze unene na ukiribatumbo
 
Nakuunga mkono bwashee hao ni wachafu huwezi kukaa siku nzima bila kuoga labda ukaishi polini uko
Kukaa bila kuoga
Porini ✅

Ni kweli bwashee, unapata vipi nguvu za kulala kwa utulivu mkubwa kama haujaoga na umetoka kuchakarika kutafuta pesa , na bafuni na maji ya moto nipo ndani na wengine wana sauna kabisa🤔
Bwashee ukimuona mtu anasema kuoga sio lazima uyo mkimbie hao ndio wanaonuka boxer ni hatari
 
Kama una mwili mzuri usionukanuka unaweza usioge hata wiki ikiwa upo sehemu zenye baridi. Maeneo ya joto utalimika kuoga kila siku ili kupoza mwili. Ni aibu unaenda kupiga shoo huku unanuka kikwapa hata kama ni mkeo na mmezoeana haifai kupigana shoo huku mnanuka jasho/vikwapa
 
Back
Top Bottom