Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,652
- 860,938
Nongo ninini?
Taka za mwilini: Huu ni uchafu unaojikusanya mwilini, mara nyingi kutokana na jasho lililokauka na vumbi kwenye ngozi.
Wengi wamekulia kwenye mazoea ya kwamba mwili huwa hautakati kwa asilimia 100 kwakuwa una nongo ya asili ...
Na kwa kuthibitisha madai yao ni matumizi ya taulo baada ya kuoga na uchafu unaobaki kwenye taulo baada ya kujifuta.. Haya ni mazoea potofu na kukosa elimu sahihi
Hakuna kinaitwa nongo ya asili mwilini bali uchafu kwenye taulo unatokana na sababu hizi
1. Kutokuoga kwa usahihi.. Wengi wetu hawajui kuoga kwa usahihi hivyo hawatakati..kuna maeneo nongo imegandiana lakini maji yanapita shwaa
2. Uchafu wa maji: Ni vigumu Tanganyika na pengine Africa kujivunia tuna maji safi achana na salama..
Maji yetu mengi tunayotumia hayajafanyiwa 'treatment ya kutosha.. Sasa imagine mwili wenye nongo uoge maji machafu😀 hapo hata kama unajua kuoga hutatakata
3. Matumizi potofu ya taulo. Taulo ni kwa ajili ya kukausha maji mwilini sio kitendea kazi cha kuondoa nongo zilizoachwa kusafishishwa
4. Taulo nalo ni kitu kinachohitaji usafi wa mara kwa mara! At least lifue mara 2 kwa wiki.. Wewe nara ya mwisho kufua taulo ni lini?😀
Mwili hauna nongo ya asili ndio maana kuna mataulo meupe
Mazingira yakiwa safi .. Hakuna vumbi
Ukioga maji safi
Ukioga kwa usahihi na kutakata
Ukalitumia taulo kwa usahihi , utaachana na dhana potofu za nongo za asili mwilini
Zingatia: hupaswi kuwa na taulo moja tu ndani ya nyumba.. At least mawili au matatu rangi tofauti tofauti
Taka za mwilini: Huu ni uchafu unaojikusanya mwilini, mara nyingi kutokana na jasho lililokauka na vumbi kwenye ngozi.
Wengi wamekulia kwenye mazoea ya kwamba mwili huwa hautakati kwa asilimia 100 kwakuwa una nongo ya asili ...
Na kwa kuthibitisha madai yao ni matumizi ya taulo baada ya kuoga na uchafu unaobaki kwenye taulo baada ya kujifuta.. Haya ni mazoea potofu na kukosa elimu sahihi
Hakuna kinaitwa nongo ya asili mwilini bali uchafu kwenye taulo unatokana na sababu hizi
1. Kutokuoga kwa usahihi.. Wengi wetu hawajui kuoga kwa usahihi hivyo hawatakati..kuna maeneo nongo imegandiana lakini maji yanapita shwaa
2. Uchafu wa maji: Ni vigumu Tanganyika na pengine Africa kujivunia tuna maji safi achana na salama..
Maji yetu mengi tunayotumia hayajafanyiwa 'treatment ya kutosha.. Sasa imagine mwili wenye nongo uoge maji machafu😀 hapo hata kama unajua kuoga hutatakata
3. Matumizi potofu ya taulo. Taulo ni kwa ajili ya kukausha maji mwilini sio kitendea kazi cha kuondoa nongo zilizoachwa kusafishishwa
4. Taulo nalo ni kitu kinachohitaji usafi wa mara kwa mara! At least lifue mara 2 kwa wiki.. Wewe nara ya mwisho kufua taulo ni lini?😀
Mwili hauna nongo ya asili ndio maana kuna mataulo meupe
Mazingira yakiwa safi .. Hakuna vumbi
Ukioga maji safi
Ukioga kwa usahihi na kutakata
Ukalitumia taulo kwa usahihi , utaachana na dhana potofu za nongo za asili mwilini
Zingatia: hupaswi kuwa na taulo moja tu ndani ya nyumba.. At least mawili au matatu rangi tofauti tofauti