Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

nyumba kali aisee.
Hii ndio maana ya Kuwa tajiri. Sio unakkuwa tajiri Dar huku kijijini unambuzi wanne na nyumba yenye ramani ya msumbiji.
Hahaha hivi vitu tumezoea kuviona kwenye movies tu. Hio nyumba sijaingia ndani ila nina hakika ina technological gadgets kama zote katika standards za kimataifa. Mambo ya Biometrics milangoni na Underground Bay.

Nyumba ni Kali sana, japo sidhani kama K.Lyn ataendelea kuishi huko bush.
 
Mzee Mengi was too westernised, you can see it from his life style.
Alikolude kwenye jamii ya wazungu wale OG wa toka UK at his early ages ndio maana alistaarabika sana hayati Reg. Mengi. Bahati nzuri amepass ile civilization kwa watoto wake wako njema.

Seems mke wake wa kwanza ndio alishindwa ku cope na ule uzungu akataka kuleta umachame mwingi wakatengana. Ila K-lyn aliweza kumzibia pengo la traits za mwanamke aliyekuwa anamuota japo it was too late ila alipata kufurahia sana kwa kipindi hicho kichache. Kuwa na mwanamke very friendly with full of life..muda wote anahakikisha mzee yuko happy japo alimpiga matukio ila alimpa excitement katika mapenzi.
 
Alikolude kwenye jamii ya wazungu wale OG wa toka UK at his early ages ndio maana alistaarabika sana hayati Reg. Mengi. Bahati nzuri amepass ile civilization kwa watoto wake wako njema.

Seems mke wake wa kwanza ndio alishindwa ku cope na ule uzungu akataka kuleta umachame mwingi wakatengana. Ila K-lyn aliweza kumzibia pengo la traits za mwanamke aliyekuwa anamuota japo it was too late ila alipata kufurahia sana kwa kipindi hicho kichache. Kuwa na mwanamke very friendly with full of life..muda wote anahakikisha mzee yuko happy japo alimpiga matukio ila alimpa excitement katika mapenzi.
Yule mke wa kwanza alikua mzungu kupita. Kumbuka Baba yake alikuwa Chief na Waingereza walisomesha watoto wa machief ili kuendeleza utawala. Tofauti na wajerumani waliotawala moja kwa moja, amri za Mjerumani zilitoka kwa DC moja kwa moja lakini Mwingereza alitumia ma Chief
 
Yaani nilipoliona hili jengo na mandhari yake, nilijiuliza swali hilohilo, unaenda Dubai kufanya nini wakati sehemu nzuri kama hii ipo?
Hahaha ni pazuri kweli ila ni kwa vile hujawahi kuona wao wanaomiliki washapazoea ni pa kawaida tu. Wanaenda sehemu kali kuliko hizo
 
nyumba shanty town, masaki , Kinondoni hananasif, njiro arusha, uzunguni dodoma, uzunguni mbeya, kapri point mwanza, nairobi, dubai, new york, london na johanesburg, hizo ni za mapumziko yake, nyie endeleeni na serikali ya vyerehani na kutekana
😂😂😂😂😂😂😂 jamaa ni zimba aisee, $560M unadhani faida kwa mwaka ni bei gani?
 
Yule mke wa kwanza alikua mzungu kupita. Kumbuka Baba yake alikuwa Chief na Waingereza walisomesha watoto wa machief ili kuendeleza utawala. Tofauti na wajerumani waliotawala moja kwa moja, amri za Mjerumani zilitoka kwa DC moja kwa moja lakini Mwingereza alitumia ma Chief
Saaa alikwama wapi? Maana kisa kinasemekana alitaka kumdedisha jamaa. Dokta wa familia akamtonya mzee baba
 
Inabidi tubadilike,tuwe kama wenzetu ulaya,wakiwa hai ndio tunajua utajiri na mali walizo nazo,ila huku kwetu ni siri mpaka itokee mtu kafariki kama hivi ndio tunajua...
Sasa huku bongo ujulikane tajiri wa kutupwa kwa awamu hii unaweza ukaozea jela😂
 
Serikali iongee na wana familia ili hii iwe IKULU ndogo, Rais wetu akiwa Kilimanjaro basi anaweza kupumzika - kama nyumba ina vigezo vyote why not? sisi wananchi hatuna tatizo.

Madhari inavutia mno kaa nyumba za unyamwezini... duh.

Cheki kitu cha kaka Puff Daddy kinakaribiana na cha Mzee wetu

1093265
 
Saaa alikwama wapi? Maana kisa kinasemekana alitaka kumdedisha jamaa. Dokta wa familia akamtonya mzee baba
Mimi ninazikumbuka za enzi zile za kuifahamu hii familia kupitia watoto, mama alimpenda sana dingi. Mama alikua mwanamke wa ki sure hasa.

Mzee wakati huo pesa imekubali, mama anapata habari tu jana alikua Oyster Bay hotel na mdada wanapata dinner, baada ya siku mbili Kilimanjaro Hotel. Mama alikuwa anapata heart attacks aki recover anapigwa shopping Brussels, Paris.

Mwisho alichoka.
 
Mimi ninazikumbuka za enzi zile za kuifahamu hii familia kupitia watoto, mama alimpenda sana dingi. Mama alikua mwanamke wa ki sure hasa.

Mzee wakati huo pesa imekubali, mama anapata habari tu jana alikua Oyster Bay hotel na mdada wanapata dinner, baada ya siku mbili Kilimanjaro Hotel. Mama alikuwa anapata heart attacks aki recover anapigwa shopping Brussels, Paris.

Mwisho alichoka.
Duh, kumbe ule uvumi sio?
 
Aisee sikulijua hilo we ndio unanifungua uzuri
Wakati huo ukiwaona wale watoto unatamani wazazi wako wangekua wale. Lakini wananyosema “when money comes in through the door love flies away through the window “
 
Nyumba kama hizo sasa kasheshe kwenye kumaintain
Ni gharama Sana kumaintain mkuu....hizi zinatakiwa wakae watu ambao vitu vilivyomo sio vigeni kwao....vinginevyo utakuja kukuta vitu havi function wataalamu wa kutaka kujua hiki kina kazi gani washaviua
 
Back
Top Bottom