Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Bashite hagusi hata nusu ya blair. Tunazungumzia ex prime minister wa england vs mkuu wa mkoa tena wa bongo. Kuna gap kubwa
Sasa wewe unamfananisha Mangi na Tony Blair, Mangi issue nyingine Blair mfananishe na Bashite kama wapo
 
Kweli kuna matajiri na mabilionea tu...nani alikua anaijua hii nyumba ? Sio kina domo wakianza kujenga tu utasikia wanaitisha press conference kuwa anajenga mjengo [emoji3][emoji3][emoji23]
Hahahahaha hahahahaha
 
wachagga ndvyo walivyo, angalia mzee Mremi mwenye DAr express, ananyumba kali kijijina na dar huko masaki na ndio maana wachagga wanarudi kwao krismass,
angalia ludovic utoh, angalia charles Kimei, yani hawa watu nawaonea wivu sana na ndio maana awamu ya 5 imewanyima vyeo kabisa wakiamini utajiri wao ni kwa kuwapa vyeo lakini wachagga ni unstoppable kama liverpool, salute kwao.


kila mtu anawaonea wivu kumbe kwao kuzuri, mtu unpata hamu ya kurudi nyumbani mda wowote, hebu linganisha na kule kwa ndugai dodoma kuna funza balaa, mbungo na hakuna hata kuvutia.

njoo igunga kwa rostam, hakuna miti, yaani ukienda chato ndio kabisa, mkapa kakimbia kwao kaenda kaskazini, Mwinyi kakimbia zanzibar yupo masaki,
Nani anawaonea wivu wachaga? Nani kakwambia mwinyi anakaa masaki? Acheni uongo
 
nyumba shanty town, masaki , Kinondoni hananasif, njiro arusha, uzunguni dodoma, uzunguni mbeya, kapri point mwanza, nairobi, dubai, new york, london na johanesburg, hizo ni za mapumziko yake, nyie endeleeni na serikali ya vyerehani na kutekana
We jamaa punguza uongo
 
Kumbe diamond kwa miezi 2 anakula karibia 1 billion [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilikua sijafaham hahahhaha
Tuache utani na pesa so Kama mnavyofikiria
SI rahisi
Diamond platnumz anafanya Show moja ya kimataifa kwa zaidi ya million 35 Hakuna utani katika hili.

Tatizo lako hukuelewa vizuri umekurupuka Si kila wiki anafanya international Shows, Show mbili tu alizozifanya South korea na Oman hela yake wewe mpaka unakufa hutowahi kuimiliki nauhakika huo hata kama umeajiriwa wizara ya fedha otherwise ukadange UK
 
Ndombadilike sasa muache roho mbaya muige huyu mzee ,Mama kiongiz wa Vikoba Kilimanjaro kahojiwa kanisani na kudai matajili wa Kilimanjaro wanawaonaga kama mbwa ata msaada wa kiti kimoja cha kukalia hawawez kuwasaidia alafu mnajisifia ujinga ,ndomaana Makonda alisema Mengi alikua mchaga wa kitofauti .Nikweli uyomama kayadhibitisha ayo wakat akihojiwa na muandishi.
 
Nakumbuka ilipozinduliwa Jack alienda na mrafiki zake wote na familia zao.

Tusubiri kuona nyumba ya makonda
 
Uo msitu ni wa nani? Ulivyotaja apo wewe umeviona, umeambiwa au umevisikia?
 
Sasa hayo mageti matatu na underground armor ni za nini
Hayo ni mawazo ya kimaskini. Nyumba haijengwi kwa kukulinda na kifo.. inajengwa ili uishi. Kifo ni natural state kama kuzaliwa.. si kitu cha ajab sana
 
Back
Top Bottom