mimi nilikuwa sijazaliwa.... saivinipo late 20's.Wewe Regina mkubwa sana ni kama sikosei ni 1071 au 1970 hivi kwani alimaliza form four weruweru kama sikosei 1988 hivi
mimi nilikuwa sijazaliwa.... saivinipo late 20's.Wewe Regina mkubwa sana ni kama sikosei ni 1071 au 1970 hivi kwani alimaliza form four weruweru kama sikosei 1988 hivi
MmmhhhYule dada alivyo nija anaweza kuiuza
150m kwa wiki Mondi???Acha wivu wako utakufa hujawahi kumiliki hata 150 million ambazo mondi anazipata kwa wiki tu ohooooo! Roho mbaya inauwa
Tena zaidi hiyo, ndogo sana niliyoitaja japo haina consistency (si kila wiki)150m kwa wiki Mondi???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Diamond platnumz anafanya Show moja ya kimataifa kwa zaidi ya million 35 Hakuna utani katika hili.
Tatizo lako hukuelewa vizuri umekurupuka Si kila wiki anafanya international Shows, Show mbili tu alizozifanya South korea na Oman hela yake wewe mpaka unakufa hutowahi kuimiliki nauhakika huo hata kama umeajiriwa wizara ya fedha otherwise ukadange UK
Mkuu Regina ni mtu mzima ujue... 40 somethingyule binti yake anaitwa Reginna Mengi hajaolewa, anatafuta mchagaa, naskia yupo bikra, she is 34
Hiyo sentensi ya kupigwa shopping,me sina mbavuMimi ninazikumbuka za enzi zile za kuifahamu hii familia kupitia watoto, mama alimpenda sana dingi. Mama alikua mwanamke wa ki sure hasa.
Mzee wakati huo pesa imekubali, mama anapata habari tu jana alikua Oyster Bay hotel na mdada wanapata dinner, baada ya siku mbili Kilimanjaro Hotel. Mama alikuwa anapata heart attacks aki recover anapigwa shopping Brussels, Paris.
Mwisho alichoka.
Bashite anawaonea wivu wa kikeNani anawaonea wivu wachaga? Nani kakwambia mwinyi anakaa masaki? Acheni uongo
Ninafikiri 50 plusMkuu Regina ni mtu mzima ujue... 40 something
BukobaNi kilimanjaro tu zinapatikana Hakuna mkoa mwingine
Duuh..Diamond platnumz anafanya Show moja ya kimataifa kwa zaidi ya million 35 Hakuna utani katika hili.
Tatizo lako hukuelewa vizuri umekurupuka Si kila wiki anafanya international Shows, Show mbili tu alizozifanya South korea na Oman hela yake wewe mpaka unakufa hutowahi kuimiliki nauhakika huo hata kama umeajiriwa wizara ya fedha otherwise ukadange UK
Mwinyi kwao ndio huko huko...wachagga ndvyo walivyo, angalia mzee Mremi mwenye DAr express, ananyumba kali kijijina na dar huko masaki na ndio maana wachagga wanarudi kwao krismass,
angalia ludovic utoh, angalia charles Kimei, yani hawa watu nawaonea wivu sana na ndio maana awamu ya 5 imewanyima vyeo kabisa wakiamini utajiri wao ni kwa kuwapa vyeo lakini wachagga ni unstoppable kama liverpool, salute kwao.
kila mtu anawaonea wivu kumbe kwao kuzuri, mtu unpata hamu ya kurudi nyumbani mda wowote, hebu linganisha na kule kwa ndugai dodoma kuna funza balaa, mbungo na hakuna hata kuvutia.
njoo igunga kwa rostam, hakuna miti, yaani ukienda chato ndio kabisa, mkapa kakimbia kwao kaenda kaskazini, Mwinyi kakimbia zanzibar yupo masaki,
Ana....Regina anaelekea kwenye 50.Atakuwa kwenye late 40's
Ana....