Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Kumbuka kilimanjaro hakuna kabila moja.
Kuna wapare na wao wamo ambapo ndipo ubahil ulipo zaliwa.
Kama wachaga wangekuwa si watoaji Mungu asingewabariki. Angewalaani wawe maskini wa kutupwa.. other wise zile nyumba kali wanajenga kule kijijini ni zinatoka wapi? Mbona wanasaidia sana kwenye biashara wanainuana? Mfano mzuri warombo.. wakali wa biashara hawa.

Hao mtajiri walioko mikoa mingine wamewahi kusaidia walemavu.. wamewahi kusaidia yatima..wamewahi kusomesha..?
Hao matajiri walioko dar.. kuna hata mmoja alikuwa na moyo wa kujitolea kama Mengi?
Ndombadilike sasa muache roho mbaya muige huyu mzee ,Mama kiongiz wa Vikoba Kilimanjaro kahojiwa kanisani na kudai matajili wa Kilimanjaro wanawaonaga kama mbwa ata msaada wa kiti kimoja cha kukalia hawawez kuwasaidia alafu mnajisifia ujinga ,ndomaana Makonda alisema Mengi alikua mchaga wa kitofauti .Nikweli uyomama kayadhibitisha ayo wakat akihojiwa na muandishi.
 
Diamond platnumz anafanya Show moja ya kimataifa kwa zaidi ya million 35 Hakuna utani katika hili.

Tatizo lako hukuelewa vizuri umekurupuka Si kila wiki anafanya international Shows, Show mbili tu alizozifanya South korea na Oman hela yake wewe mpaka unakufa hutowahi kuimiliki nauhakika huo hata kama umeajiriwa wizara ya fedha otherwise ukadange UK
mmh!... kazi kweli kweli...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kutupatia mawazo yako ya kimaskini kwamba hatuna au hatuwezi kumiliki Kama huwezi Ni wewe sio mimi
Na Kama alternative yako Ni kudanga Basi we danga
Ila usilete uongo wako hapa
Tafsiri ya neno kudanga ni Kutafuta najua ulikuwa hujui.

Mimi ni mdangaji kweli kwa sasa pesa nayoimiliki baba yako mzazi hajawahi hata kuishika, wewe mwenyewe hadi utakufa utakuwa ukiisikia tu.

Ili kuondoa porojo na pumba zisizo na ushahidi tufanye jambo moja mimi ni kijana mdogo tu ambaye sina hata miaka 30 ila naongoza wazee kwenye taasisi ambayo ina marupurupu ghali sana kwa kifupi mimi ni mpigaji kweli kweli ze pesa nayoitengeneza kwa wiki mbili wewe unaitengeneza miezi miwili kama umeajiriwa na serikali
 
Kweli kuna matajiri na mabilionea tu...nani alikua anaijua hii nyumba ? Sio kina domo wakianza kujenga tu utasikia wanaitisha press conference kuwa anajenga mjengo [emoji3][emoji3][emoji23]
😂😂
 
Kuna reactions unazifanya out of anger, unajua kuwa ni familia ya mama ilimpeleka kusoma Scotland?

Sio kaka mkubwa wa mengi (elitira mengi) ndo alimpeleka Reginald mengi kwenda kusoma scotland?, tena nasikia miaka hiyo elitira alikuwa tajiri, alikuwa anaendesha benz, tena nliambiwa elitira alikuwa kama michael jackson wa machame in terms of popularity Sky Eclat
 
Tafsiri ya neno kudanga ni Kutafuta najua ulikuwa hujui.

Mimi ni mdangaji kweli kwa sasa pesa nayoimiliki baba yako mzazi hajawahi hata kuishika, wewe mwenyewe hadi utakufa utakuwa ukiisikia tu.

Ili kuondoa porojo na pumba zisizo na ushahidi tufanye jambo moja mimi ni kijana mdogo tu ambaye sina hata miaka 30 ila naongoza wazee kwenye taasisi ambayo ina marupurupu ghali sana kwa kifupi mimi ni mpigaji kweli kweli ze pesa nayoitengeneza kwa wiki mbili wewe unaitengeneza miezi miwili kama umeajiriwa na serikali

what if huyo unayemjibu hivi ni mtoto wa andrew chenge ? au ni paul makonda ?
mkuu, hua mnatumia kigezo gani kujua huyo unayemjibu hana pesa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Da
1.Imejengwa kwenye msitu bila kuharibu mazingira.
2.Underground.
3.Bulletproof
4.Vioo vinabadili mwanga yaani ukitaka giza.
5.Underground ya Mwisho ni kwa ajili ya Usalama kama kumetokea shambulizi la silaha za kivita kama MABOMU.
Kufika hukoj ni kwa lift maalum ukiwa kwenye kila Floor. Kuna mahitaji yote ukiwa huko wakati VITA inaendelea huku Juu .
6.GETI TATU.geti ya kwanza unaingia .geti ya pili kukaguliwa na kupaki kama umekuja na gari.Hapa ndio parking. Geti la tatu kupakia kigari maalum kwenda kwenye NYUMBA.
7. PAZIA MAALUM hakuna grill.
8.Maji moto.Kipupwe n.k ni CENTRALIZED. 9.VIFAA VINGI NI SENSOR.
10.Security ni BALAA aliplan wakati anatishiwa maisha yake.
11.Solar na Umeme wa uhakika hata kama VITA inaendelea.
12. Helicopter kutua.
13.Kuna vitu vingine sio vya kutaja kwa mfano swimming pool , Sound heatre n.k

Ilijengwa na contractor wa Israel.View attachment 1092163View attachment 1092164
Da iyo nyumba inasifa zote hizi basi mzee inawezekana pia kuna bishara nyuma yapazia ambayo ni siri yake na mungu anajua sio kwa jiami ivyo kiosama kiosama maana utajiri mkubwa na pesa nyingi nyuma pia kuna mambo mengi labda ndo maana kuna sehem emesema aliijenga akiwa au kipindi anatishiwa maisha yake
 
Back
Top Bottom