Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Hivi mama wawil ataolewa tena jamani?na kama akiolewa atakipeleka kiben ten kwenye hii nyumba? Ila tuache unafki Mzee Mengi alijua kuishi vizuri,Mungu azidi kumrehemu huko alipoenda.
 
1.Imejengwa kwenye msitu bila kuharibu mazingira.2.Underground. 3.Bulletproof
4.Vioo vinabadili mwanga yaani ukitaka giza.
5.Underground ya Mwisho ni kwa ajili ya Usalama kama kumetokea shambulizi la silaha za kivita kama MABOMU.
Kufika hukoj ni kwa lift maalum ukiwa kwenye kila Floor. Kuna mahitaji yote ukiwa huko wakati VITA inaendelea huku Juu .
6.GETI TATU.geti ya kwanza unaingia .geti ya pili kukaguliwa na kupaki kama umekuja na gari.Hapa ndio parking. Geti la tatu kupakia kigari maalum kwenda kwenye NYUMBA.
7. PAZIA MAALUM hakuna grill.
8.Maji moto.Kipupwe n.k ni CENTRALIZED. 9.VIFAA VINGI NI SENSOR.
10.Security ni BALAA aliplan wakati anatishiwa maisha yake.
11.Solar na Umeme wa uhakika hata kama VITA inaendelea.
12. Helicopter kutua.13.Kuna vitu vingine sio vya kutaja kwa mfano swimming pool , Sound heatre n.k

Ilijengwa na contractor wa Israel.View attachment 1092163View attachment 1092164
Nani anaweza kujenga nyumba msituni bila kuharibu mazingira? Acha uongo.
 
Kweli kuna matajiri na mabilionea tu...nani alikua anaijua hii nyumba ? Sio kina domo wakianza kujenga tu utasikia wanaitisha press conference kuwa anajenga mjengo [emoji3][emoji3][emoji23]
We yako iko wapi uliyojenga bila kuitisha press conference?
 
Najitafakarisha hapa na room yng,kwamba ni stoo au chumba cha kulala..??.
Maana baiskeri,ndoo za maji,kabati,jiko,meza,mabati,mbao,tv,fane na makorokoro mengine nashare nayo room...!!..nimeelewa sasa maana ya mjengo...
 
Hawa watu hata wakifa bana wamekula raha pia

NINI KIFO...

KIFO Ni muondoko usiokua wa kurejea.
Ni kwaheri isiyokuwa ya kuonana.
Ni kufichwa bila kutokea tena.
Ni kupotea kwa sura, sauti na mwili bila kuonekana tena.
Ni siri nzito isiyojulikana!
Eee ndugu yangu.....!
Tukae tukiyafikiria sana MAUTI.
Ufahari, mahangaiko, mipango, nguvu, cheo na mengineyo yatasimama siku moja ghafla!
Kitashuka kiza kisicho cha kawaida.
=Yaa Allah =
tunakuomba utuhifadhi na utusitiri na ugumu wa siku hiyo.
HEBU tujiulize masuala haya na lifikirie katika akili yako kila suala jibu utapata mwenyewe ;

Mimi ni nani ktk hii dunia?

Nina miaka mingapi mpaka sasa?

Nimeishi miaka mingapi hadi sasa?

Nimebakiza miaka mingapi ya kuishi?

Nimefanya mangapi kwa ajili ya akhera yangu?

Maovu mangapi nimetenda kwa kuteleza au kwa makusudi?

Lini nilitoa chozi kutubu mabaya yangu?

Lini nilikaa faragha na kumshukuru ALLAH kwa wema anaonitendea?

Hivi mola akichukua roho yangu wakati huu, nimebeba amali ngapi za kheri zitakazo nisaidia?.

Nitakumbukwa kwa wema gani niliowatendea wanadamu na viumbe wengine?

ZINDUKA NDUGU YANGU
.
.
DUNIA ISITUHADAE TUKAMSAHAU MOLA
.
.
RAMADHAN NJEMA
 
Hiyo ndio tafsiri sasa ya kuwa Bilionea sasa. Na laiti angekuwa hai kina sie tusingewahi kujua kama kuna mjengo ka huo Tanzania hii..

Apumzikage kwa amani Baba wa watu japo pia si ajabu hiyo nyumba ikaja kuzua mgogoro huko mbeleni.
 
Hiyo ndio tafsiri sasa ya kuwa Bilionea sasa. Na laiti angekuwa hai hakuna ambaye angejua huo mjengo.

Apumzikage kwa amani Baba wa watu japo pia si ajabu hiyo nyumba ikaja kuzua mgogoro huko mbeleni.
Si tunasikia mjengo huo wa ghorofa imeandikwa ni mali ya mapacha na mama yao hiyo.
 
Hiyo ndio tafsiri sasa ya kuwa Bilionea sasa. Na laiti angekuwa hai hakuna ambaye angejua huo mjengo.

Apumzikage kwa amani Baba wa watu japo pia si ajabu hiyo nyumba ikaja kuzua mgogoro huko mbeleni.
Si tunasikia mjengo huo wa ghorofa imeandikwa ni mali ya mapacha na mama yao hiyo.
 
Si tunasikia mjengo huo wa ghorofa imeandikwa ni mali ya mapacha na mama yao hiyo.


Hao watoto wakubwa sio watu wa kumind vitu Vidogo kama nyumba, wamekua kwenye maisha hayo hayo ya kitajiri ever since they were born kwanza wana nyunba za mapumziko southafrica, Dubai, Newyork, Italy na London ni hekaru kubwa zaidi ya hiyo
 
Back
Top Bottom