Tuzifahamu familia 13 za Illuminati zinazoiendesha dunia na maisha ya binadamu katika nyanja zote

Jackwillpower

JF-Expert Member
Oct 4, 2017
2,301
3,411
TUZIFAHAMU FAMILIA 13 ZA ILLUMINATI ZINAZOIENDESHA DUNIA NA MAISHA YA BINADAMU KATIKA NYANJA ZOTE.

Kwa nini ni muhimu kuzifahamu familia 13 za illuminati? Katika kitabu kinachoitwa"Holy blood Holy Grail" unaweza kuona umuhimu wa kuzifahamu familia hizi 13 zinazoutikisa ulimwengu bila ya walimwengu kujua kinachoendelea. Lengo kubwa ni kuunda dini na Serikali moja ya dunia nzima, Tujitahidi kukipata kitabu hicho na tukisome kwa umakini na hapo tutajua kwamba kuna familia 13 zenye nguvu kubwa duniani na Zimekuwa zikifanya kazi kwa siri kubwa bila watu kujua. Kitabu hicho kitakuambia ni jinsi gani Abraham Lincoln alikuwa mzaliwa katika familia ya Rothchilds, ni jinsi gani Adolf Hitler alizaliwa katika uzao wa Rothchilds na ni jinsi gani familia ya Rockefeller ilivyomuuzia mafuta Adolf Hitler ili afanikishe vita kuu ya pili ya dunia.

Kitabu hicho kitakuonyesha Historia iliyopotoshwa kwenye vitabu vya historia. Kitabu hicho kinasema kwamba eti ni watu walio ndani ya dini ya Freemasons tu tena katika viwango vya digrii za juu ndio wanaotakiwa kujua ukweli wakati watu wa kawaida kama wewe na mimi tunatakiwa kudanganywa kwa kufundishwa Historia ya uongo.
Kila moja ya familia 13 inao viongozi wake wa siri wanaoitwa "Kings* na Queens" yaani wafalme na Malkia, kwa mfano familia ya Rockefeller ina wafalme na Malkia wanaoongoza ibada ndani ya familia hiyo.

Familia zote 13 zinaongozwa kwa pamoja na mabaraza (councils) ambayo yanajumuisha wajumbe 13 ( councils of 13) yaani mjumbe mmoja Kutoka katika kila familia, Baraza hili linafuatiwa na Baraza lenye wajumbe 9 ( Higher council of 9) na kisha kundi la watu watatu ( inner group of 3) ambalo linasimamia na kuongoza shughuli zote zinazofanywa na Baraza la watu 9.

Watu hao watatu ni miongoni mwa watu 9 katika Baraza linaloitwa higher council of 9 baadhi wanaweza kuhoji tunawezaje kujua habari hizi za siri? Ieleweke Mungu ana nguvu inayowagusa watu walio ndani ya dini ya Freemasons nao wanaamua kuachana na dini hiyo kisha kupata wakati mzuri wa kutoa siri za waabudu shetani.

Mfano ni kitabu cha " Who financed Hitler?" Nani alimfadhili Hitler? Cha James Pool, na Suzanne Pool, Hitler anaelezwa humo Kwamba aliwasikiliza baadhi ya watu na alifanya nao ibada za kutoa kafara na ndio hao waliomuweka madarakani. Miongoni mwa watu mashuhuri ndani ya familia ya Rockefeller ni David Rockefeller, huyu aliwahi kusema" this present window of opportunity, during which a truly peaceful and interdependent world order might be built ,will not be open for too long, we are on the verge of global transformation, All we need is the right major crisis and the nations will accept the new world order " akimaanisha kuanzishwa kwa mfumo Mpya wa dunia., au New world order baada ya mgogoro mkubwa.

Akihutubia baraza la Trilateral Commission mwaka 1991 ,David Rockefeller alisema"But the world is now more sophisticated and prepared to march towards a world -government, The supranational sovereignty of an intellectual elite and world bankers is surely preferred to the national auto-determination practiced in past centuries " ya kwamba ulimwengu sasa upo tayari kwa utawala wa Serikali moja ya dunia kwasababu watu wenye akili pamoja na wafanyabiashara za kibenki wanakubali wazo hilo ambalo limewahi kufanya kazi karne chache Zilizopita.

David De Rothschilds, katika familia ya Rothschilds ingawa ni kijana wa umri mdogo ukilinganisha na Jacob Rothschild ambaye anasemekana ni bora zaidi ya Yesu kwasababu Yesu hakuwa bilionea ,Yesu hakupaa juu kwa kutumia chupa za plastiki kwaajili ya kuukomboa ulimwengu ,Yesu hakuwahi kuuokoa ulimwengu kutokana na joto kuongezeka kama anavyofanya David de Rothschild. Katika lugha ya Freemasons Goyim ni mtu asiye muumini wa dini ya Freemasons na kwa maana hiyo wanasema kwamba akina Goyim wote watatawaliwa na David de Rothschilds.

Familia ya Rockefeller hufanya kazi kwa kuongoza baadhi ya taasisi za kidini .Ni familia hii ndiyo iliyoanzisha na inayomiliki Lucist Trust, jina la Lucis ,linatokana na jina Lucifer ,David Rockefeller ni mmoja wa viongozi wakubwa wa taasisi ya Lucis Trust. Pia Inafanya kazi na taasisi mbalimbali kwa kusudio la kupinga na kuangamiza dini za kweli, Maurice Strong ,amekuwa rafiki mkubwa sana wa familia ya Rockefeller ,Ndiye aliyeanzisha taasisi inayoitwa "Mother Gaia".

David Rockefeller amekuwa akifanya kazi na Maurice strong ,akiwa na mawazo ya kuanzisha " kizazi kipya"_Mchungaji Moon kutoka Korea amekuwa kipenzi cha familia ya Rockefeller. Moon anajiita kuwa yeye ndiye kristo na amekuwa akijitahidi kuwahubiria waumini wake kwamba dunia inatakiwa kuwa na dini moja.

Mfuko wa Rockefeller Fund, huelekeza misaada yake ya kifedha katika maeneo makubwa kadhaa, kwanza huelekeza fedha zake kwenye taasisi za elimu zinazomilikiwa na dini mfano" seminaries" nchini Marekani. Kwa mfano Chuo cha Union theological seminary ,kinaendeshwa kwa fedha za mfuko wa Rockefeller kwenye kitengo kinachoitwa "sealantic fund ," ambapo David Rockefeller amewahi kuwa Rais wa kitengo hicho wakati makamu wa Rais akiwa ni Laurance S. Rockefeller na Steven C. Rockefeller kama mjumbe.

Pia mfuko wa Rockefeller huelekeza fedha zake kwenye Vyuo vikuu mbalimbali kwasababu familia hii inasema kwamba "Education influence the religious value of our people " wakimaanisha kwamba elimu ina nguvu kwenye thamani ya dini kwa watu. Mfuko huu ulitoa fedha za kuanzishwa kwa "National Education Association" NEA, nchini Marekani .Ni mfuko huo huo uliotoa fedha za kuanzishwa na kuendesha UNESCO ,Ni mfuko wa Rockefeller Fund ,uliotoa fedha kwa Carl Max ,mtu yule aliyeeneza elimu ya ( Evolution of man) inayopinga na ukweli wa Mungu ambapo hadi leo elimu hiyo inafundishwa mashuleni na vyuoni.

Pia mfuko wa Rockefeller unatoa fedha kwenye taasisi za kidini ,tar 31 januari 1945, John D. Rockefeller, alitoa hotuba kwenye Baraza la Waprotestanti jijini New York alisema: Jawabu la matatizo ya wakristo ni kwamba ukristo unatakiwa kuwa Kanisa la Mungu aliye hai(shetani), "pia mfuko wa Rockefeller unatoa misaada kwenye vyombo vya habari mbalimbali, Baadhi ya magazeti yanayomilikiwa na Rockefeller family ,ni pamoja na "Time magazine" na "Newsweek" mchango wa magazeti haya na mengine ni katika kueneza dini vya Freemasons

Familia ya Van Duyn illuminati, inaeneza dini ya Freemasons kwa njia ya vyombo vya habari, ni vitabu vya Van Daniken wa familia hiyo vinaandika kuhusu kinachojulikana kama "Unidentified Flying Objects" UFO, Vitabu hivyo vinafundisha uwepo wa nguvu kubwa kuliko binadamu ambazo kwazo mwanadamu anapaswa kuabudu. Nguvu hizo ni viumbe wasiojulikana wanaoruka angani yaani UFO .Hata hivyo kwa kuviamini vitabu hivyo mtu anawekwa katika hatari kubwa ya kumuabudu shetani siku atakapotokea akiwa kama UFO.

Ili kufanikisha uandishi wa vitabu vinavyofundisha imani ya UFO ,Van Daniken ,alipata msaada wa fedha kutoka katika familia ya Rockefeller. Tofauti kati ya Freemasons na Illuminati ni kwamba , Freemasons ni dini ya watu ambao ni wajenzi huru ambapo Illuminati ni waumini wa dini hiyo ambao wana nguvu za kiutawala na kiuongozi.

Familia ya Van Duyn, ilianzisha taasisi ya Planned parenthood kuna vitabu vipatavyo 1500 vilivyoandikwa na taasisi ya Planned Parenthood vinavyofundisha Elimu ya kutoa mimba ( Abortion) chanjo na kudhibiti ongezeko la watu duniani( Population Control) pamoja na mafundisho ya malezi anayotakiwa kuwanayo Mama kwa mtoto wake. Mona van Duyn anatoka katika familia ya Illuminati ya Van Duyn, alikuwa ni mwanamke wa kwanza kupata tuzo ya uandishi wa vitabu aliyoipata mwaka 1991 baada ya kuandika vitabu vyenye mafundisho yanayodaiwa kuwa ni mazuri kwaajili ya mapenzi bora ya familia.

FAMILIA ya M. Russell ,(1875--1943) Russell, alikuwa mwenye imani ya Freemasons na Gavana wa Mississippi mwaka 1920--1921.Louis A. Russell Freemasons na mpiga kinanda wa Kanisa la "South Park" Presbyterian Church, Newark, N.J. Richard B. Russell ,Freemasons ,Gavana wa Georgia 1931--1933 na Seneta wa Georgia mwaka 1933.

Familia ya Russell Bloodline. Familia hii imejikita zaidi katika masuala ya dini na ndio waanzilishi wa Kanisa la Mashahidi wa Yehova lililoanzishwa kama " The Watch Tower" Kabla ya kubadili jina na kuwa 'Jehovah Witnesses' ingawa wapo waumini wa dini ya Freemasons walioingizwa ndani ya makanisa na hata misikiti ambao sio wanafamilia ya Russell hata hivyo kazi ya kuhakikisha kwamba dini zinaingiliwa na Freemasons inasimamiwa na familia ya Russell.

Mwingine ni Mch.. Matthew Russell, (1834--1912) aliyekuwa mwandishi wa habari ,muumini wa Freemasons na kasisi wa Kanisa Katoliki katika shirika la Jesuit, Katika kuhakikisha kwamba alama za Freemasons zinasambazwa na kuenea duniani kote. Freemasons wa familia ya Russell walibuni aina ya alama ya msalaba uliotokana na alama kuu ya Freemasons yenye vifaa vya Ujenzi vinavyoitwa "Square" pamoja na "Compass" unaweza kuona alama ya picha ya msalaba inayotumiwa na baadhi ya madhehebu ya kikristo ikiwa na herufi ya G inayodhaniwa kuwa ni kifupi cha GOD au Mungu ,hata hivyo maana halisi ya herufi G ni GAOTU ( Great Architect of the Universe) yaani; Mbunifu mkuu wa ulimwengu ambaye ni Mungu wa Freemasons anayebuni mbinu mbalimbali za kuwaangamiza wanadamu.

FAMILIA ya Reynolds Illuminati bloodline, ambayo unaweza kuona jina hili likiandikwa kama Lloyd. Familia hii inatokana na kizazi cha mchanganyiko wa familia za Rothschild, Rockefeller, Du point pamoja na The graces and Grays, utafiti uliofanywa na taasisi ya The temporary National Economic Committee, ya Marekani mwaka 1937 kuhusu watu matajiri duniani ulibaini kwamba familia ya Reynolds ilikuwa miongoni mwa familia 13 tajiri nchini Marekani na duniani kwa ujumla.

Taarifa zilizotolewa hivi karibuni na Vyombo vya habari zinasema kwamba mtu tajiri kuliko wote duniani ni mwanaume anayeitwa Evelyn Rothschild, baadhi ya wana familia ya Reynolds wamewahi kuandika vitabu mbalimbali mmoja wa wanafamilia ya Reynolds ambaye ni miongoni mwa viongozi wakubwa katika mchakato wa Christians Ecumenical Ministries anaitwa Frank E. Reynolds ambaye ni kiongozi Katika Kanisa la American Baptist.

Frank D. Reynolds, amewahi kufanya kazi kama mtumishi wa kikristo huko Bangkok Thailand. Pamoja na kujifanya mkristo, amekuwa akieneza dini ya budha huko Marekani. Yeye pamoja na mkewe anayeitwa Mani wamewahi kuandika vitabu mbalimbali vinavyohusu dini ya Buddha kwa nia ya kueneza dini hiyo nchini Marekani.

Wengi wa wanafamilia ya Reynolds wamekuwa na imani ya Episcopalian na Itakumbukwa kuwa Kanisa la Episcopal linaongozwa na Freemasons .Mmoja wa viongozi wakubwa katika Kanisa hilo amewahi kueleza waziwazi kuwa Kanisa Hilo linajihusisha na kutoa kafara za watu Katika madhabahu iliyojengwa mbele ya Kanisa hilo.

Wafuatao ni baadhi ya wanafamilia mashuhuri wa familia ya Reynolds ; Barrio Gordon Reynolds, ambaye ni mwandishi wa kitabu cha Magic, Divination & Witchcraft among the Barotse of Northern Rhodesi (1963) ,Charles R. Reynolds, akiwa ameandika kitabu kinachoitwa One hundred years of magic posters(1977) David K.R. Reynolds, mwandishi wa Naikan Psychotherapy: Meditation for self Development .Pub .By Chicago press,; Mani R. Reynolds pamoja na mumewe wakiwa wameandika kitabu cha, Three worlds according to king Ruana, : A Thai Buddhist Cosmology ; Frank E. Reynolds akiwa ameandika kitabu cha Guide to Buddhist Religion, Mwingine ni Jane Reynolds aliyeandika kitabu cha Cosmo biology, ; Lloyd J.K. aliyeandika kitabu cha My dear Runemeister ,A voyage through the alphabet. Vitabu vyote vilivyoandikwa na wana familia ya Reynolds vinahusu kuwafundisha watu kwamba dini ya Freemasons ndiyo dini ya kweli.

Shughuli nyingine inayofanywa na familia ya Reynolds ni biashara ya tumbaku pamoja na kuzalisha ,kutengeneza na kusambaza madawa ya kulevya , unaweza kujiuliza inakuwaje biashara ya madawa ya kulevya inazidi kushamiri duniani bila kukomeshwa? Ukweli ni kwamba ni vigumu kukomesha biashara hii ambayo ni ya watu wakubwa wenye malengo maalum kutoka kwa waumini wa dini ya Freemasons wa familia ya Reynolds. Moja ya sababu ya kutengeneza na kusambaza madawa ya kulevya ni kuharibu akili za watu ,kutawala akili za watu Kutokana na athari zitakazotokana na utumiaji wa madawa hayo.

Familia ya Reynolds ndio wamiliki wa kiwanda cha sigara kinachojulikana kama R.J. Reynolds Tobbaco Co. Ingawa kiwanda hiki kinajulikana kwa utengenezaji wa sigara za kawaida , Wachunguzi wanasema kwamba kiwanda hiki kinajihusisha na utengenezaji wa madawa ya kulevya, Hata hivyo madaktari wanasema sigara ni dawa ya kulevya katika kiwango chake na ndio maana wauzaji wa sigara wamelazimishwa kuweka maandishi yanayotoa tahadhari ya hatari kwa mvutaji wa sigara.

The Reynolds bloodline, ina kazi kubwa inayofanywa ya kusambaza madawa ya kulevya na pamoja na vyakula vinavyoharibu afya ya wanadamu ,Tunaposema madawa ya kulevya sio tu madawa kama cocaine ,Heroine, na mengine bali pia madawa yanayouzwa kwenye maduka ya madawa ambayo yametengenezwa sio kwa makusudi ya kutibu ugonjwa bali kwa makusudi ya kuua watu taratibu kwa uhakika ( killing slowly but sure) hapo unaweza kusikia wadudu wa malaria wamekuwa sugu, Lakini ukweli ni kwamba dawa zinatengenezwa kwa makusudi ya kuua na sio kutibu ndizo zinazosababisha kuongeza ugonjwa mwingine na hivyo kumfanya mgonjwa asipone kirahisi kwa kisingizio cha wadudu kuwa sugu.
Wapo wataalamu wa afya wanaokiri wazi kwamba baadhi ya madawa ya kisasa yana sumu ambayo badala ya kutibu, husababisha na kuongeza madhara zaidi ya Ugonjwa,

Zipo taasisi zina uhusiano na familia ya Reynolds Zikiwemo; COSMOS CLUB, ambapo Joseph Melvin Reynolds, pamoja na Lloyd George Reynolds, ni wajumbe wa taasisi hiyo ,COUNCIL ON FOREIGN RELATIONS wakati William Reynolds, ni mjumbe wa CFR ; PILGRIM SOCIETY huku Richard S. Reynolds, Jr, akiwa mjumbe ; taasisi inayoitwa 33° MASONS ambapo Harman Gransvort Reynolds na Marshall S. Reynolds,wakiwa ni wajumbe. 32 ° MASONS Arthur Rowley Reynolds, Benn Philips Reynolds, Charles Philips Reynolds, Charles Shaw Reynolds, Erwin James Reynolds, Issac Reynolds, Harry Edwards Reynolds, John C. Reynolds, ambaye ni Katibu Msaidizi wa Grand lodge of Illinois ,wote wakiwa ni wajumbe wa 32° MASONS . Taasisi nyingine inaitwa KNIGHT TEMPLAR MASONS ambapo Alex Reynolds ,J Hyatt Reynolds pamoja na T Spaulding Reynolds ni wajumbe ; KNIGHT OF MALTA : Mjumbe kutoka familia ya Reynolds ni John Charles Reynolds.

FAMILIA ya "DuPont Bloodline " Wachunguzi na wafuatiliaji wa Historia ya Illuminati waligundua kwamba familia zinazotawala katika nyanja za kisiasa Kwa mfumo wa falme na Malkia, ( King and Queen) ama wanatokana na familia ya DuPont au wamechukua mfumo huo kutoka kwa Freemasons wa familia ya DuPont ,Kutokana na kufufua mfumo wa utawala wa Mfalme /Malkia kutoka kwa wapagani wa Babeli ,familia ya DuPont ilipewa jina la A DYNASTY OF SATANIC ROYALTY, Hivi karibuni bwana john Coleman ambaye ni mchunguzi wa illuminati aliandika kitabu na kusema kwamba kwa muda mrefu amekuwa akifuatilia utawala wa kifalme wa huko Denmark na kugundua kwamba wanafamilia hao walikuwa wakifanya ibada za kishetani.

Familia ya DuPont moja ya alama na ishara inayotumiwa na familia hii ni pamoja na alama ya "V" herufi hii humaanisha neno "Vulcan " yaani shetani, ambapo wafuasi wa Freemasons wanapoitumia humaanisha kusimamia na kufanikisha malengo matano (5) aliyoyaweka shetani Kwenye kitabu cha Isaya 14:13,14.

Kazi nyingine ya familia ya DuPont ni kuchora michoro ya tattoo na tayari wamefanikiwa kuingiza imani hiyo katika dini za uislamu na ukristo kama tunavyoona waumini wa kikristo wakichorwa Tatoo mwilini wakati wa jumatano ya majivu kuelekea Sikukuu ya "Easter" na waumini wa kiislamu, hasa wanawake ,wanaochorwa miili yao ingawa Koran na Biblia zinakataza tabia hiyo. Waumini wa dhehebu hilo hulazimishwa kuchorwa michoro yenye namba 666 kwenye miili kama moja ya imani yao kwasababu wanaamini kwamba namba hiyo ni namba ya hekima, maana imeandikwa " Hapa ndipo penye hekima ,yeye aliye na akili na aihesabu hesabu ya mnyama huyo ,maana ni hesabu ya kibinadamu .Na hesabu yake ni mia sita sitini na sita(Uf.13:18).

Jose de Jesus anafundisha kwamba namba 666 sio namba mbaya ila ni namba ya watu wenye hekima na akili nyingi . Na hapo ndipo tunapoweza kukubali kwamba Freemasons wanafundisha biblia wakiwa na lengo la kupotosha ukweli, kinyume na baadhi ya walimu wanaojiita kuwa ni "wenye upako " wanaosema kwamba Freemasons hawawezi kuhubiri na kufundisha kwa kutumia Biblia huku wakilitaja jina la Yesu.

Mei Mosi 2012 wakati dhehebu la "Beltane night" lilipoweka mabango katika miji mbalimbali ikiwa ni pamoja na Mtaa uitwao " Bloor Street" uliopo Magharibi mwa jiji la Toronto nchini Canada mabango hayo yakiwa na Jumbe mbalimbali na kuwaonyesha watu kwamba namba 666 itaanza kufanya kazi rasmi hivi karibuni .
Illuminati walikuwa wakisheherekea miaka 236 ya kufufuliwa kwa dini ya Nimrod wa Babeli aliyetumia namba 666.

Kuwekwa kwa mabango hayo Siku ya mei mosi, ambayo hadi leo yapo mitaani ,ni ushahidi mwingine kwamba siku ya Mei mosi ni moja ya Sikukuu kubwa kwa Freemasons na watu wengi wamekuwa wakiungana na Freemasons kusherehekea Sikukuu hiyo bila kujua wanachokifanya. Pichani Jose de Jesus anaonyesha ishara ya vidole viwili yaani namba 11 chini ya namba 666 kuna maneno yanayosema " Number of wisdom " yaani namba 666 ni namba ya hekima kisha kukafuatiwa na maandishi ya Re. 13:18 kwa kumaanisha sura ya kitabu cha Ufunuo 13:18.

Kama hilo Haitoshi dhehebu hilo limeweka mabango mengine yenye ujumbe unaosema " COUNTDOWN TO THE TRANSFORMATION--JUNE 30 ,2012. Ni wazi kwamba ujumbe huo unamaanisha kuhesabika kwa siku za kufikia katika mabadiliko ; kisha wakaweka tarehe 30--06--2012 , wakimaanisha kwamba kuanzia tarehe hiyo kutakuwa na mabadiliko katika dunia nzima.

Bango lingine lina ujumbe unaosema; THERE IS NO SIN" yaani hakuna dhambi kisha wakarejea kitabu cha Waebrania 9:26 waumini hao wanamaanisha kwamba kifo cha Yesu kilitangua dhambi ,Hivyo hakuna mtu anayeweza kutenda dhambi ,hivyo kila mtu yupo huru kuishi atakavyo maana hakuna dhambi.

Familia nyingine ni; "The Bundy Bloodline" jina mbadala la Bush na ndio walioanzisha dhehebu la " The skull and bones" Katika dini ya Freemasons ,Familia hii ya The Astor Illuminati bloodline, ambapo jina Astor linatokana na Mungu wa wapagani wa Babeli aliyeitwa Astarte na kisha akajulikana kama Ishtar na hatimaye kuwekwa Sikukuu inayojulikana kama Easter ambayo ni moja ya Sikukuu kubwa duniani kwa dini ya kikristo. Ieleweke kwamba Sikukuu ya Pasaka sio Sikukuu ya Easter ingawa wengi wanafikiri kuwa ni kitu kimoja.

Familia ya Collins Bloodline, ilianzishwa na mwanamke na kazi kubwa inayofanywa na familia hii ni kuhakikisha kwamba wanawake wanakuwa sawa na wanaume ingawa katika maumbile hilo haliwezekani ,Ni familia ya Collins iliyoanzisha rasmi michakato mbalimbali ya kutetea usawa kati ya wanawake na wanaume. Ndipo wakaanzisha Siku ya wanawake duniani ikiwa ni moja ya mafanikio makubwa sana waliyoyapata katika kuhakikisha kwamba wanawake wanakua sawa na wanaume.

Familia ya Collins bloodline, ilianzishwa na mwanamke aliyetaka kutetea haki za wanawake kwa kufufua imani ya ibada kwa Mungu mke iliyoanzishwa na wapagani wa Babeli. Ni kutokana na mafundisho ya mwanamke huyo leo tunaona waumini wa Freemasons wakifanikiwa kuingiza mafundisho hayo hata ndani ya imani za ukristo na uislamu. Ndio maana leo hii si ajabu kuona wanawake wakiwa wachungaji /Askofu na kusimama kwenye altare/mimbari/madhabahu, wakitoa mahubiri ; ndio maana leo tunaona harakati za akina Mama kudai kushika nyadhifa za juu serikalini kinyume na maagizo ya Mungu, mbaya zaidi limekuwa Jambo la kawaida tena la kisheria kwa wanawake kuoa, na si kuolewa. yote hayo yakiwa ni chimbuko la kutoka kwa wapagani wa Babeli na kisha kufufuliwa na waumini wa Freemasons wa familia ya Collins chini ya Kiongozi wao mwanamke.

Familia ya Li Bloodlines, ambayo inahusika na uongozi wa dini ya Freemasons katika bara la Asia ( China ,Japan,Malaysia, Pakistan, india, Korea, nk) watu wa familia ya Li, wamekuwa mashuhuri katika Bara la Ulaya, katika masuala ya utawala ( siasa) Biashara ,uchumi ,dini, pamoja na Michezo ambapo baadhi ya wanafamilia ya Li wameshiriki katika Michezo ya Olympic nchini Uingereza.

Mmoja wa familia ya Li ,ambaye amekuwa akiandika jina lake kama Lee ,kuan yew, akiwa ni mhitimu wa Chuo Kikuu cha Cambridge katika fani ya sheria, aliwahi kuwa Dikteta mkubwa nchini Singapore ,alikuwa karibu sana na viongozi wakubwa "elite" wa Uingereza ambao walikuwa ni waumini wa illuminati. Kwa mfano Lee aliwakamata watu waliokuwa na nywele ndefu na kuwanyang'anya hati za kusafiria au kuwafunga gerezani, wakati Uingereza ilipoipatia Uhuru nchi ya Singapore mwaka 1959 familia ya Li au Lee ndiyo iliyotawala kwa kupitia chama cha People Action Party.

Mwaka 1976 Lee Kuan Yew, alikutana na Mao Tse-Tung ( ambaye alikuwa kiongozi wa Red China). Mao Tse Tung pia asili yake ni ya ukoo wa familia ya Li, mlinzi wa Mao alikuwa ni Li Yinquiao wakati mshauri wake ni Li Ta-chao ambaye alikuwa ni mwanachama wa Chama cha Freemasons nchini China kinachojulikana kama Red Spear, Secret Society, viongozi wengine wa Chama cha kikomunisti wakati huo ambao ni Chu The ,Ho Lung ,na Liu Chibu-tan walikuwa ni wanachama wa Chama cha Freemasons kinachoitwa Green Gang Secret Society.

Familia za Rothchilds na Rockefeller ziko karibu sana na baadhi ya familia za kijapani na kichina ukilinganisha na familia zingine duniani kote, na ndio maana Japan na China zimepewa heshima kubwa katika masuala ya kiuchumi na kisiasa ili kufanikisha mipango ya NWO ,Nchini Hong Kong familia yenye nguvu kubwa zaidi kuliko zote ni familia ya Li. Kwa mfano tajiri bilionea Li Ka-Shing alitoa mabilioni ya fedha ili kufanikisha ujenzi wa moja ya Vyuo Vikuu vikubwa nchini China, gharama alizotoa Inasemekana ni dola za kimarekani zipatazo milioni 85 kwa mujibu wa jarida liitwalo Fortune Magazine la tarehe 13--07--1992 ukurasa wa 107 na kwa mujibu wa jarida hilo katika ukurasa wa 106 kuna taarifa zinazosema kwamba Li, Ka-shing ana utajiri wa kiasi cha dola za Marekani bilioni 4.

Li ka -Shing ni mmiliki wa makampuni manne makubwa ya kibiashara nchini Hong Kong na ambae amekuwa na ubia katika makampuni makubwa ya nchi za ulaya kama vile MTV ,AT & MOTOROLA pamoja na Time Warner linalomiki Runinga ya CNN. Li Ka-shing anamiliki kituo cha Televisheni cha star TV, ambacho kinarusha matangazo yake kupitia Channel 5 katika nchi za Israel hadi Indonesia na neno "star" hapa humaanisha nyota ya pentagram tunayoiona kwenye majengo ya ibada pia.

Mwaka 1976 Li kuan yew ,alikutana na Mao Tse Tung aliyekuwa kiongozi wa Red China . Mao Tse Tung pia anatokana na familia ya Li. Wakati wa vita nchini China , Li Ta chao alikuwa ni Kiongozi wa chama cha kikomunisti kaskazini mwa China, Mlinzi wa Mao Tse Tung alikuwa ni Li Yinquio wakati mshauri wake Mao alikuwa ni Li Ta chao ambaye alikuwa mwanachama wa chama cha siri cha Red spear secret society, Wanachama wengine wa chama cha siri hiki ni ambao walikuwa wanachama wa chama cha siri kijulikanacho kama Green Gang secret society.

Mchango wa familia ya Li, katika dini ya Freemasons na illuminati ni kuhakikisha mpango wa Dr Adam weishaupt unafanikiwa katika kuhakikisha kwamba mpango wa New world order unakamilika kumekuwepo na matumizi ya alama /ishara mbalimbali ambapo waumini wa Freemasons wanapozitumia wanaamini kwamba wataendelea kupata nguvu zaidi katika kufanikisha mipango yao .

Familia ya Li,imepewa jukumu la kusimamia matumizi ya alama na ishara inayosimamiwa na familia ya Li ni ile inayoitwa "eye glass gesture" yaani ishara ya miwani .ishara hii hutumiwa na waumini wa Freemasons wanapokutana lakini wakiwa hawafahamiani kama ni waumini wa dini hiyo.

Mmoja anapoanza kuonyesha ishara hiyo, mwingine hurudia kuitumia kwa kuonyesha ishara hiyo na hivyo wote wawili hufahamiana pasipo hata kusemezana kwa Maneno ,ikiwa aliyetangulia kuonyesha ishara hiyo ataona mwenzake akiitikia ,aliyeionyesha ishara humtambua mwenzake kuwa sio muumini wa Freemasons, hapa tunakuta ishara inayoitwa "eye glass gesture" yaani jicho la miwani ikitumiwa na waumini wa dini ya Freemasons unaweza kuwaona viongozi wakubwa kama vile Hu jintao wa China na balozi John Bolton wakionyesha ishara ya "eye glass".

Nini maana ya "eye glass gesture"? Ishara hii haitumiki katika utambulisho tu bali inamaanisha kwamba wanaoitumia wanamwabudu Mungu anayewakilishwa kwa alama/ishara au picha ya jicho. Alama nyingine inayosimamiwa na familia ya Li ni alama ya herufi ya V. Herufi au Alama /ishara ya V ina Historia ndefu V humaanisha namba 5 kwa kirumi na wakati Dr Adam weishaupt anafufua dini ya Freemasons ya Nimrod alitumia herufi V kwa kumaanisha kile kinachoitwa " satanic law of five " yaani "kanuni ya kishetani ya namba tano".

Maana nyingine ya Alama ya V ni Mungu jua aliyeitwa Vulcan, na kwenye wapagani wa Babeli kulikuwa na miungu 36 ya Babeli ,Vulcan alihusishwa na moto, radi, na nuru, (light) na wakati wa kusheherekea Sikukuu ya Mungu Vulcan ,wapagani wa Babeli walitakiwa kutoa kafara za watu kwa Mungu huyo.

Familia ya The Onassis Bloodline imekuwa na jukumu la kutengeneza na kusambaza minara sehemu mbalimbali, moja ya aina ya minara mashuhuri ni ule unaojulikana kama Obelisk ambao umejengwa Kwenye nyumba za ibada za Freemasons na hata kwa wakristo na waislamu . Baada ya kuuawa kwa aliyekuwa Rais wa Marekani John Fitzgerald Kennedy, mmoja wa familia ya Onassis alimuoa mjane wa Marehemu John F. Kennedy . Onassis alikuwa muumini wa Freemasons, na siku zote Freemasons wamekuwa wakioana wenyewe kwa wenyewe, ni mwiko kwa muumini wa Freemasons kuoa Mke ambaye sio muumini wa dini ya Freemasons.

Taasisi ya familia ya Club of Rome ilianzishwa mwaka 1968 huko Rumi Italia na Aurelio Peccei na inajieleza yenyewe kuwa ni " a group of world citizens ,sharing a common concern for the future of humanity, " kumaanisha kuwa ni kundi la watu wa ulimwengu wenye malengo mamoja kuhusu mstakabali wa ulimwengu katika siku za usoni.wanachama wa kundi hili ni viongozi wakuu wastaafu wa UN.

Wafanyabiashara wakubwa wanasiasa ,maofisa wa kiserikali mabalozi ,Wanasayansi, wachumi , na viongozi wakubwa wa biashara duniani,Tangu julai mwaka 2008 Makao Makuu ya club of Rome yapo Winterthur, Switzerland. Kama tunavyoona nembo ya club of Rome tayari kundi hili limeugawa ulimwengu wote katika majimbo 10 ambayo ndiyo yatakayounda Serikali moja ya dunia. Majimbo hayo yameundwa kwa kufuatia maeneo ya kijiografia pamoja na maendeleo ya Mataifa.

Kazi nyingine inayofanywa na Club of Rome ni pamoja na kudhoofisha dini mbalimbali kwa lengo la kuunganisha dini na Serikali na kuwa kitu kimoja .Hivi karibuni kumefanyika Mkutano unaojulikana kama " World Economic Forum " huko Davis Switzerland na kuhudhuriwa na watu mbalimbali. Katika Mkutano huo ilionekana kwamba uchumi wa dunia hauwezi kuimarika kama swala la dini halitatazamwa kwa kina.

Kundi la club of Rome limeuweka ulimwengu wote katika Mpangilio wa majimbo 10 yatakayounda Serikali moja ya dunia , ni kutokana na mpangilio huo mipango ya illuminati na Freemasons inatekelezwa hatua kwa hatua. Tukichunguza matukio duniani Tutaamini kuna mpangilio wa majimbo 10 na matukio mengi tunayoyaona leo hayatokei kwa bahati mbaya bali kuna nguvu kubwa nyuma ya pazia la matukio hayo.

Rabbi Pinchas Goldschmidt wa Russia Jewish Community, alisikika akisema kwamba " Religion is more relevant now than ever " akimaanisha kwamba ,kwa sasa dini ni muhimu kuliko wakati uliopita. Naye sister Carol Keehan ,Mkuu wa Catholic ,Health Association " kundi linalowakilisha zaidi ya Hospitali 600 za Marekani alisema kwamba watu wote duniani wanapaswa kuamini nguvu kubwa zaidi.

Taasisi ya" Pew forum on religion & Public life ( PFRPL) ilisema kwamba kufikia mwaka 2010 asilimia 84 ya watu wote duniani wanaofikia 6.9 bilioni wanaamini katika dini, kutokana na ukweli kwamba ,PFRPL inasema ,uchumi wa dunia hauwezi kuimarika kama imani za watu wengi kiasi hicho haitahusishwa na ukuaji wa uchumi .Nini suruhisho? Ni wazi kwamba ili kuleta muafaka kwa watu wote lazima kanuni ya kwanza itumike, kanuni ya utendaji wa Freemasons " Ab Ordo Chao " yaani "Order out of chaos" kutakuwa na machafuko ndani ya madhehebu yaliyokusudiwa kudhoofisha nguvu za watu kwa lengo la kuanzisha mfumo mpya wa Utaratibu mpya wa kiuchumi na kidini.

FB_IMG_1704174662797.jpg
FB_IMG_1704174648814.jpg
FB_IMG_1704174645996.jpg
FB_IMG_1704174640714.jpg
FB_IMG_1704172456647.jpg
 
TUZIFAHAMU FAMILIA 13 ZA ILLUMINATI ZINAZOIENDESHA DUNIA NA MAISHA YA BINADAMU KATIKA NYANJA ZOTE.

Kwa nini ni muhimu kuzifahamu familia 13 za illuminati? Katika kitabu kinachoitwa"Holy blood Holy Grail" unaweza kuona umuhimu wa kuzifahamu familia hizi 13 zinazoutikisa ulimwengu bila ya walimwengu kujua kinachoendelea. Lengo kubwa ni kuunda dini na Serikali moja ya dunia nzima, Tujitahidi kukipata kitabu hicho na tukisome kwa umakini na hapo tutajua kwamba kuna familia 13 zenye nguvu kubwa duniani na Zimekuwa zikifanya kazi kwa siri kubwa bila watu kujua. Kitabu hicho kitakuambia ni jinsi gani Abraham Lincoln alikuwa mzaliwa katika familia ya Rothchilds, ni jinsi gani Adolf Hitler alizaliwa katika uzao wa Rothchilds na ni jinsi gani familia ya Rockefeller ilivyomuuzia mafuta Adolf Hitler ili afanikishe vita kuu ya pili ya dunia.

Kitabu hicho kitakuonyesha Historia iliyopotoshwa kwenye vitabu vya historia. Kitabu hicho kinasema kwamba eti ni watu walio ndani ya dini ya Freemasons tu tena katika viwango vya digrii za juu ndio wanaotakiwa kujua ukweli wakati watu wa kawaida kama wewe na mimi tunatakiwa kudanganywa kwa kufundishwa Historia ya uongo.
Kila moja ya familia 13 inao viongozi wake wa siri wanaoitwa "Kings* na Queens" yaani wafalme na Malkia, kwa mfano familia ya Rockefeller ina wafalme na Malkia wanaoongoza ibada ndani ya familia hiyo.

Familia zote 13 zinaongozwa kwa pamoja na mabaraza (councils) ambayo yanajumuisha wajumbe 13 ( councils of 13) yaani mjumbe mmoja Kutoka katika kila familia, Baraza hili linafuatiwa na Baraza lenye wajumbe 9 ( Higher council of 9) na kisha kundi la watu watatu ( inner group of 3) ambalo linasimamia na kuongoza shughuli zote zinazofanywa na Baraza la watu 9.

Watu hao watatu ni miongoni mwa watu 9 katika Baraza linaloitwa higher council of 9 baadhi wanaweza kuhoji tunawezaje kujua habari hizi za siri? Ieleweke Mungu ana nguvu inayowagusa watu walio ndani ya dini ya Freemasons nao wanaamua kuachana na dini hiyo kisha kupata wakati mzuri wa kutoa siri za waabudu shetani.

Mfano ni kitabu cha " Who financed Hitler?" Nani alimfadhili Hitler? Cha James Pool, na Suzanne Pool, Hitler anaelezwa humo Kwamba aliwasikiliza baadhi ya watu na alifanya nao ibada za kutoa kafara na ndio hao waliomuweka madarakani. Miongoni mwa watu mashuhuri ndani ya familia ya Rockefeller ni David Rockefeller, huyu aliwahi kusema" this present window of opportunity, during which a truly peaceful and interdependent world order might be built ,will not be open for too long, we are on the verge of global transformation, All we need is the right major crisis and the nations will accept the new world order " akimaanisha kuanzishwa kwa mfumo Mpya wa dunia., au New world order baada ya mgogoro mkubwa.

Akihutubia baraza la Trilateral Commission mwaka 1991 ,David Rockefeller alisema"But the world is now more sophisticated and prepared to march towards a world -government, The supranational sovereignty of an intellectual elite and world bankers is surely preferred to the national auto-determination practiced in past centuries " ya kwamba ulimwengu sasa upo tayari kwa utawala wa Serikali moja ya dunia kwasababu watu wenye akili pamoja na wafanyabiashara za kibenki wanakubali wazo hilo ambalo limewahi kufanya kazi karne chache Zilizopita.

David De Rothschilds, katika familia ya Rothschilds ingawa ni kijana wa umri mdogo ukilinganisha na Jacob Rothschild ambaye anasemekana ni bora zaidi ya Yesu kwasababu Yesu hakuwa bilionea ,Yesu hakupaa juu kwa kutumia chupa za plastiki kwaajili ya kuukomboa ulimwengu ,Yesu hakuwahi kuuokoa ulimwengu kutokana na joto kuongezeka kama anavyofanya David de Rothschild. Katika lugha ya Freemasons Goyim ni mtu asiye muumini wa dini ya Freemasons na kwa maana hiyo wanasema kwamba akina Goyim wote watatawaliwa na David de Rothschilds.

Familia ya Rockefeller hufanya kazi kwa kuongoza baadhi ya taasisi za kidini .Ni familia hii ndiyo iliyoanzisha na inayomiliki Lucist Trust, jina la Lucis ,linatokana na jina Lucifer ,David Rockefeller ni mmoja wa viongozi wakubwa wa taasisi ya Lucis Trust. Pia Inafanya kazi na taasisi mbalimbali kwa kusudio la kupinga na kuangamiza dini za kweli, Maurice Strong ,amekuwa rafiki mkubwa sana wa familia ya Rockefeller ,Ndiye aliyeanzisha taasisi inayoitwa "Mother Gaia".

David Rockefeller amekuwa akifanya kazi na Maurice strong ,akiwa na mawazo ya kuanzisha " kizazi kipya"_Mchungaji Moon kutoka Korea amekuwa kipenzi cha familia ya Rockefeller. Moon anajiita kuwa yeye ndiye kristo na amekuwa akijitahidi kuwahubiria waumini wake kwamba dunia inatakiwa kuwa na dini moja.

Mfuko wa Rockefeller Fund, huelekeza misaada yake ya kifedha katika maeneo makubwa kadhaa, kwanza huelekeza fedha zake kwenye taasisi za elimu zinazomilikiwa na dini mfano" seminaries" nchini Marekani. Kwa mfano Chuo cha Union theological seminary ,kinaendeshwa kwa fedha za mfuko wa Rockefeller kwenye kitengo kinachoitwa "sealantic fund ," ambapo David Rockefeller amewahi kuwa Rais wa kitengo hicho wakati makamu wa Rais akiwa ni Laurance S. Rockefeller na Steven C. Rockefeller kama mjumbe.

Pia mfuko wa Rockefeller huelekeza fedha zake kwenye Vyuo vikuu mbalimbali kwasababu familia hii inasema kwamba "Education influence the religious value of our people " wakimaanisha kwamba elimu ina nguvu kwenye thamani ya dini kwa watu. Mfuko huu ulitoa fedha za kuanzishwa kwa "National Education Association" NEA, nchini Marekani .Ni mfuko huo huo uliotoa fedha za kuanzishwa na kuendesha UNESCO ,Ni mfuko wa Rockefeller Fund ,uliotoa fedha kwa Carl Max ,mtu yule aliyeeneza elimu ya ( Evolution of man) inayopinga na ukweli wa Mungu ambapo hadi leo elimu hiyo inafundishwa mashuleni na vyuoni.

Pia mfuko wa Rockefeller unatoa fedha kwenye taasisi za kidini ,tar 31 januari 1945, John D. Rockefeller, alitoa hotuba kwenye Baraza la Waprotestanti jijini New York alisema: Jawabu la matatizo ya wakristo ni kwamba ukristo unatakiwa kuwa Kanisa la Mungu aliye hai(shetani), "pia mfuko wa Rockefeller unatoa misaada kwenye vyombo vya habari mbalimbali, Baadhi ya magazeti yanayomilikiwa na Rockefeller family ,ni pamoja na "Time magazine" na "Newsweek" mchango wa magazeti haya na mengine ni katika kueneza dini vya Freemasons

Familia ya Van Duyn illuminati, inaeneza dini ya Freemasons kwa njia ya vyombo vya habari, ni vitabu vya Van Daniken wa familia hiyo vinaandika kuhusu kinachojulikana kama "Unidentified Flying Objects" UFO, Vitabu hivyo vinafundisha uwepo wa nguvu kubwa kuliko binadamu ambazo kwazo mwanadamu anapaswa kuabudu. Nguvu hizo ni viumbe wasiojulikana wanaoruka angani yaani UFO .Hata hivyo kwa kuviamini vitabu hivyo mtu anawekwa katika hatari kubwa ya kumuabudu shetani siku atakapotokea akiwa kama UFO.

Ili kufanikisha uandishi wa vitabu vinavyofundisha imani ya UFO ,Van Daniken ,alipata msaada wa fedha kutoka katika familia ya Rockefeller. Tofauti kati ya Freemasons na Illuminati ni kwamba , Freemasons ni dini ya watu ambao ni wajenzi huru ambapo Illuminati ni waumini wa dini hiyo ambao wana nguvu za kiutawala na kiuongozi.

Familia ya Van Duyn, ilianzisha taasisi ya Planned parenthood kuna vitabu vipatavyo 1500 vilivyoandikwa na taasisi ya Planned Parenthood vinavyofundisha Elimu ya kutoa mimba ( Abortion) chanjo na kudhibiti ongezeko la watu duniani( Population Control) pamoja na mafundisho ya malezi anayotakiwa kuwanayo Mama kwa mtoto wake. Mona van Duyn anatoka katika familia ya Illuminati ya Van Duyn, alikuwa ni mwanamke wa kwanza kupata tuzo ya uandishi wa vitabu aliyoipata mwaka 1991 baada ya kuandika vitabu vyenye mafundisho yanayodaiwa kuwa ni mazuri kwaajili ya mapenzi bora ya familia.

FAMILIA ya M. Russell ,(1875--1943) Russell, alikuwa mwenye imani ya Freemasons na Gavana wa Mississippi mwaka 1920--1921.Louis A. Russell Freemasons na mpiga kinanda wa Kanisa la "South Park" Presbyterian Church, Newark, N.J. Richard B. Russell ,Freemasons ,Gavana wa Georgia 1931--1933 na Seneta wa Georgia mwaka 1933.

Familia ya Russell Bloodline. Familia hii imejikita zaidi katika masuala ya dini na ndio waanzilishi wa Kanisa la Mashahidi wa Yehova lililoanzishwa kama " The Watch Tower" Kabla ya kubadili jina na kuwa 'Jehovah Witnesses' ingawa wapo waumini wa dini ya Freemasons walioingizwa ndani ya makanisa na hata misikiti ambao sio wanafamilia ya Russell hata hivyo kazi ya kuhakikisha kwamba dini zinaingiliwa na Freemasons inasimamiwa na familia ya Russell.

Mwingine ni Mch.. Matthew Russell, (1834--1912) aliyekuwa mwandishi wa habari ,muumini wa Freemasons na kasisi wa Kanisa Katoliki katika shirika la Jesuit, Katika kuhakikisha kwamba alama za Freemasons zinasambazwa na kuenea duniani kote. Freemasons wa familia ya Russell walibuni aina ya alama ya msalaba uliotokana na alama kuu ya Freemasons yenye vifaa vya Ujenzi vinavyoitwa "Square" pamoja na "Compass" unaweza kuona alama ya picha ya msalaba inayotumiwa na baadhi ya madhehebu ya kikristo ikiwa na herufi ya G inayodhaniwa kuwa ni kifupi cha GOD au Mungu ,hata hivyo maana halisi ya herufi G ni GAOTU ( Great Architect of the Universe) yaani; Mbunifu mkuu wa ulimwengu ambaye ni Mungu wa Freemasons anayebuni mbinu mbalimbali za kuwaangamiza wanadamu.

FAMILIA ya Reynolds Illuminati bloodline, ambayo unaweza kuona jina hili likiandikwa kama Lloyd. Familia hii inatokana na kizazi cha mchanganyiko wa familia za Rothschild, Rockefeller, Du point pamoja na The graces and Grays, utafiti uliofanywa na taasisi ya The temporary National Economic Committee, ya Marekani mwaka 1937 kuhusu watu matajiri duniani ulibaini kwamba familia ya Reynolds ilikuwa miongoni mwa familia 13 tajiri nchini Marekani na duniani kwa ujumla.

Taarifa zilizotolewa hivi karibuni na Vyombo vya habari zinasema kwamba mtu tajiri kuliko wote duniani ni mwanaume anayeitwa Evelyn Rothschild, baadhi ya wana familia ya Reynolds wamewahi kuandika vitabu mbalimbali mmoja wa wanafamilia ya Reynolds ambaye ni miongoni mwa viongozi wakubwa katika mchakato wa Christians Ecumenical Ministries anaitwa Frank E. Reynolds ambaye ni kiongozi Katika Kanisa la American Baptist.

Frank D. Reynolds, amewahi kufanya kazi kama mtumishi wa kikristo huko Bangkok Thailand. Pamoja na kujifanya mkristo, amekuwa akieneza dini ya budha huko Marekani. Yeye pamoja na mkewe anayeitwa Mani wamewahi kuandika vitabu mbalimbali vinavyohusu dini ya Buddha kwa nia ya kueneza dini hiyo nchini Marekani.

Wengi wa wanafamilia ya Reynolds wamekuwa na imani ya Episcopalian na Itakumbukwa kuwa Kanisa la Episcopal linaongozwa na Freemasons .Mmoja wa viongozi wakubwa katika Kanisa hilo amewahi kueleza waziwazi kuwa Kanisa Hilo linajihusisha na kutoa kafara za watu Katika madhabahu iliyojengwa mbele ya Kanisa hilo.

Wafuatao ni baadhi ya wanafamilia mashuhuri wa familia ya Reynolds ; Barrio Gordon Reynolds, ambaye ni mwandishi wa kitabu cha Magic, Divination & Witchcraft among the Barotse of Northern Rhodesi (1963) ,Charles R. Reynolds, akiwa ameandika kitabu kinachoitwa One hundred years of magic posters(1977) David K.R. Reynolds, mwandishi wa Naikan Psychotherapy: Meditation for self Development .Pub .By Chicago press,; Mani R. Reynolds pamoja na mumewe wakiwa wameandika kitabu cha, Three worlds according to king Ruana, : A Thai Buddhist Cosmology ; Frank E. Reynolds akiwa ameandika kitabu cha Guide to Buddhist Religion, Mwingine ni Jane Reynolds aliyeandika kitabu cha Cosmo biology, ; Lloyd J.K. aliyeandika kitabu cha My dear Runemeister ,A voyage through the alphabet. Vitabu vyote vilivyoandikwa na wana familia ya Reynolds vinahusu kuwafundisha watu kwamba dini ya Freemasons ndiyo dini ya kweli.

Shughuli nyingine inayofanywa na familia ya Reynolds ni biashara ya tumbaku pamoja na kuzalisha ,kutengeneza na kusambaza madawa ya kulevya , unaweza kujiuliza inakuwaje biashara ya madawa ya kulevya inazidi kushamiri duniani bila kukomeshwa? Ukweli ni kwamba ni vigumu kukomesha biashara hii ambayo ni ya watu wakubwa wenye malengo maalum kutoka kwa waumini wa dini ya Freemasons wa familia ya Reynolds. Moja ya sababu ya kutengeneza na kusambaza madawa ya kulevya ni kuharibu akili za watu ,kutawala akili za watu Kutokana na athari zitakazotokana na utumiaji wa madawa hayo.

Familia ya Reynolds ndio wamiliki wa kiwanda cha sigara kinachojulikana kama R.J. Reynolds Tobbaco Co. Ingawa kiwanda hiki kinajulikana kwa utengenezaji wa sigara za kawaida , Wachunguzi wanasema kwamba kiwanda hiki kinajihusisha na utengenezaji wa madawa ya kulevya, Hata hivyo madaktari wanasema sigara ni dawa ya kulevya katika kiwango chake na ndio maana wauzaji wa sigara wamelazimishwa kuweka maandishi yanayotoa tahadhari ya hatari kwa mvutaji wa sigara.

The Reynolds bloodline, ina kazi kubwa inayofanywa ya kusambaza madawa ya kulevya na pamoja na vyakula vinavyoharibu afya ya wanadamu ,Tunaposema madawa ya kulevya sio tu madawa kama cocaine ,Heroine, na mengine bali pia madawa yanayouzwa kwenye maduka ya madawa ambayo yametengenezwa sio kwa makusudi ya kutibu ugonjwa bali kwa makusudi ya kuua watu taratibu kwa uhakika ( killing slowly but sure) hapo unaweza kusikia wadudu wa malaria wamekuwa sugu, Lakini ukweli ni kwamba dawa zinatengenezwa kwa makusudi ya kuua na sio kutibu ndizo zinazosababisha kuongeza ugonjwa mwingine na hivyo kumfanya mgonjwa asipone kirahisi kwa kisingizio cha wadudu kuwa sugu.
Wapo wataalamu wa afya wanaokiri wazi kwamba baadhi ya madawa ya kisasa yana sumu ambayo badala ya kutibu, husababisha na kuongeza madhara zaidi ya Ugonjwa,

Zipo taasisi zina uhusiano na familia ya Reynolds Zikiwemo; COSMOS CLUB, ambapo Joseph Melvin Reynolds, pamoja na Lloyd George Reynolds, ni wajumbe wa taasisi hiyo ,COUNCIL ON FOREIGN RELATIONS wakati William Reynolds, ni mjumbe wa CFR ; PILGRIM SOCIETY huku Richard S. Reynolds, Jr, akiwa mjumbe ; taasisi inayoitwa 33° MASONS ambapo Harman Gransvort Reynolds na Marshall S. Reynolds,wakiwa ni wajumbe. 32 ° MASONS Arthur Rowley Reynolds, Benn Philips Reynolds, Charles Philips Reynolds, Charles Shaw Reynolds, Erwin James Reynolds, Issac Reynolds, Harry Edwards Reynolds, John C. Reynolds, ambaye ni Katibu Msaidizi wa Grand lodge of Illinois ,wote wakiwa ni wajumbe wa 32° MASONS . Taasisi nyingine inaitwa KNIGHT TEMPLAR MASONS ambapo Alex Reynolds ,J Hyatt Reynolds pamoja na T Spaulding Reynolds ni wajumbe ; KNIGHT OF MALTA : Mjumbe kutoka familia ya Reynolds ni John Charles Reynolds.

FAMILIA ya "DuPont Bloodline " Wachunguzi na wafuatiliaji wa Historia ya Illuminati waligundua kwamba familia zinazotawala katika nyanja za kisiasa Kwa mfumo wa falme na Malkia, ( King and Queen) ama wanatokana na familia ya DuPont au wamechukua mfumo huo kutoka kwa Freemasons wa familia ya DuPont ,Kutokana na kufufua mfumo wa utawala wa Mfalme /Malkia kutoka kwa wapagani wa Babeli ,familia ya DuPont ilipewa jina la A DYNASTY OF SATANIC ROYALTY, Hivi karibuni bwana john Coleman ambaye ni mchunguzi wa illuminati aliandika kitabu na kusema kwamba kwa muda mrefu amekuwa akifuatilia utawala wa kifalme wa huko Denmark na kugundua kwamba wanafamilia hao walikuwa wakifanya ibada za kishetani.

Familia ya DuPont moja ya alama na ishara inayotumiwa na familia hii ni pamoja na alama ya "V" herufi hii humaanisha neno "Vulcan " yaani shetani, ambapo wafuasi wa Freemasons wanapoitumia humaanisha kusimamia na kufanikisha malengo matano (5) aliyoyaweka shetani Kwenye kitabu cha Isaya 14:13,14.

Kazi nyingine ya familia ya DuPont ni kuchora michoro ya tattoo na tayari wamefanikiwa kuingiza imani hiyo katika dini za uislamu na ukristo kama tunavyoona waumini wa kikristo wakichorwa Tatoo mwilini wakati wa jumatano ya majivu kuelekea Sikukuu ya "Easter" na waumini wa kiislamu, hasa wanawake ,wanaochorwa miili yao ingawa Koran na Biblia zinakataza tabia hiyo. Waumini wa dhehebu hilo hulazimishwa kuchorwa michoro yenye namba 666 kwenye miili kama moja ya imani yao kwasababu wanaamini kwamba namba hiyo ni namba ya hekima, maana imeandikwa " Hapa ndipo penye hekima ,yeye aliye na akili na aihesabu hesabu ya mnyama huyo ,maana ni hesabu ya kibinadamu .Na hesabu yake ni mia sita sitini na sita(Uf.13:18).

Jose de Jesus anafundisha kwamba namba 666 sio namba mbaya ila ni namba ya watu wenye hekima na akili nyingi . Na hapo ndipo tunapoweza kukubali kwamba Freemasons wanafundisha biblia wakiwa na lengo la kupotosha ukweli, kinyume na baadhi ya walimu wanaojiita kuwa ni "wenye upako " wanaosema kwamba Freemasons hawawezi kuhubiri na kufundisha kwa kutumia Biblia huku wakilitaja jina la Yesu.

Mei Mosi 2012 wakati dhehebu la "Beltane night" lilipoweka mabango katika miji mbalimbali ikiwa ni pamoja na Mtaa uitwao " Bloor Street" uliopo Magharibi mwa jiji la Toronto nchini Canada mabango hayo yakiwa na Jumbe mbalimbali na kuwaonyesha watu kwamba namba 666 itaanza kufanya kazi rasmi hivi karibuni .
Illuminati walikuwa wakisheherekea miaka 236 ya kufufuliwa kwa dini ya Nimrod wa Babeli aliyetumia namba 666.

Kuwekwa kwa mabango hayo Siku ya mei mosi, ambayo hadi leo yapo mitaani ,ni ushahidi mwingine kwamba siku ya Mei mosi ni moja ya Sikukuu kubwa kwa Freemasons na watu wengi wamekuwa wakiungana na Freemasons kusherehekea Sikukuu hiyo bila kujua wanachokifanya. Pichani Jose de Jesus anaonyesha ishara ya vidole viwili yaani namba 11 chini ya namba 666 kuna maneno yanayosema " Number of wisdom " yaani namba 666 ni namba ya hekima kisha kukafuatiwa na maandishi ya Re. 13:18 kwa kumaanisha sura ya kitabu cha Ufunuo 13:18.

Kama hilo Haitoshi dhehebu hilo limeweka mabango mengine yenye ujumbe unaosema " COUNTDOWN TO THE TRANSFORMATION--JUNE 30 ,2012. Ni wazi kwamba ujumbe huo unamaanisha kuhesabika kwa siku za kufikia katika mabadiliko ; kisha wakaweka tarehe 30--06--2012 , wakimaanisha kwamba kuanzia tarehe hiyo kutakuwa na mabadiliko katika dunia nzima.

Bango lingine lina ujumbe unaosema; THERE IS NO SIN" yaani hakuna dhambi kisha wakarejea kitabu cha Waebrania 9:26 waumini hao wanamaanisha kwamba kifo cha Yesu kilitangua dhambi ,Hivyo hakuna mtu anayeweza kutenda dhambi ,hivyo kila mtu yupo huru kuishi atakavyo maana hakuna dhambi.

Familia nyingine ni; "The Bundy Bloodline" jina mbadala la Bush na ndio walioanzisha dhehebu la " The skull and bones" Katika dini ya Freemasons ,Familia hii ya The Astor Illuminati bloodline, ambapo jina Astor linatokana na Mungu wa wapagani wa Babeli aliyeitwa Astarte na kisha akajulikana kama Ishtar na hatimaye kuwekwa Sikukuu inayojulikana kama Easter ambayo ni moja ya Sikukuu kubwa duniani kwa dini ya kikristo. Ieleweke kwamba Sikukuu ya Pasaka sio Sikukuu ya Easter ingawa wengi wanafikiri kuwa ni kitu kimoja.

Familia ya Collins Bloodline, ilianzishwa na mwanamke na kazi kubwa inayofanywa na familia hii ni kuhakikisha kwamba wanawake wanakuwa sawa na wanaume ingawa katika maumbile hilo haliwezekani ,Ni familia ya Collins iliyoanzisha rasmi michakato mbalimbali ya kutetea usawa kati ya wanawake na wanaume. Ndipo wakaanzisha Siku ya wanawake duniani ikiwa ni moja ya mafanikio makubwa sana waliyoyapata katika kuhakikisha kwamba wanawake wanakua sawa na wanaume.

Familia ya Collins bloodline, ilianzishwa na mwanamke aliyetaka kutetea haki za wanawake kwa kufufua imani ya ibada kwa Mungu mke iliyoanzishwa na wapagani wa Babeli. Ni kutokana na mafundisho ya mwanamke huyo leo tunaona waumini wa Freemasons wakifanikiwa kuingiza mafundisho hayo hata ndani ya imani za ukristo na uislamu. Ndio maana leo hii si ajabu kuona wanawake wakiwa wachungaji /Askofu na kusimama kwenye altare/mimbari/madhabahu, wakitoa mahubiri ; ndio maana leo tunaona harakati za akina Mama kudai kushika nyadhifa za juu serikalini kinyume na maagizo ya Mungu, mbaya zaidi limekuwa Jambo la kawaida tena la kisheria kwa wanawake kuoa, na si kuolewa. yote hayo yakiwa ni chimbuko la kutoka kwa wapagani wa Babeli na kisha kufufuliwa na waumini wa Freemasons wa familia ya Collins chini ya Kiongozi wao mwanamke.

Familia ya Li Bloodlines, ambayo inahusika na uongozi wa dini ya Freemasons katika bara la Asia ( China ,Japan,Malaysia, Pakistan, india, Korea, nk) watu wa familia ya Li, wamekuwa mashuhuri katika Bara la Ulaya, katika masuala ya utawala ( siasa) Biashara ,uchumi ,dini, pamoja na Michezo ambapo baadhi ya wanafamilia ya Li wameshiriki katika Michezo ya Olympic nchini Uingereza.

Mmoja wa familia ya Li ,ambaye amekuwa akiandika jina lake kama Lee ,kuan yew, akiwa ni mhitimu wa Chuo Kikuu cha Cambridge katika fani ya sheria, aliwahi kuwa Dikteta mkubwa nchini Singapore ,alikuwa karibu sana na viongozi wakubwa "elite" wa Uingereza ambao walikuwa ni waumini wa illuminati. Kwa mfano Lee aliwakamata watu waliokuwa na nywele ndefu na kuwanyang'anya hati za kusafiria au kuwafunga gerezani, wakati Uingereza ilipoipatia Uhuru nchi ya Singapore mwaka 1959 familia ya Li au Lee ndiyo iliyotawala kwa kupitia chama cha People Action Party.

Mwaka 1976 Lee Kuan Yew, alikutana na Mao Tse-Tung ( ambaye alikuwa kiongozi wa Red China). Mao Tse Tung pia asili yake ni ya ukoo wa familia ya Li, mlinzi wa Mao alikuwa ni Li Yinquiao wakati mshauri wake ni Li Ta-chao ambaye alikuwa ni mwanachama wa Chama cha Freemasons nchini China kinachojulikana kama Red Spear, Secret Society, viongozi wengine wa Chama cha kikomunisti wakati huo ambao ni Chu The ,Ho Lung ,na Liu Chibu-tan walikuwa ni wanachama wa Chama cha Freemasons kinachoitwa Green Gang Secret Society.

Familia za Rothchilds na Rockefeller ziko karibu sana na baadhi ya familia za kijapani na kichina ukilinganisha na familia zingine duniani kote, na ndio maana Japan na China zimepewa heshima kubwa katika masuala ya kiuchumi na kisiasa ili kufanikisha mipango ya NWO ,Nchini Hong Kong familia yenye nguvu kubwa zaidi kuliko zote ni familia ya Li. Kwa mfano tajiri bilionea Li Ka-Shing alitoa mabilioni ya fedha ili kufanikisha ujenzi wa moja ya Vyuo Vikuu vikubwa nchini China, gharama alizotoa Inasemekana ni dola za kimarekani zipatazo milioni 85 kwa mujibu wa jarida liitwalo Fortune Magazine la tarehe 13--07--1992 ukurasa wa 107 na kwa mujibu wa jarida hilo katika ukurasa wa 106 kuna taarifa zinazosema kwamba Li, Ka-shing ana utajiri wa kiasi cha dola za Marekani bilioni 4.

Li ka -Shing ni mmiliki wa makampuni manne makubwa ya kibiashara nchini Hong Kong na ambae amekuwa na ubia katika makampuni makubwa ya nchi za ulaya kama vile MTV ,AT & MOTOROLA pamoja na Time Warner linalomiki Runinga ya CNN. Li Ka-shing anamiliki kituo cha Televisheni cha star TV, ambacho kinarusha matangazo yake kupitia Channel 5 katika nchi za Israel hadi Indonesia na neno "star" hapa humaanisha nyota ya pentagram tunayoiona kwenye majengo ya ibada pia.

Mwaka 1976 Li kuan yew ,alikutana na Mao Tse Tung aliyekuwa kiongozi wa Red China . Mao Tse Tung pia anatokana na familia ya Li. Wakati wa vita nchini China , Li Ta chao alikuwa ni Kiongozi wa chama cha kikomunisti kaskazini mwa China, Mlinzi wa Mao Tse Tung alikuwa ni Li Yinquio wakati mshauri wake Mao alikuwa ni Li Ta chao ambaye alikuwa mwanachama wa chama cha siri cha Red spear secret society, Wanachama wengine wa chama cha siri hiki ni ambao walikuwa wanachama wa chama cha siri kijulikanacho kama Green Gang secret society.

Mchango wa familia ya Li, katika dini ya Freemasons na illuminati ni kuhakikisha mpango wa Dr Adam weishaupt unafanikiwa katika kuhakikisha kwamba mpango wa New world order unakamilika kumekuwepo na matumizi ya alama /ishara mbalimbali ambapo waumini wa Freemasons wanapozitumia wanaamini kwamba wataendelea kupata nguvu zaidi katika kufanikisha mipango yao .

Familia ya Li,imepewa jukumu la kusimamia matumizi ya alama na ishara inayosimamiwa na familia ya Li ni ile inayoitwa "eye glass gesture" yaani ishara ya miwani .ishara hii hutumiwa na waumini wa Freemasons wanapokutana lakini wakiwa hawafahamiani kama ni waumini wa dini hiyo.

Mmoja anapoanza kuonyesha ishara hiyo, mwingine hurudia kuitumia kwa kuonyesha ishara hiyo na hivyo wote wawili hufahamiana pasipo hata kusemezana kwa Maneno ,ikiwa aliyetangulia kuonyesha ishara hiyo ataona mwenzake akiitikia ,aliyeionyesha ishara humtambua mwenzake kuwa sio muumini wa Freemasons, hapa tunakuta ishara inayoitwa "eye glass gesture" yaani jicho la miwani ikitumiwa na waumini wa dini ya Freemasons unaweza kuwaona viongozi wakubwa kama vile Hu jintao wa China na balozi John Bolton wakionyesha ishara ya "eye glass".

Nini maana ya "eye glass gesture"? Ishara hii haitumiki katika utambulisho tu bali inamaanisha kwamba wanaoitumia wanamwabudu Mungu anayewakilishwa kwa alama/ishara au picha ya jicho. Alama nyingine inayosimamiwa na familia ya Li ni alama ya herufi ya V. Herufi au Alama /ishara ya V ina Historia ndefu V humaanisha namba 5 kwa kirumi na wakati Dr Adam weishaupt anafufua dini ya Freemasons ya Nimrod alitumia herufi V kwa kumaanisha kile kinachoitwa " satanic law of five " yaani "kanuni ya kishetani ya namba tano".

Maana nyingine ya Alama ya V ni Mungu jua aliyeitwa Vulcan, na kwenye wapagani wa Babeli kulikuwa na miungu 36 ya Babeli ,Vulcan alihusishwa na moto, radi, na nuru, (light) na wakati wa kusheherekea Sikukuu ya Mungu Vulcan ,wapagani wa Babeli walitakiwa kutoa kafara za watu kwa Mungu huyo.

Familia ya The Onassis Bloodline imekuwa na jukumu la kutengeneza na kusambaza minara sehemu mbalimbali, moja ya aina ya minara mashuhuri ni ule unaojulikana kama Obelisk ambao umejengwa Kwenye nyumba za ibada za Freemasons na hata kwa wakristo na waislamu . Baada ya kuuawa kwa aliyekuwa Rais wa Marekani John Fitzgerald Kennedy, mmoja wa familia ya Onassis alimuoa mjane wa Marehemu John F. Kennedy . Onassis alikuwa muumini wa Freemasons, na siku zote Freemasons wamekuwa wakioana wenyewe kwa wenyewe, ni mwiko kwa muumini wa Freemasons kuoa Mke ambaye sio muumini wa dini ya Freemasons.

Taasisi ya familia ya Club of Rome ilianzishwa mwaka 1968 huko Rumi Italia na Aurelio Peccei na inajieleza yenyewe kuwa ni " a group of world citizens ,sharing a common concern for the future of humanity, " kumaanisha kuwa ni kundi la watu wa ulimwengu wenye malengo mamoja kuhusu mstakabali wa ulimwengu katika siku za usoni.wanachama wa kundi hili ni viongozi wakuu wastaafu wa UN.

Wafanyabiashara wakubwa wanasiasa ,maofisa wa kiserikali mabalozi ,Wanasayansi, wachumi , na viongozi wakubwa wa biashara duniani,Tangu julai mwaka 2008 Makao Makuu ya club of Rome yapo Winterthur, Switzerland. Kama tunavyoona nembo ya club of Rome tayari kundi hili limeugawa ulimwengu wote katika majimbo 10 ambayo ndiyo yatakayounda Serikali moja ya dunia. Majimbo hayo yameundwa kwa kufuatia maeneo ya kijiografia pamoja na maendeleo ya Mataifa.

Kazi nyingine inayofanywa na Club of Rome ni pamoja na kudhoofisha dini mbalimbali kwa lengo la kuunganisha dini na Serikali na kuwa kitu kimoja .Hivi karibuni kumefanyika Mkutano unaojulikana kama " World Economic Forum " huko Davis Switzerland na kuhudhuriwa na watu mbalimbali. Katika Mkutano huo ilionekana kwamba uchumi wa dunia hauwezi kuimarika kama swala la dini halitatazamwa kwa kina.

Kundi la club of Rome limeuweka ulimwengu wote katika Mpangilio wa majimbo 10 yatakayounda Serikali moja ya dunia , ni kutokana na mpangilio huo mipango ya illuminati na Freemasons inatekelezwa hatua kwa hatua. Tukichunguza matukio duniani Tutaamini kuna mpangilio wa majimbo 10 na matukio mengi tunayoyaona leo hayatokei kwa bahati mbaya bali kuna nguvu kubwa nyuma ya pazia la matukio hayo.

Rabbi Pinchas Goldschmidt wa Russia Jewish Community, alisikika akisema kwamba " Religion is more relevant now than ever " akimaanisha kwamba ,kwa sasa dini ni muhimu kuliko wakati uliopita. Naye sister Carol Keehan ,Mkuu wa Catholic ,Health Association " kundi linalowakilisha zaidi ya Hospitali 600 za Marekani alisema kwamba watu wote duniani wanapaswa kuamini nguvu kubwa zaidi.

Taasisi ya" Pew forum on religion & Public life ( PFRPL) ilisema kwamba kufikia mwaka 2010 asilimia 84 ya watu wote duniani wanaofikia 6.9 bilioni wanaamini katika dini, kutokana na ukweli kwamba ,PFRPL inasema ,uchumi wa dunia hauwezi kuimarika kama imani za watu wengi kiasi hicho haitahusishwa na ukuaji wa uchumi .Nini suruhisho? Ni wazi kwamba ili kuleta muafaka kwa watu wote lazima kanuni ya kwanza itumike, kanuni ya utendaji wa Freemasons " Ab Ordo Chao " yaani "Order out of chaos" kutakuwa na machafuko ndani ya madhehebu yaliyokusudiwa kudhoofisha nguvu za watu kwa lengo la kuanzisha mfumo mpya wa Utaratibu mpya wa kiuchumi na kidini.
Professorial Rubbish
 
Nimeacha kufatilia story yko ulivoaza kutudanganya kumtaja John David Rockefeller miaka ya 1991 mara 1945.

Wakat huyo mwamba alikufa 1937, sas hizo habar za kuhutubia mikutano miaka ya 1945 zinatoka wap.

Huyo mwamba alikuwa business man aliyeingiza mambo na monopoly ktk business na ndiyo matajiri wakubwa kuwahi kutokea duniani.

Jamaa alishika serikali zote duniani enzi hzo( means nchi zilizokuwa zimejielewa ezi hizo like US na nchi nyingine za magharibi).

Tamko la huyo mwamba enzi hizo lilikuwa kama Sheria coz alidominate karbu business zote zinahusi energy like standard oil, na matakatka yote yanayohusu nishati na alikuwa pke yke anayeendesha hizo biashara.

Alikuwa akitokea mshamba yoyote anaye endasha biashara zinazofanana na yey either uchague Moja akufilisi au akuondoe kabsa dunian hao ndio madoni walioendesha biashara kitemi zaid ya wauza madawa ya kulevya in general jamaa Dunia aliiweka mikononi.
 
TUZIFAHAMU FAMILIA 13 ZA ILLUMINATI ZINAZOIENDESHA DUNIA NA MAISHA YA BINADAMU KATIKA NYANJA ZOTE.

Kwa nini ni muhimu kuzifahamu familia 13 za illuminati? Katika kitabu kinachoitwa"Holy blood Holy Grail" unaweza kuona umuhimu wa kuzifahamu familia hizi 13 zinazoutikisa ulimwengu bila ya walimwengu kujua kinachoendelea. Lengo kubwa ni kuunda dini na Serikali moja ya dunia nzima, Tujitahidi kukipata kitabu hicho na tukisome kwa umakini na hapo tutajua kwamba kuna familia 13 zenye nguvu kubwa duniani na Zimekuwa zikifanya kazi kwa siri kubwa bila watu kujua. Kitabu hicho kitakuambia ni jinsi gani Abraham Lincoln alikuwa mzaliwa katika familia ya Rothchilds, ni jinsi gani Adolf Hitler alizaliwa katika uzao wa Rothchilds na ni jinsi gani familia ya Rockefeller ilivyomuuzia mafuta Adolf Hitler ili afanikishe vita kuu ya pili ya dunia.

Kitabu hicho kitakuonyesha Historia iliyopotoshwa kwenye vitabu vya historia. Kitabu hicho kinasema kwamba eti ni watu walio ndani ya dini ya Freemasons tu tena katika viwango vya digrii za juu ndio wanaotakiwa kujua ukweli wakati watu wa kawaida kama wewe na mimi tunatakiwa kudanganywa kwa kufundishwa Historia ya uongo.
Kila moja ya familia 13 inao viongozi wake wa siri wanaoitwa "Kings* na Queens" yaani wafalme na Malkia, kwa mfano familia ya Rockefeller ina wafalme na Malkia wanaoongoza ibada ndani ya familia hiyo.

Familia zote 13 zinaongozwa kwa pamoja na mabaraza (councils) ambayo yanajumuisha wajumbe 13 ( councils of 13) yaani mjumbe mmoja Kutoka katika kila familia, Baraza hili linafuatiwa na Baraza lenye wajumbe 9 ( Higher council of 9) na kisha kundi la watu watatu ( inner group of 3) ambalo linasimamia na kuongoza shughuli zote zinazofanywa na Baraza la watu 9.

Watu hao watatu ni miongoni mwa watu 9 katika Baraza linaloitwa higher council of 9 baadhi wanaweza kuhoji tunawezaje kujua habari hizi za siri? Ieleweke Mungu ana nguvu inayowagusa watu walio ndani ya dini ya Freemasons nao wanaamua kuachana na dini hiyo kisha kupata wakati mzuri wa kutoa siri za waabudu shetani.

Mfano ni kitabu cha " Who financed Hitler?" Nani alimfadhili Hitler? Cha James Pool, na Suzanne Pool, Hitler anaelezwa humo Kwamba aliwasikiliza baadhi ya watu na alifanya nao ibada za kutoa kafara na ndio hao waliomuweka madarakani. Miongoni mwa watu mashuhuri ndani ya familia ya Rockefeller ni David Rockefeller, huyu aliwahi kusema" this present window of opportunity, during which a truly peaceful and interdependent world order might be built ,will not be open for too long, we are on the verge of global transformation, All we need is the right major crisis and the nations will accept the new world order " akimaanisha kuanzishwa kwa mfumo Mpya wa dunia., au New world order baada ya mgogoro mkubwa.

Akihutubia baraza la Trilateral Commission mwaka 1991 ,David Rockefeller alisema"But the world is now more sophisticated and prepared to march towards a world -government, The supranational sovereignty of an intellectual elite and world bankers is surely preferred to the national auto-determination practiced in past centuries " ya kwamba ulimwengu sasa upo tayari kwa utawala wa Serikali moja ya dunia kwasababu watu wenye akili pamoja na wafanyabiashara za kibenki wanakubali wazo hilo ambalo limewahi kufanya kazi karne chache Zilizopita.

David De Rothschilds, katika familia ya Rothschilds ingawa ni kijana wa umri mdogo ukilinganisha na Jacob Rothschild ambaye anasemekana ni bora zaidi ya Yesu kwasababu Yesu hakuwa bilionea ,Yesu hakupaa juu kwa kutumia chupa za plastiki kwaajili ya kuukomboa ulimwengu ,Yesu hakuwahi kuuokoa ulimwengu kutokana na joto kuongezeka kama anavyofanya David de Rothschild. Katika lugha ya Freemasons Goyim ni mtu asiye muumini wa dini ya Freemasons na kwa maana hiyo wanasema kwamba akina Goyim wote watatawaliwa na David de Rothschilds.

Familia ya Rockefeller hufanya kazi kwa kuongoza baadhi ya taasisi za kidini .Ni familia hii ndiyo iliyoanzisha na inayomiliki Lucist Trust, jina la Lucis ,linatokana na jina Lucifer ,David Rockefeller ni mmoja wa viongozi wakubwa wa taasisi ya Lucis Trust. Pia Inafanya kazi na taasisi mbalimbali kwa kusudio la kupinga na kuangamiza dini za kweli, Maurice Strong ,amekuwa rafiki mkubwa sana wa familia ya Rockefeller ,Ndiye aliyeanzisha taasisi inayoitwa "Mother Gaia".

David Rockefeller amekuwa akifanya kazi na Maurice strong ,akiwa na mawazo ya kuanzisha " kizazi kipya"_Mchungaji Moon kutoka Korea amekuwa kipenzi cha familia ya Rockefeller. Moon anajiita kuwa yeye ndiye kristo na amekuwa akijitahidi kuwahubiria waumini wake kwamba dunia inatakiwa kuwa na dini moja.

Mfuko wa Rockefeller Fund, huelekeza misaada yake ya kifedha katika maeneo makubwa kadhaa, kwanza huelekeza fedha zake kwenye taasisi za elimu zinazomilikiwa na dini mfano" seminaries" nchini Marekani. Kwa mfano Chuo cha Union theological seminary ,kinaendeshwa kwa fedha za mfuko wa Rockefeller kwenye kitengo kinachoitwa "sealantic fund ," ambapo David Rockefeller amewahi kuwa Rais wa kitengo hicho wakati makamu wa Rais akiwa ni Laurance S. Rockefeller na Steven C. Rockefeller kama mjumbe.

Pia mfuko wa Rockefeller huelekeza fedha zake kwenye Vyuo vikuu mbalimbali kwasababu familia hii inasema kwamba "Education influence the religious value of our people " wakimaanisha kwamba elimu ina nguvu kwenye thamani ya dini kwa watu. Mfuko huu ulitoa fedha za kuanzishwa kwa "National Education Association" NEA, nchini Marekani .Ni mfuko huo huo uliotoa fedha za kuanzishwa na kuendesha UNESCO ,Ni mfuko wa Rockefeller Fund ,uliotoa fedha kwa Carl Max ,mtu yule aliyeeneza elimu ya ( Evolution of man) inayopinga na ukweli wa Mungu ambapo hadi leo elimu hiyo inafundishwa mashuleni na vyuoni.

Pia mfuko wa Rockefeller unatoa fedha kwenye taasisi za kidini ,tar 31 januari 1945, John D. Rockefeller, alitoa hotuba kwenye Baraza la Waprotestanti jijini New York alisema: Jawabu la matatizo ya wakristo ni kwamba ukristo unatakiwa kuwa Kanisa la Mungu aliye hai(shetani), "pia mfuko wa Rockefeller unatoa misaada kwenye vyombo vya habari mbalimbali, Baadhi ya magazeti yanayomilikiwa na Rockefeller family ,ni pamoja na "Time magazine" na "Newsweek" mchango wa magazeti haya na mengine ni katika kueneza dini vya Freemasons

Familia ya Van Duyn illuminati, inaeneza dini ya Freemasons kwa njia ya vyombo vya habari, ni vitabu vya Van Daniken wa familia hiyo vinaandika kuhusu kinachojulikana kama "Unidentified Flying Objects" UFO, Vitabu hivyo vinafundisha uwepo wa nguvu kubwa kuliko binadamu ambazo kwazo mwanadamu anapaswa kuabudu. Nguvu hizo ni viumbe wasiojulikana wanaoruka angani yaani UFO .Hata hivyo kwa kuviamini vitabu hivyo mtu anawekwa katika hatari kubwa ya kumuabudu shetani siku atakapotokea akiwa kama UFO.

Ili kufanikisha uandishi wa vitabu vinavyofundisha imani ya UFO ,Van Daniken ,alipata msaada wa fedha kutoka katika familia ya Rockefeller. Tofauti kati ya Freemasons na Illuminati ni kwamba , Freemasons ni dini ya watu ambao ni wajenzi huru ambapo Illuminati ni waumini wa dini hiyo ambao wana nguvu za kiutawala na kiuongozi.

Familia ya Van Duyn, ilianzisha taasisi ya Planned parenthood kuna vitabu vipatavyo 1500 vilivyoandikwa na taasisi ya Planned Parenthood vinavyofundisha Elimu ya kutoa mimba ( Abortion) chanjo na kudhibiti ongezeko la watu duniani( Population Control) pamoja na mafundisho ya malezi anayotakiwa kuwanayo Mama kwa mtoto wake. Mona van Duyn anatoka katika familia ya Illuminati ya Van Duyn, alikuwa ni mwanamke wa kwanza kupata tuzo ya uandishi wa vitabu aliyoipata mwaka 1991 baada ya kuandika vitabu vyenye mafundisho yanayodaiwa kuwa ni mazuri kwaajili ya mapenzi bora ya familia.

FAMILIA ya M. Russell ,(1875--1943) Russell, alikuwa mwenye imani ya Freemasons na Gavana wa Mississippi mwaka 1920--1921.Louis A. Russell Freemasons na mpiga kinanda wa Kanisa la "South Park" Presbyterian Church, Newark, N.J. Richard B. Russell ,Freemasons ,Gavana wa Georgia 1931--1933 na Seneta wa Georgia mwaka 1933.

Familia ya Russell Bloodline. Familia hii imejikita zaidi katika masuala ya dini na ndio waanzilishi wa Kanisa la Mashahidi wa Yehova lililoanzishwa kama " The Watch Tower" Kabla ya kubadili jina na kuwa 'Jehovah Witnesses' ingawa wapo waumini wa dini ya Freemasons walioingizwa ndani ya makanisa na hata misikiti ambao sio wanafamilia ya Russell hata hivyo kazi ya kuhakikisha kwamba dini zinaingiliwa na Freemasons inasimamiwa na familia ya Russell.

Mwingine ni Mch.. Matthew Russell, (1834--1912) aliyekuwa mwandishi wa habari ,muumini wa Freemasons na kasisi wa Kanisa Katoliki katika shirika la Jesuit, Katika kuhakikisha kwamba alama za Freemasons zinasambazwa na kuenea duniani kote. Freemasons wa familia ya Russell walibuni aina ya alama ya msalaba uliotokana na alama kuu ya Freemasons yenye vifaa vya Ujenzi vinavyoitwa "Square" pamoja na "Compass" unaweza kuona alama ya picha ya msalaba inayotumiwa na baadhi ya madhehebu ya kikristo ikiwa na herufi ya G inayodhaniwa kuwa ni kifupi cha GOD au Mungu ,hata hivyo maana halisi ya herufi G ni GAOTU ( Great Architect of the Universe) yaani; Mbunifu mkuu wa ulimwengu ambaye ni Mungu wa Freemasons anayebuni mbinu mbalimbali za kuwaangamiza wanadamu.

FAMILIA ya Reynolds Illuminati bloodline, ambayo unaweza kuona jina hili likiandikwa kama Lloyd. Familia hii inatokana na kizazi cha mchanganyiko wa familia za Rothschild, Rockefeller, Du point pamoja na The graces and Grays, utafiti uliofanywa na taasisi ya The temporary National Economic Committee, ya Marekani mwaka 1937 kuhusu watu matajiri duniani ulibaini kwamba familia ya Reynolds ilikuwa miongoni mwa familia 13 tajiri nchini Marekani na duniani kwa ujumla.

Taarifa zilizotolewa hivi karibuni na Vyombo vya habari zinasema kwamba mtu tajiri kuliko wote duniani ni mwanaume anayeitwa Evelyn Rothschild, baadhi ya wana familia ya Reynolds wamewahi kuandika vitabu mbalimbali mmoja wa wanafamilia ya Reynolds ambaye ni miongoni mwa viongozi wakubwa katika mchakato wa Christians Ecumenical Ministries anaitwa Frank E. Reynolds ambaye ni kiongozi Katika Kanisa la American Baptist.

Frank D. Reynolds, amewahi kufanya kazi kama mtumishi wa kikristo huko Bangkok Thailand. Pamoja na kujifanya mkristo, amekuwa akieneza dini ya budha huko Marekani. Yeye pamoja na mkewe anayeitwa Mani wamewahi kuandika vitabu mbalimbali vinavyohusu dini ya Buddha kwa nia ya kueneza dini hiyo nchini Marekani.

Wengi wa wanafamilia ya Reynolds wamekuwa na imani ya Episcopalian na Itakumbukwa kuwa Kanisa la Episcopal linaongozwa na Freemasons .Mmoja wa viongozi wakubwa katika Kanisa hilo amewahi kueleza waziwazi kuwa Kanisa Hilo linajihusisha na kutoa kafara za watu Katika madhabahu iliyojengwa mbele ya Kanisa hilo.

Wafuatao ni baadhi ya wanafamilia mashuhuri wa familia ya Reynolds ; Barrio Gordon Reynolds, ambaye ni mwandishi wa kitabu cha Magic, Divination & Witchcraft among the Barotse of Northern Rhodesi (1963) ,Charles R. Reynolds, akiwa ameandika kitabu kinachoitwa One hundred years of magic posters(1977) David K.R. Reynolds, mwandishi wa Naikan Psychotherapy: Meditation for self Development .Pub .By Chicago press,; Mani R. Reynolds pamoja na mumewe wakiwa wameandika kitabu cha, Three worlds according to king Ruana, : A Thai Buddhist Cosmology ; Frank E. Reynolds akiwa ameandika kitabu cha Guide to Buddhist Religion, Mwingine ni Jane Reynolds aliyeandika kitabu cha Cosmo biology, ; Lloyd J.K. aliyeandika kitabu cha My dear Runemeister ,A voyage through the alphabet. Vitabu vyote vilivyoandikwa na wana familia ya Reynolds vinahusu kuwafundisha watu kwamba dini ya Freemasons ndiyo dini ya kweli.

Shughuli nyingine inayofanywa na familia ya Reynolds ni biashara ya tumbaku pamoja na kuzalisha ,kutengeneza na kusambaza madawa ya kulevya , unaweza kujiuliza inakuwaje biashara ya madawa ya kulevya inazidi kushamiri duniani bila kukomeshwa? Ukweli ni kwamba ni vigumu kukomesha biashara hii ambayo ni ya watu wakubwa wenye malengo maalum kutoka kwa waumini wa dini ya Freemasons wa familia ya Reynolds. Moja ya sababu ya kutengeneza na kusambaza madawa ya kulevya ni kuharibu akili za watu ,kutawala akili za watu Kutokana na athari zitakazotokana na utumiaji wa madawa hayo.

Familia ya Reynolds ndio wamiliki wa kiwanda cha sigara kinachojulikana kama R.J. Reynolds Tobbaco Co. Ingawa kiwanda hiki kinajulikana kwa utengenezaji wa sigara za kawaida , Wachunguzi wanasema kwamba kiwanda hiki kinajihusisha na utengenezaji wa madawa ya kulevya, Hata hivyo madaktari wanasema sigara ni dawa ya kulevya katika kiwango chake na ndio maana wauzaji wa sigara wamelazimishwa kuweka maandishi yanayotoa tahadhari ya hatari kwa mvutaji wa sigara.

The Reynolds bloodline, ina kazi kubwa inayofanywa ya kusambaza madawa ya kulevya na pamoja na vyakula vinavyoharibu afya ya wanadamu ,Tunaposema madawa ya kulevya sio tu madawa kama cocaine ,Heroine, na mengine bali pia madawa yanayouzwa kwenye maduka ya madawa ambayo yametengenezwa sio kwa makusudi ya kutibu ugonjwa bali kwa makusudi ya kuua watu taratibu kwa uhakika ( killing slowly but sure) hapo unaweza kusikia wadudu wa malaria wamekuwa sugu, Lakini ukweli ni kwamba dawa zinatengenezwa kwa makusudi ya kuua na sio kutibu ndizo zinazosababisha kuongeza ugonjwa mwingine na hivyo kumfanya mgonjwa asipone kirahisi kwa kisingizio cha wadudu kuwa sugu.
Wapo wataalamu wa afya wanaokiri wazi kwamba baadhi ya madawa ya kisasa yana sumu ambayo badala ya kutibu, husababisha na kuongeza madhara zaidi ya Ugonjwa,

Zipo taasisi zina uhusiano na familia ya Reynolds Zikiwemo; COSMOS CLUB, ambapo Joseph Melvin Reynolds, pamoja na Lloyd George Reynolds, ni wajumbe wa taasisi hiyo ,COUNCIL ON FOREIGN RELATIONS wakati William Reynolds, ni mjumbe wa CFR ; PILGRIM SOCIETY huku Richard S. Reynolds, Jr, akiwa mjumbe ; taasisi inayoitwa 33° MASONS ambapo Harman Gransvort Reynolds na Marshall S. Reynolds,wakiwa ni wajumbe. 32 ° MASONS Arthur Rowley Reynolds, Benn Philips Reynolds, Charles Philips Reynolds, Charles Shaw Reynolds, Erwin James Reynolds, Issac Reynolds, Harry Edwards Reynolds, John C. Reynolds, ambaye ni Katibu Msaidizi wa Grand lodge of Illinois ,wote wakiwa ni wajumbe wa 32° MASONS . Taasisi nyingine inaitwa KNIGHT TEMPLAR MASONS ambapo Alex Reynolds ,J Hyatt Reynolds pamoja na T Spaulding Reynolds ni wajumbe ; KNIGHT OF MALTA : Mjumbe kutoka familia ya Reynolds ni John Charles Reynolds.

FAMILIA ya "DuPont Bloodline " Wachunguzi na wafuatiliaji wa Historia ya Illuminati waligundua kwamba familia zinazotawala katika nyanja za kisiasa Kwa mfumo wa falme na Malkia, ( King and Queen) ama wanatokana na familia ya DuPont au wamechukua mfumo huo kutoka kwa Freemasons wa familia ya DuPont ,Kutokana na kufufua mfumo wa utawala wa Mfalme /Malkia kutoka kwa wapagani wa Babeli ,familia ya DuPont ilipewa jina la A DYNASTY OF SATANIC ROYALTY, Hivi karibuni bwana john Coleman ambaye ni mchunguzi wa illuminati aliandika kitabu na kusema kwamba kwa muda mrefu amekuwa akifuatilia utawala wa kifalme wa huko Denmark na kugundua kwamba wanafamilia hao walikuwa wakifanya ibada za kishetani.

Familia ya DuPont moja ya alama na ishara inayotumiwa na familia hii ni pamoja na alama ya "V" herufi hii humaanisha neno "Vulcan " yaani shetani, ambapo wafuasi wa Freemasons wanapoitumia humaanisha kusimamia na kufanikisha malengo matano (5) aliyoyaweka shetani Kwenye kitabu cha Isaya 14:13,14.

Kazi nyingine ya familia ya DuPont ni kuchora michoro ya tattoo na tayari wamefanikiwa kuingiza imani hiyo katika dini za uislamu na ukristo kama tunavyoona waumini wa kikristo wakichorwa Tatoo mwilini wakati wa jumatano ya majivu kuelekea Sikukuu ya "Easter" na waumini wa kiislamu, hasa wanawake ,wanaochorwa miili yao ingawa Koran na Biblia zinakataza tabia hiyo. Waumini wa dhehebu hilo hulazimishwa kuchorwa michoro yenye namba 666 kwenye miili kama moja ya imani yao kwasababu wanaamini kwamba namba hiyo ni namba ya hekima, maana imeandikwa " Hapa ndipo penye hekima ,yeye aliye na akili na aihesabu hesabu ya mnyama huyo ,maana ni hesabu ya kibinadamu .Na hesabu yake ni mia sita sitini na sita(Uf.13:18).

Jose de Jesus anafundisha kwamba namba 666 sio namba mbaya ila ni namba ya watu wenye hekima na akili nyingi . Na hapo ndipo tunapoweza kukubali kwamba Freemasons wanafundisha biblia wakiwa na lengo la kupotosha ukweli, kinyume na baadhi ya walimu wanaojiita kuwa ni "wenye upako " wanaosema kwamba Freemasons hawawezi kuhubiri na kufundisha kwa kutumia Biblia huku wakilitaja jina la Yesu.

Mei Mosi 2012 wakati dhehebu la "Beltane night" lilipoweka mabango katika miji mbalimbali ikiwa ni pamoja na Mtaa uitwao " Bloor Street" uliopo Magharibi mwa jiji la Toronto nchini Canada mabango hayo yakiwa na Jumbe mbalimbali na kuwaonyesha watu kwamba namba 666 itaanza kufanya kazi rasmi hivi karibuni .
Illuminati walikuwa wakisheherekea miaka 236 ya kufufuliwa kwa dini ya Nimrod wa Babeli aliyetumia namba 666.

Kuwekwa kwa mabango hayo Siku ya mei mosi, ambayo hadi leo yapo mitaani ,ni ushahidi mwingine kwamba siku ya Mei mosi ni moja ya Sikukuu kubwa kwa Freemasons na watu wengi wamekuwa wakiungana na Freemasons kusherehekea Sikukuu hiyo bila kujua wanachokifanya. Pichani Jose de Jesus anaonyesha ishara ya vidole viwili yaani namba 11 chini ya namba 666 kuna maneno yanayosema " Number of wisdom " yaani namba 666 ni namba ya hekima kisha kukafuatiwa na maandishi ya Re. 13:18 kwa kumaanisha sura ya kitabu cha Ufunuo 13:18.

Kama hilo Haitoshi dhehebu hilo limeweka mabango mengine yenye ujumbe unaosema " COUNTDOWN TO THE TRANSFORMATION--JUNE 30 ,2012. Ni wazi kwamba ujumbe huo unamaanisha kuhesabika kwa siku za kufikia katika mabadiliko ; kisha wakaweka tarehe 30--06--2012 , wakimaanisha kwamba kuanzia tarehe hiyo kutakuwa na mabadiliko katika dunia nzima.

Bango lingine lina ujumbe unaosema; THERE IS NO SIN" yaani hakuna dhambi kisha wakarejea kitabu cha Waebrania 9:26 waumini hao wanamaanisha kwamba kifo cha Yesu kilitangua dhambi ,Hivyo hakuna mtu anayeweza kutenda dhambi ,hivyo kila mtu yupo huru kuishi atakavyo maana hakuna dhambi.

Familia nyingine ni; "The Bundy Bloodline" jina mbadala la Bush na ndio walioanzisha dhehebu la " The skull and bones" Katika dini ya Freemasons ,Familia hii ya The Astor Illuminati bloodline, ambapo jina Astor linatokana na Mungu wa wapagani wa Babeli aliyeitwa Astarte na kisha akajulikana kama Ishtar na hatimaye kuwekwa Sikukuu inayojulikana kama Easter ambayo ni moja ya Sikukuu kubwa duniani kwa dini ya kikristo. Ieleweke kwamba Sikukuu ya Pasaka sio Sikukuu ya Easter ingawa wengi wanafikiri kuwa ni kitu kimoja.

Familia ya Collins Bloodline, ilianzishwa na mwanamke na kazi kubwa inayofanywa na familia hii ni kuhakikisha kwamba wanawake wanakuwa sawa na wanaume ingawa katika maumbile hilo haliwezekani ,Ni familia ya Collins iliyoanzisha rasmi michakato mbalimbali ya kutetea usawa kati ya wanawake na wanaume. Ndipo wakaanzisha Siku ya wanawake duniani ikiwa ni moja ya mafanikio makubwa sana waliyoyapata katika kuhakikisha kwamba wanawake wanakua sawa na wanaume.

Familia ya Collins bloodline, ilianzishwa na mwanamke aliyetaka kutetea haki za wanawake kwa kufufua imani ya ibada kwa Mungu mke iliyoanzishwa na wapagani wa Babeli. Ni kutokana na mafundisho ya mwanamke huyo leo tunaona waumini wa Freemasons wakifanikiwa kuingiza mafundisho hayo hata ndani ya imani za ukristo na uislamu. Ndio maana leo hii si ajabu kuona wanawake wakiwa wachungaji /Askofu na kusimama kwenye altare/mimbari/madhabahu, wakitoa mahubiri ; ndio maana leo tunaona harakati za akina Mama kudai kushika nyadhifa za juu serikalini kinyume na maagizo ya Mungu, mbaya zaidi limekuwa Jambo la kawaida tena la kisheria kwa wanawake kuoa, na si kuolewa. yote hayo yakiwa ni chimbuko la kutoka kwa wapagani wa Babeli na kisha kufufuliwa na waumini wa Freemasons wa familia ya Collins chini ya Kiongozi wao mwanamke.

Familia ya Li Bloodlines, ambayo inahusika na uongozi wa dini ya Freemasons katika bara la Asia ( China ,Japan,Malaysia, Pakistan, india, Korea, nk) watu wa familia ya Li, wamekuwa mashuhuri katika Bara la Ulaya, katika masuala ya utawala ( siasa) Biashara ,uchumi ,dini, pamoja na Michezo ambapo baadhi ya wanafamilia ya Li wameshiriki katika Michezo ya Olympic nchini Uingereza.

Mmoja wa familia ya Li ,ambaye amekuwa akiandika jina lake kama Lee ,kuan yew, akiwa ni mhitimu wa Chuo Kikuu cha Cambridge katika fani ya sheria, aliwahi kuwa Dikteta mkubwa nchini Singapore ,alikuwa karibu sana na viongozi wakubwa "elite" wa Uingereza ambao walikuwa ni waumini wa illuminati. Kwa mfano Lee aliwakamata watu waliokuwa na nywele ndefu na kuwanyang'anya hati za kusafiria au kuwafunga gerezani, wakati Uingereza ilipoipatia Uhuru nchi ya Singapore mwaka 1959 familia ya Li au Lee ndiyo iliyotawala kwa kupitia chama cha People Action Party.

Mwaka 1976 Lee Kuan Yew, alikutana na Mao Tse-Tung ( ambaye alikuwa kiongozi wa Red China). Mao Tse Tung pia asili yake ni ya ukoo wa familia ya Li, mlinzi wa Mao alikuwa ni Li Yinquiao wakati mshauri wake ni Li Ta-chao ambaye alikuwa ni mwanachama wa Chama cha Freemasons nchini China kinachojulikana kama Red Spear, Secret Society, viongozi wengine wa Chama cha kikomunisti wakati huo ambao ni Chu The ,Ho Lung ,na Liu Chibu-tan walikuwa ni wanachama wa Chama cha Freemasons kinachoitwa Green Gang Secret Society.

Familia za Rothchilds na Rockefeller ziko karibu sana na baadhi ya familia za kijapani na kichina ukilinganisha na familia zingine duniani kote, na ndio maana Japan na China zimepewa heshima kubwa katika masuala ya kiuchumi na kisiasa ili kufanikisha mipango ya NWO ,Nchini Hong Kong familia yenye nguvu kubwa zaidi kuliko zote ni familia ya Li. Kwa mfano tajiri bilionea Li Ka-Shing alitoa mabilioni ya fedha ili kufanikisha ujenzi wa moja ya Vyuo Vikuu vikubwa nchini China, gharama alizotoa Inasemekana ni dola za kimarekani zipatazo milioni 85 kwa mujibu wa jarida liitwalo Fortune Magazine la tarehe 13--07--1992 ukurasa wa 107 na kwa mujibu wa jarida hilo katika ukurasa wa 106 kuna taarifa zinazosema kwamba Li, Ka-shing ana utajiri wa kiasi cha dola za Marekani bilioni 4.

Li ka -Shing ni mmiliki wa makampuni manne makubwa ya kibiashara nchini Hong Kong na ambae amekuwa na ubia katika makampuni makubwa ya nchi za ulaya kama vile MTV ,AT & MOTOROLA pamoja na Time Warner linalomiki Runinga ya CNN. Li Ka-shing anamiliki kituo cha Televisheni cha star TV, ambacho kinarusha matangazo yake kupitia Channel 5 katika nchi za Israel hadi Indonesia na neno "star" hapa humaanisha nyota ya pentagram tunayoiona kwenye majengo ya ibada pia.

Mwaka 1976 Li kuan yew ,alikutana na Mao Tse Tung aliyekuwa kiongozi wa Red China . Mao Tse Tung pia anatokana na familia ya Li. Wakati wa vita nchini China , Li Ta chao alikuwa ni Kiongozi wa chama cha kikomunisti kaskazini mwa China, Mlinzi wa Mao Tse Tung alikuwa ni Li Yinquio wakati mshauri wake Mao alikuwa ni Li Ta chao ambaye alikuwa mwanachama wa chama cha siri cha Red spear secret society, Wanachama wengine wa chama cha siri hiki ni ambao walikuwa wanachama wa chama cha siri kijulikanacho kama Green Gang secret society.

Mchango wa familia ya Li, katika dini ya Freemasons na illuminati ni kuhakikisha mpango wa Dr Adam weishaupt unafanikiwa katika kuhakikisha kwamba mpango wa New world order unakamilika kumekuwepo na matumizi ya alama /ishara mbalimbali ambapo waumini wa Freemasons wanapozitumia wanaamini kwamba wataendelea kupata nguvu zaidi katika kufanikisha mipango yao .

Familia ya Li,imepewa jukumu la kusimamia matumizi ya alama na ishara inayosimamiwa na familia ya Li ni ile inayoitwa "eye glass gesture" yaani ishara ya miwani .ishara hii hutumiwa na waumini wa Freemasons wanapokutana lakini wakiwa hawafahamiani kama ni waumini wa dini hiyo.

Mmoja anapoanza kuonyesha ishara hiyo, mwingine hurudia kuitumia kwa kuonyesha ishara hiyo na hivyo wote wawili hufahamiana pasipo hata kusemezana kwa Maneno ,ikiwa aliyetangulia kuonyesha ishara hiyo ataona mwenzake akiitikia ,aliyeionyesha ishara humtambua mwenzake kuwa sio muumini wa Freemasons, hapa tunakuta ishara inayoitwa "eye glass gesture" yaani jicho la miwani ikitumiwa na waumini wa dini ya Freemasons unaweza kuwaona viongozi wakubwa kama vile Hu jintao wa China na balozi John Bolton wakionyesha ishara ya "eye glass".

Nini maana ya "eye glass gesture"? Ishara hii haitumiki katika utambulisho tu bali inamaanisha kwamba wanaoitumia wanamwabudu Mungu anayewakilishwa kwa alama/ishara au picha ya jicho. Alama nyingine inayosimamiwa na familia ya Li ni alama ya herufi ya V. Herufi au Alama /ishara ya V ina Historia ndefu V humaanisha namba 5 kwa kirumi na wakati Dr Adam weishaupt anafufua dini ya Freemasons ya Nimrod alitumia herufi V kwa kumaanisha kile kinachoitwa " satanic law of five " yaani "kanuni ya kishetani ya namba tano".

Maana nyingine ya Alama ya V ni Mungu jua aliyeitwa Vulcan, na kwenye wapagani wa Babeli kulikuwa na miungu 36 ya Babeli ,Vulcan alihusishwa na moto, radi, na nuru, (light) na wakati wa kusheherekea Sikukuu ya Mungu Vulcan ,wapagani wa Babeli walitakiwa kutoa kafara za watu kwa Mungu huyo.

Familia ya The Onassis Bloodline imekuwa na jukumu la kutengeneza na kusambaza minara sehemu mbalimbali, moja ya aina ya minara mashuhuri ni ule unaojulikana kama Obelisk ambao umejengwa Kwenye nyumba za ibada za Freemasons na hata kwa wakristo na waislamu . Baada ya kuuawa kwa aliyekuwa Rais wa Marekani John Fitzgerald Kennedy, mmoja wa familia ya Onassis alimuoa mjane wa Marehemu John F. Kennedy . Onassis alikuwa muumini wa Freemasons, na siku zote Freemasons wamekuwa wakioana wenyewe kwa wenyewe, ni mwiko kwa muumini wa Freemasons kuoa Mke ambaye sio muumini wa dini ya Freemasons.

Taasisi ya familia ya Club of Rome ilianzishwa mwaka 1968 huko Rumi Italia na Aurelio Peccei na inajieleza yenyewe kuwa ni " a group of world citizens ,sharing a common concern for the future of humanity, " kumaanisha kuwa ni kundi la watu wa ulimwengu wenye malengo mamoja kuhusu mstakabali wa ulimwengu katika siku za usoni.wanachama wa kundi hili ni viongozi wakuu wastaafu wa UN.

Wafanyabiashara wakubwa wanasiasa ,maofisa wa kiserikali mabalozi ,Wanasayansi, wachumi , na viongozi wakubwa wa biashara duniani,Tangu julai mwaka 2008 Makao Makuu ya club of Rome yapo Winterthur, Switzerland. Kama tunavyoona nembo ya club of Rome tayari kundi hili limeugawa ulimwengu wote katika majimbo 10 ambayo ndiyo yatakayounda Serikali moja ya dunia. Majimbo hayo yameundwa kwa kufuatia maeneo ya kijiografia pamoja na maendeleo ya Mataifa.

Kazi nyingine inayofanywa na Club of Rome ni pamoja na kudhoofisha dini mbalimbali kwa lengo la kuunganisha dini na Serikali na kuwa kitu kimoja .Hivi karibuni kumefanyika Mkutano unaojulikana kama " World Economic Forum " huko Davis Switzerland na kuhudhuriwa na watu mbalimbali. Katika Mkutano huo ilionekana kwamba uchumi wa dunia hauwezi kuimarika kama swala la dini halitatazamwa kwa kina.

Kundi la club of Rome limeuweka ulimwengu wote katika Mpangilio wa majimbo 10 yatakayounda Serikali moja ya dunia , ni kutokana na mpangilio huo mipango ya illuminati na Freemasons inatekelezwa hatua kwa hatua. Tukichunguza matukio duniani Tutaamini kuna mpangilio wa majimbo 10 na matukio mengi tunayoyaona leo hayatokei kwa bahati mbaya bali kuna nguvu kubwa nyuma ya pazia la matukio hayo.

Rabbi Pinchas Goldschmidt wa Russia Jewish Community, alisikika akisema kwamba " Religion is more relevant now than ever " akimaanisha kwamba ,kwa sasa dini ni muhimu kuliko wakati uliopita. Naye sister Carol Keehan ,Mkuu wa Catholic ,Health Association " kundi linalowakilisha zaidi ya Hospitali 600 za Marekani alisema kwamba watu wote duniani wanapaswa kuamini nguvu kubwa zaidi.

Taasisi ya" Pew forum on religion & Public life ( PFRPL) ilisema kwamba kufikia mwaka 2010 asilimia 84 ya watu wote duniani wanaofikia 6.9 bilioni wanaamini katika dini, kutokana na ukweli kwamba ,PFRPL inasema ,uchumi wa dunia hauwezi kuimarika kama imani za watu wengi kiasi hicho haitahusishwa na ukuaji wa uchumi .Nini suruhisho? Ni wazi kwamba ili kuleta muafaka kwa watu wote lazima kanuni ya kwanza itumike, kanuni ya utendaji wa Freemasons " Ab Ordo Chao " yaani "Order out of chaos" kutakuwa na machafuko ndani ya madhehebu yaliyokusudiwa kudhoofisha nguvu za watu kwa lengo la kuanzisha mfumo mpya wa Utaratibu mpya wa kiuchumi na kidini.

View attachment 2859825View attachment 2859826View attachment 2859827View attachment 2859828View attachment 2859829
Mch. wa kanisa la SDA na alama ya namba 11 maana yake nini?
 
Nimeacha kufatilia story yko ulivoaza kutudanganya kumtaja John David Rockefeller miaka ya 1991 mara 1945.

Wakat huyo mwamba alikufa 1937, sas hizo habar za kuhutubia mikutano miaka ya 1945 zinatoka wap.

Huyo mwamba alikuwa business man aliyeingiza mambo na monopoly ktk business na ndiyo matajiri wakubwa kuwahi kutokea duniani.

Jamaa alishika serikali zote duniani enzi hzo( means nchi zilizokuwa zimejielewa ezi hizo like US na nchi nyingine za magharibi).

Tamko la huyo mwamba enzi hizo lilikuwa kama Sheria coz alidominate karbu business zote zinahusi energy like standard oil, na matakatka yote yanayohusu nishati na alikuwa pke yke anayeendesha hizo biashara.

Alikuwa akitokea mshamba yoyote anaye endasha biashara zinazofanana na yey either uchague Moja akufilisi au akuondoe kabsa dunian hao ndio madoni walioendesha biashara kitemi zaid ya wauza madawa ya kulevya in general jamaa Dunia aliiweka mikononi.
Rockefeller ni kizazi endelevu yaani familia na sio mtu mmoja.
Hao ndio Dunia Mali Yao Hadi kesho.
Wengi ni mayahudi.
Ndo maana wanaitwa the.The family.Baadhi ya
top illuminated family
.The Rockefellers,The Rothschild,Du point,De beers.
Debeers ndio hao kina Cecil Rhodes mtawala wa Zimbabwe ya ukoloni,ndio wanaomiliki makampuni makubwa ya madini ya anglo,barric,Ashanti,nk wao ndio upanga bei zote za madini Dunia.
Madini yote duniani nchi yeyeto ni Mali Yao Dunia nzima sisi ni wasimamizi TU.
 
Back
Top Bottom