Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Kweli mbongo mpatie picha mengine atajaza mwenyewe... Mpaka contractor umemjua hii hatari hii... Bomu haipigiki hatari sheikh...
1.Imejengwa kwenye msitu bila kuharibu mazingira.2.Underground. 3.Bulletproof
4.Vioo vinabadili mwanga yaani ukitaka giza.
5.Underground ya Mwisho ni kwa ajili ya Usalama kama kumetokea shambulizi la silaha za kivita kama MABOMU.
Kufika hukoj ni kwa lift maalum ukiwa kwenye kila Floor. Kuna mahitaji yote ukiwa huko wakati VITA inaendelea huku Juu .
6.GETI TATU.geti ya kwanza unaingia .geti ya pili kukaguliwa na kupaki kama umekuja na gari.Hapa ndio parking. Geti la tatu kupakia kigari maalum kwenda kwenye NYUMBA.
7. PAZIA MAALUM hakuna grill.
8.Maji moto.Kipupwe n.k ni CENTRALIZED. 9.VIFAA VINGI NI SENSOR.
10.Security ni BALAA aliplan wakati anatishiwa maisha yake.
11.Solar na Umeme wa uhakika hata kama VITA inaendelea.
12. Helicopter kutua.13.Kuna vitu vingine sio vya kutaja kwa mfano swimming pool , Sound heatre n.k

Ilijengwa na contractor wa Israel.View attachment 1092163View attachment 1092164
 
Acha wivu wako utakufa hujawahi kumiliki hata 150 million ambazo mondi anazipata kwa wiki tu ohooooo! Roho mbaya inauwa
Kumbe diamond kwa miezi 2 anakula karibia 1 billion [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nilikua sijafaham hahahhaha

Tuache utani na pesa so Kama mnavyofikiria
SI rahisi
 
Back
Top Bottom