UPOPO
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 3,697
- 6,099
Sasa wewe unamfananisha Mangi na Tony Blair, Mangi issue nyingine Blair mfananishe na Bashite kama wapoHata tonny Blair alikua anaenda Dubai
Sasa wewe unamfananisha Mangi na Tony Blair, Mangi issue nyingine Blair mfananishe na Bashite kama wapoHata tonny Blair alikua anaenda Dubai
Wale waliokuwa wanaanzisha nyuzi dhidi ya mama wawili kimyaaaaaa roho inawauma na mawazo yao ya uswahilini.
Kweli wewe ni Certified HaterKunywa maji utafute sehemu yenye kimvuli pumzika kidogo negativity will kill u
Sasa wewe unamfananisha Mangi na Tony Blair, Mangi issue nyingine Blair mfananishe na Bashite kama wapo
nyumba kali aisee.
Hii ndio maana ya Kuwa tajiri. Sio unakkuwa tajiri Dar huku kijijini unambuzi wanne na nyumba yenye ramani ya msumbiji.
Hii nyumba mangi mengi alijenga hivi karibuni haina muda mrefu .ipo upande wa njia ya machame ya kupanda mlima mwanzo wa msitu wa kili . Kijiji cha familia pale nkuu hakujenga nyumba ndugu zake ndiyo wana nyumba nafikiri aliwaachia . ana nyumba moshi mjini . Lakini atazikwa kwenye kijiji cha familia nkuu machameNyumba aliyozikwa au ambayo alikuwa anaishi akiwa hai?
Diamond sasa ni tajiri mkuu??..Kweli kuna matajiri na mabilionea tu...nani alikua anaijua hii nyumba ? Sio kina domo wakianza kujenga tu utasikia wanaitisha press conference kuwa anajenga mjengo [emoji3][emoji3][emoji23]
Diamond sasa ni tajiri mkuu??..
Kumbe ndio maana wachaga wanachukiwa sana !1.Imejengwa kwenye msitu bila kuharibu mazingira.2.Underground. 3.Bulletproof
4.Vioo vinabadili mwanga yaani ukitaka giza.
5.Underground ya Mwisho ni kwa ajili ya Usalama kama kumetokea shambulizi la silaha za kivita kama MABOMU.
Kufika hukoj ni kwa lift maalum ukiwa kwenye kila Floor. Kuna mahitaji yote ukiwa huko wakati VITA inaendelea huku Juu .
6.GETI TATU.geti ya kwanza unaingia .geti ya pili kukaguliwa na kupaki kama umekuja na gari.Hapa ndio parking. Geti la tatu kupakia kigari maalum kwenda kwenye NYUMBA.
7. PAZIA MAALUM hakuna grill.
8.Maji moto.Kipupwe n.k ni CENTRALIZED. 9.VIFAA VINGI NI SENSOR.
10.Security ni BALAA aliplan wakati anatishiwa maisha yake.
11.Solar na Umeme wa uhakika hata kama VITA inaendelea.
12. Helicopter kutua.13.Kuna vitu vingine sio vya kutaja kwa mfano swimming pool , Sound heatre n.k
Ilijengwa na contractor wa Israel.View attachment 1092163View attachment 1092164
Ndiyo the future Mengiwale watoto wa Klyn watakula maisha sana
Kauli za kikuda izoHongera kwa sifa zote..
Kwa fani ya Uajenzi na Mwenye nyumba!!
Kwa bahati mbaya walisahau kujikinga na ulinzi wa kumzuia....MalakaAlmaut!!
Mungu amlaze pema na atulindi tuliyejuu ya mgongo wa Ardhi..Ameen