virtuoso
Senior Member
- May 15, 2017
- 104
- 165
Dead or alive the legacy lives on....usikate tamaa tafuta maisha...Lakini amelala tayari hatoamka tena.
Dead or alive the legacy lives on....usikate tamaa tafuta maisha...Lakini amelala tayari hatoamka tena.
Kwani Ruge ndo tajiri kuliko wahaya wote?Tajiri wa KIHAYA aliishia kuzaa na kumjengea Binti Machuppi. Asee Shikamoo Mzee Jasiri wa kweli
1.Imejengwa kwenye msitu bila kuharibu mazingira.2.Underground. 3.Bulletproof
4.Vioo vinabadili mwanga yaani ukitaka giza.
5.Underground ya Mwisho ni kwa ajili ya Usalama kama kumetokea shambulizi la silaha za kivita kama MABOMU.
Kufika hukoj ni kwa lift maalum ukiwa kwenye kila Floor. Kuna mahitaji yote ukiwa huko wakati VITA inaendelea huku Juu .
6.GETI TATU.geti ya kwanza unaingia .geti ya pili kukaguliwa na kupaki kama umekuja na gari.Hapa ndio parking. Geti la tatu kupakia kigari maalum kwenda kwenye NYUMBA.
7. PAZIA MAALUM hakuna grill.
8.Maji moto.Kipupwe n.k ni CENTRALIZED. 9.VIFAA VINGI NI SENSOR.
10.Security ni BALAA aliplan wakati anatishiwa maisha yake.
11.Solar na Umeme wa uhakika hata kama VITA inaendelea.
12. Helicopter kutua.13.Kuna vitu vingine sio vya kutaja kwa mfano swimming pool , Sound heatre n.k
Ilijengwa na contractor wa Israel.View attachment 1092163View attachment 1092164
Huyu ndo Jasiri Muongoza njia wa kweliHuyu jamaa mnyenyekevu
Huyu ndo Jasiri Muongoza njia wa kweli
Kweli kuna matajiri na mabilionea tu...nani alikua anaijua hii nyumba ? Sio kina domo wakianza kujenga tu utasikia wanaitisha press conference kuwa anajenga mjengo [emoji3][emoji3][emoji23]
Kweli. Pia alijitoa kusaidia makundi yaliyosahaulika kwenye jamii eg. Walemavu.Hata kwa nidhamu, amekuwa a family Man
Na kwa Mila za wachaga kama wewe sio mtoto wa mwisho wa kiume unawadogo zako Inatakiwa uhame nyumbani ukajenge kwako pale nyumbani ni miliki ya mtoto mdogo wa kiume(wa mwisho). Kimila jeneza la Dr mengi aitakiwi kulala kwenye mji wa mdogo wake na endapo lingelala pale lingewekwa chini ya turubai. Ndio Maana uchagan kila mtu anajitahidi kuwa na kijumba chake awataki kuachia familia aibu siku wakitoa hapa Duniani na ukiona mchanga anazikiwa dar elewa kabisa huyo kijiji ajjawekeza hata nyumba ya tope..Hii nyumba mangi mengi alijenga hivi karibuni haina muda mrefu .ipo upande wa njia ya machame ya kupanda mlima mwanzo wa msitu wa kili . Kijiji cha familia pale nkuu hakujenga nyumba ndugu zake ndiyo wana nyumba nafikiri aliwaachia . ana nyumba moshi mjini . Lakini atazikwa kwenye kijiji cha familia nkuu machame
Nyumba aliyozikwa au ambayo alikuwa anaishi akiwa hai?
wachagga ndvyo walivyo, angalia mzee Mremi mwenye DAr express, ananyumba kali kijijina na dar huko masaki na ndio maana wachagga wanarudi kwao krismass,nyumba kali aisee.
Hii ndio maana ya Kuwa tajiri. Sio unakkuwa tajiri Dar huku kijijini unambuzi wanne na nyumba yenye ramani ya msumbiji.
zoteNyumba aliyozikwa au ambayo alikuwa anaishi akiwa hai?
polepole atakujibu baadaeSwali la msingi
akili ngalo kuandaa wosia, kila kitu kimepangwa, huyu ni mchagga si wenzangu na mimi huku kusini mtu anakufa haijulikani itakuwaje, tuige wachagaaWale waliokuwa wanaanzisha nyuzi dhidi ya mama wawili kimyaaaaaa roho inawauma na mawazo yao ya uswahilini.
nyumba shanty town, masaki , Kinondoni hananasif, njiro arusha, uzunguni dodoma, uzunguni mbeya, kapri point mwanza, nairobi, dubai, new york, london na johanesburg, hizo ni za mapumziko yake, nyie endeleeni na serikali ya vyerehani na kutekanaNa kwa Mila za wachaga kama wewe sio mtoto wa mwisho wa kiume unawadogo zako Inatakiwa uhame nyumbani ukajenge kwako pale nyumbani ni miliki ya mtoto mdogo wa kiume(wa mwisho). Kimila jeneza la Dr mengi aitakiwi kulala kwenye mji wa mdogo wake na endapo lingelala pale lingewekwa chini ya turubai. Ndio Maana uchagan kila mtu anajitahidi kuwa na kijumba chake awataki kuachia familia aibu siku wakitoa hapa Duniani na ukiona mchanga anazikiwa dar elewa kabisa huyo kijiji ajjawekeza hata nyumba ya tope..
wale mbwa ukiuza ni bajeti ya JIMBO ZIMA LA NDUGAIUsisahau kuna mbwa hapo bei yao si kitoto
Na kwa Mila za wachaga kama wewe sio mtoto wa mwisho wa kiume unawadogo zako Inatakiwa uhame nyumbani ukajenge kwako pale nyumbani ni miliki ya mtoto mdogo wa kiume(wa mwisho). Kimila jeneza la Dr mengi aitakiwi kulala kwenye mji wa mdogo wake na endapo lingelala pale lingewekwa chini ya turubai. Ndio Maana uchagan kila mtu anajitahidi kuwa na kijumba chake awataki kuachia familia aibu siku wakitoa hapa Duniani na ukiona mchanga anazikiwa dar elewa kabisa huyo kijiji ajjawekeza hata nyumba ya tope..