Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,638
- 220,410
Alipopata pesa mama saw his true coloursDuh, mzee baba alikuwa mwakitombile sana eeh enzi za ujanani?
Alipopata pesa mama saw his true coloursDuh, mzee baba alikuwa mwakitombile sana eeh enzi za ujanani?
Hahahah sasa dah, hivi huwa inakuaje hii!? Kuna mambo mnakuwa hamtimizi ama?Alipopata pesa mama saw his true colours
Huko itakua labda vacations tu ndo anaenda.Hahaha hivi vitu tumezoea kuviona kwenye movies tu. Hio nyumba sijaingia ndani ila nina hakika ina technological gadgets kama zote katika standards za kimataifa. Mambo ya Biometrics milangoni na Underground Bay.
Nyumba ni Kali sana, japo sidhani kama K.Lyn ataendelea kuishi huko bush.
For sure,wale watoto wanawaza mambo ya u-chairman wa Co. Yao na sio vitu vidogo kama hio nyumba(sisi makapuku ndo tunawazaga vitu vya vidogovidogo vya dizaini hio).Hao watoto wakubwa sio watu wa kumind vitu Vidogo kama nyumba, wamekua kwenye maisha hayo hayo ya kitajiri ever since they were born kwanza wana nyunba za mapumziko southafrica, Dubai, Newyork, Italy na London ni hekaru kubwa zaidi ya hiyo
Hahahahaaaa nimecheka kwa sautinyumba kali aisee.
Hii ndio maana ya Kuwa tajiri. Sio unakkuwa tajiri Dar huku kijijini unambuzi wanne na nyumba yenye ramani ya msumbiji.
Migogoro ya nyumba ni kwa ajili ya maskini tu mkuu.Hiyo ndio tafsiri sasa ya kuwa Bilionea sasa. Na laiti angekuwa hai kina sie tusingewahi kujua kama kuna mjengo ka huo Tanzania hii..
Apumzikage kwa amani Baba wa watu japo pia si ajabu hiyo nyumba ikaja kuzua mgogoro huko mbeleni.
Man's loyalty is tested when he has everything....Hahahah sasa dah, hivi huwa inakuaje hii!? Kuna mambo mnakuwa hamtimizi ama?
I concurMan's loyalty is tested when he has everything....
And woman's loyalty is tested when her man has nothing.
Period
Yule dada alivyo nija anaweza kuiuzaHuko itakua labda vacations tu ndo anaenda.
Possibly mawazo ya mzee baba ni kujenga sehemu ambapo watoto wake wale mapacha wakienda moshi watakua wanapata sehemu ya kufikia na sio kufikia kule kwenye nyumba ya familia(kule alikozikiwa Mengi&the family).
Usishangae hata hati ya nyumba imeandikwa majina ya mapacha(maana sidhani kama kwa exposure ya Mzee Mengi anaweza kua fala).
Mengi hakuwahi kua fala,yote hayo alikua anayajua.Yule dada alivyo nija anaweza kuiuza
Ukweli mchungu sana huu.Tutafute pesa jamani, haya mambo ya kuoneana wivu na kuwasemea wenye pesa zao ni kwa vile tu tuna umasikini mkubwa sana.
Na mzee alihakikisha amewaleta duniani na wataishi vizuri hata kama yeye atakufa kwanzaWanaonekana very intelligent
Kwamba otherwise akadange ulaya huu msemo umeniacha jiapanda.Diamond platnumz anafanya Show moja ya kimataifa kwa zaidi ya million 35 Hakuna utani katika hili.
Tatizo lako hukuelewa vizuri umekurupuka Si kila wiki anafanya international Shows, Show mbili tu alizozifanya South korea na Oman hela yake wewe mpaka unakufa hutowahi kuimiliki nauhakika huo hata kama umeajiriwa wizara ya fedha otherwise ukadange UK
Inawezekana kuna ukweli juu ya hilo. Ila kwa wenzetu ambao daima tunafuata mambo yao (weupe/wazungu), wanapokuwa na nyumba kama hiyo, na wanataka utulivu, huko ndio ingekuwa sehemu yenyewe. Kwa yanayoongelewa mitaani, walitaka kuwafurahisha watoto, basi pengine Dubai ilikuwa ni sehemu murua kwa hilo. Hata hivyoHahaha ni pazuri kweli ila ni kwa vile hujawahi kuona wao wanaomiliki washapazoea ni pa kawaida tu. Wanaenda sehemu kali kuliko hizo
Kwa kupenda vizuri tena bila ya kuvitolea jasho, tusishangae wakanyang'anywa!Serikali iongee na wana familia ili hii iwe IKULU ndogo, Rais wetu akiwa Kilimanjaro basi anaweza kupumzika - kama nyumba ina vigezo vyote why not? sisi wananchi hatuna tatizo.
Madhari inavutia mno kaa nyumba za unyamwezini... duh.
Cheki kitu cha kaka Puff Daddy kinakaribiana na cha Mzee wetu
View attachment 1093265
siyo kiwanda, ni viwandaBajeti yake ni ya kujenga kiwanda kabisa