Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Sifa 13 za nyumba ya Billionaire Marehemu Mengi

Kiongozi mimi sisomi maneno ya magazeti ya udaku nipo kwenye chain aisee pole sana.

Sasa wewe msikilize huyo dalali wako hewa Diamond ana palace Sita hapa mjini ambazo wewe huzijui hata kidogo ya madale ni mfano na wala haina tatizo lolote iko approved na mamlaka zote.
Ile ya madale ni mansion?
 
150million mond angekuwa anapata kila wiki maana yake Kwa mwezi million mia sita na Kwa mwaka ni sawa billion 7.2 . Uwezo huo Diamond Hana wa kumiliki mipesa yote hiyo. Kwa miaka toka aanze kuwa staa unatakaa kutuaminisha anamiliki utajiri wa angalau 30-50 billion. Acha kulisha watu matongo Pori wewe. Kawadanganye wa vijijini wasiojua . Mali nyingi wanazoonyesha Mitandaoni nyingine sio zao
Ushawahi kuona bilionea anaishi madale mkuu,hahah.
 
Kweli. Pia alijitoa kusaidia makundi yaliyosahaulika kwenye jamii eg. Walemavu.

SISI BUKOBA NI TOFAUTI KABISA JENEZA LINALALA HATA KWENYE NYUMBA ALIYOJENGA BABA YAKO NA WOTE ULIOZAA NAO WANALALA KWENYE HEMA KAMA WAKIMBIZI aibu iliyoje.
Duh sisi wachaga usipojenga home ni aibu
Wahaya mnatia aibu kwa hilo
 
KIMEI kajipendelea sana kaweka hadi ATM ya CRDB machame kule huu msiba utakua umeacha mzunguko mzuri sana wa pesa moshi kwa wenye hotels na gesti
kajipendelea vipi?
yani watalii wote hao wafuate ATM huko chato?
zimepekwa huko MARANGU ,uliza hizo ATM zake za marangu zinaingiza kiasi gani?
 
Nifundishe kunyama MUNGU wangu hata nitakapofanikiwa kiasi hiki,isitokeee nikajigamba na kujitapa..Nimejifunza kitu kikubwa sana kwa suprise ya MJENGO huuu aseeee...Reginald alistahili na zaidi ya hiyo nadhani.
 
Nifundishe kunyamaza MUNGU wangu hata nitakapofanikiwa kiasi hiki,isitokeee nikajigamba na kujitapa..Nimejifunza kitu kikubwa sana kwa suprise ya MJENGO huuu aseeee...Reginald alistahili na zaidi ya hiyo nadhani.
 
Kawekeza kwenye nini???...hizo sjui tv,radio,karanga c ni watu wamewekeza kwa kutumia jina lake though na yeye ana percentage yake ingawa anawadanganyaga kuwa vyote ni vyake....any way inaonesha una mahaba binafsi....mi nilikuwa tu na kuelimisha kijana usidanganywe na maisha ya instagram ya mtu yoyote....wenzio huko instagram wanaogaga madola...wana magari ya thamani na majumba tena magorofa....sasa wewe kijana mwenzangu ukiyaona hayo maisha unaamini kweli watu wanahizo pesa unaweza shangaa unaingia hata kwenye biashara za madawa ili uishi hayo maisha....

Huyu ni wakuachana nae anamahaba binafsi atatuchosha
 
Kiongozi, itafute interview aliyoifanya na wasafi radio kwenye kipindi cha block 89.

Alieleza hivi wasafi media wanashirikiana watu wawili tu yani yeye na mtu ambaye ni mtanzania (hakumtaja jina).

Diamond karanga, chibu perfume nazo anashirikiana na watu akatolea mfano Cirock ya Puff dady A.K.A P didy kwamba nayo anashirikiana na watu.

Hakuna mtu yeyote mwenye mafanikio makubwa anaefanya kitu mwenyewe bila kuhusisha watu wengine

[emoji23][emoji23][emoji23]daah wewe unaamini kila unachosikia wa wasanii 🤣
 
Ndugu tangu jana unazunguka tu Ally Mfuruki, Ally Mfuruki, bila hata kuwekamo hata tupicha Mkuu...
Picha hiyo hapo mwangalie
Screenshot_20190505-142457.jpeg
 
True meaning of billionaire, nimejifunza kitu kikubwa sana kwa huyu mzee aliwekeza kwenye mioyo ya watu
 
Back
Top Bottom