Sasa kama mwanaume atapewa wake 72 lakini atakuwa na nguvu za kiume za kukabiliana na wanawake 100.Kwanini?
Mimi sishughuliki na vocha . Nashughulika na kibunda tuuu kwenye cm , kodi za nyumba , na cash za hapa na pale ... uje ufate mzigo wako kabisaaaaUpiii? Vocha?
Sina uhitaji wa hivyo vingine. Ni vocha tu nahitajiMimi sishughuliki na vocha . Nashughulika na kibunda tuuu kwenye cm , kodi za nyumba , na cash za hapa na pale ... uje ufate mzigo wako kabisaaaa
Sina uhitaji wa hivyo vingine. Ni vocha tu nahitaji
Anaowafikishia ujumbe sio watotoShekhe kipoozeo ila Mi simkubali anazingua kama vile anekosa stara ya kuweza kufikisha jambo kwa heshima
Kuliwahi kuwa na memba humu JF akitumia avatar kama yako, alikuwa anaitwa tatty!tatty ni nani? Nini nimefanana nae?
Kwani hao mabikira 100 wanaopatikana huko sio wanawake?
Unalalamika nini wakati shekhe wenu ndo alisema kiwwa peponi tutapewa madem miaAcha uzembe mtoto wa kiume, jaribu kuheshimu dini za watu
Hata biblia imesema tutapewa madem pia. Sema tukigusa biblia huwa mnajifsnya hamnazo hamlioni andiko...Unalalamika nini wakati shekhe wenu ndo alisema kiwwa peponi tutapewa madem mia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlete huyo aliekutumaBasi kuna package ya vacation kama utahitaji kwenda kutuliza moyo wako popote pale africa. Naitoa kama muhisani tuu niliyetumwa na bwana
Hahaha njoo pm kwa taarifa zaidiMlete huyo aliekutuma
Ha haaa pande hizo sitembeleiHahaha njoo pm kwa taarifa zaidi