Mistari mingapi tumeshawapa ninyi wakristo lakini hamuanini? Mfano mnadai Yesu alizaliwa kwenye ZIZI la ng'ombe! Lakini biblia nzima imesema Yesu alizaliwa kwenye Mlango Bahari. Sasa Zizi na mlango bahari wapi na wapi?Naona umekosa hoja wewe...na umeshindwa kutetea ulichosema.
Uongo ni dhambi sheikh.
Mistari mingapi tumeshawapa ninyi wakristo lakini hamuanini? Mfano mnadai Yesu alizaliwa kwenye ZIZI la ng'ombe! Lakini biblia nzima imesema Yesu alizaliwa kwenye Mlango Bahari. Sasa Zizi na mlango bahari wapi na wapi?
Waliozusha ndio wana dhambi. Yesu hakuzaliwa kwenye zizi la ng'ombe. Walizusha tu.Mbona unabadilisha mada mkuu?
Uzushi ni dhambi sheikh...!
Sasa na wewe uliyekuwa unadai mstari kwenye biblia kuhusu wanaume kuoewa wanawake 100 mbinguni hukujua unaharibu uzi?Mada inamhusu Sheikh Kipozeo, hilo lingine labda ulianzishie mada tukajadili.
Usiuharibu uzi huu.
Sasa na wewe uliyekuwa unadai mstari kwenye biblia kuhusu wanaume kuoewa wanawake 100 mbinguni hukujua unaharibu uzi?
Kwenye Quran na kwenye Biblia zote zikeandika hivyo.Sikuhitaji kwenye Biblia, nilihitaji katika Qur'an na ilikuwa ndani ya mada kuhusiana na Sheikh Kipozeo.
Wewe unaleta mambo mengine.
Unaharibu mada. Anzisha mada ya kuhudu kuswali. Au unatamani kwenda kuswali?Ingia kwanza uswali Al fajir sheikh, hujasikia adhana?
Sure. Sheikh Kipozeo ametoa siri nyingi za Kambi. Eti Peponi kuna wanawake 100 kwa kila mwanaume. Seriously?Mada inamhusu Sheikh Kipozeo, hilo lingine labda ulianzishie mada tukajadili.
Usiuharibu uzi huu.
Tunawala chukuchuku na ndomu tunapewa zisizo pasuka
Alizaliwa wapi?Waliozusha ndio wana dhambi. Yesu hakuzaliwa kwenye zizi la ng'ombe. Walizusha tu.
Asante kwa majibu mazuri sanaSheikh ni jina tu ambalo hata ww unaweza kuitwa...imam ndio kiongozi wa msikiti
Acheni jamani mizigo inatuumiza sana kichwa ss wanaume