Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,835
Habarini Wadau,
Huyu ni Sheikh ninayemkubali sana kwani hana Unafiki.
Pia hana muda wa kuendekeza chuki kwa wasio waislam.
Pia yupo wazi kuelezea hisia zake kwa aina ya Wanawake anaowahitaji.
Sina clip yake hapa...ila Inshaallah nikiipata nitaiupload.
Nani anamfahamu zaidi Sheikh huyu na anaposwalisha?
Huyu ni Sheikh ninayemkubali sana kwani hana Unafiki.
Pia hana muda wa kuendekeza chuki kwa wasio waislam.
Pia yupo wazi kuelezea hisia zake kwa aina ya Wanawake anaowahitaji.
Sina clip yake hapa...ila Inshaallah nikiipata nitaiupload.
Nani anamfahamu zaidi Sheikh huyu na anaposwalisha?