Sheikh Kipozeo anaongoza msikiti Upi?

Sheikh Kipozeo anaongoza msikiti Upi?

Sio kweli. Jamaa alikuwa anamaanisha wanaume. Alidhani mimi ni mwanaume. Kutahiriwa kwa wanawake ni mila na si dini
Kwahiyo msikitini hawaingii wanaume wenye govi zao?
 
Mimi sio muislam lkn namkubali sheik kipoozeo. Nikijua msikiti alipo nitakuwa nahudhuria. Sijui nitakubaliwa !!?
Kwa vazi hilo ulilolivaa ktk avatar yako kamwe hutaruhusiwa kuingia msikitini
 
Tuwekee tafadhali, nami namkubali sana! Rafiki wa sisi "makafiri", kama wanavyotuita wenzake, sio kama wenzake!

Ingia tu youtube andika shehe kipoozeo kwenye kibox cha kuingiza URL then search! Utazipata nyingi sana hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom