Sheikh Kipozeo anaongoza msikiti Upi?

Sheikh Kipozeo anaongoza msikiti Upi?

Hapana;
Si wajua tena kuwa kule peponi ili kuondoa wivu hakuingiagi mwanamke?? Pepo ni kwa vidume tu. Wakike hawaingii ile pepo yakhee.
Kwani hao mabikira 100 wanaopatikana huko sio wanawake?
 
Kumbe wanawake wote wa kiislam wametahiriwa? Sijawahi sikia ni kitu kipya kwangu
Kuuumbe, ndio maana wanawake wa kisomali wanatahiriwa sana.
 
Kuuumbe, ndio maana wanawake wa kisomali wanatahiriwa sana.
Sio kweli. Jamaa alikuwa anamaanisha wanaume. Alidhani mimi ni mwanaume. Kutahiriwa kwa wanawake ni mila na si dini
 
Kwani hao mabikira 100 wanaopatikana huko sio wanawake?

Dada,
Usijifariji. Allah (SWT) hakufanya ajizi, bali kaumba vipya kabisa. Hakuchukua hawa wa huku na kuwa rinyuu. Alitengeneza kitu mupya kabisa haijawahi onjwa. Macho yao makubwa ka komamanga ambalo ni tunda pendwa sana peponi.
We unayo macho hayo??
 
Dada,
Usijifariji. Allah (SWT) hakufanya ajizi, bali kaumba vipya kabisa. Hakuchukua hawa wa huku na kuwa rinyuu. Alitengeneza kitu mupya kabisa haijawahi onjwa. Macho yao makubwa ka komamanga ambalo ni tunda pendwa sana peponi.
We unayo macho hayo??
Kila la heri kwa mtakaobahatika!
 
Clip zake zpo YouTube...namsikiliza sana huyu shekhe anatoa burudan
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom