Sheikh Kipozeo anaongoza msikiti Upi?

Sheikh Kipozeo anaongoza msikiti Upi?

UISLAM ndo dini yenyewe.
Ahadi ya wanawake wa peponi IPO kwenye Quran Sina Shaka.
Kikubwa nipate hyo neema ya kuingia peponi
Hujajibu swali...Yani ikija Dini ambayo inaoffer vitamu Zaidi pepon Kuliko uislam utahamia?
 
Mafundisho yake ni kwa sababu yanatoka nje tuu, lakini mfumo wa mahubiri yao wote ni hayo hayo yamelenga mapenzi, kumchambua mwanamke nk. Mbaya zaidi hawana ibada za watoto, wao maubiri yao wanachanganya masuala ya mahusiano waziwazi na watoto wadogo wapo humohumo
 
Hakunaa dini itakayokuja kuipiku uislam
Yani kuipiku kwenye vitu vitam mbinguni.
Uislam una magari makali mbinguni?
Mbingu ya kiislam Kuna Simba Na Yanga?
ikija Dini ambayo Ina vitu vyote kama vya Quran huko mbinguni lakini yenyewe Ina vingine vingi vizuri utahamia?
 
Hizo unazoleta ni hadithi za kufikirika.
Mimi ni muislam wa kuzaliwa na Mungu akipenda nitakuja nikiwa muislam.
Yani kuipiku kwenye vitu vitam mbinguni.
Uislam una magari makali mbinguni?
Mbingu ya kiislam Kuna Simba Na Yanga?
ikija Dini ambayo Ina vitu vyote kama vya Quran huko mbinguni lakini yenyewe Ina vingine vingi vizuri utahamia?
 
Hizo unazoleta ni hadithi za kufikirika.
Mimi ni muislam wa kuzaliwa na Mungu akipenda nitakuja nikiwa muislam.
kwenye Huo ulimwengu wa kufikirika utahamia hio Dini? Kwa unavyofikiria?(sio uhalisia)
 
Ukiona sheikh anasifiwa na wakristo jua hayupo serious huyo

Ukimuona mchungaji anasifiwa na WAISLAMU jua hayupo serious pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom