Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,257
Njoo twende.Mimi sio muislam lkn namkubali sheik kipoozeo. Nikijua msikiti alipo nitakuwa nahudhuria. Sijui nitakubaliwa !!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo twende.Mimi sio muislam lkn namkubali sheik kipoozeo. Nikijua msikiti alipo nitakuwa nahudhuria. Sijui nitakubaliwa !!?
Nimekufananisha na tattyMimi sio muislam lkn namkubali sheik kipoozeo. Nikijua msikiti alipo nitakuwa nahudhuria. Sijui nitakubaliwa !!?
tatty ni nani? Nini nimefanana nae?
Nitaruhusiwa?
Yaani waafrika wengi hapa ndipo mwisho wetu wa ujanja misambwanda tuuuuuuu
Tazama youtube uone Kipoozeo anaongelea nini. Usiishie kulaumuAcha uzembe mtoto wa kiume, jaribu kuheshimu dini za watu
Kumbe wanawake wote wa kiislam wametahiriwa? Sijawahi sikia ni kitu kipya kwangu
Acha kudanganya
Aaahaaa kumbe wewe ni mwanamke? Wanawake hawatahiriwi...Kumbe wanawake wote wa kiislam wametahiriwa? Sijawahi sikia ni kitu kipya kwangu
Nikitaka kuduwaa
Mimi sidanganyi kama yule aliyebadili dini na kuwa mkristu anayewadanganya ana degree aliyoewa na jini. Na kwamba amesona quran miaka 26 nchi za Iran, Saudia, Libya na Egypt wakati hata lugha ya Quran yaani kiarabu haijui.Acha kudanganya
Yaani Sheikh Kipozeo interests zake naona zinshabihiana na zangu.Mimi sio muislam lkn namkubali sheik kipoozeo. Nikijua msikiti alipo nitakuwa nahudhuria. Sijui nitakubaliwa !!?

Neema za Allah..Yaani Sheikh Kipozeo interests zake naona zinshabihiana na zangu.
Yeye anasema anapenda ile Mizigo mikubwa mikubwa sheikh...!
Abarikiwe Sheikh Kipozeo.
![]()
![]()
![]()
![]()
Eeee bora iwe hivyo. Huko peponi pangekuwa pazuri kwelikweliUtakuta dushe inayosimama miezi 6 bila kulala, na sio kibamia yakhee.