Sheikh Kipozeo anaongoza msikiti Upi?

Sheikh Kipozeo anaongoza msikiti Upi?

Ukiona sheikh anasifiwa na wakristo jua hayupo serious huyo

Ukimuona mchungaji anasifiwa na WAISLAMU jua hayupo serious pia
Sio kweli. Unamfahamu Muft MENK wa South Africa? Au unawajua hawa wa Bongo pekee?

MENK anapendwa sana na Waislam pamoja Wakristo hasa wachungaji ana akili na mantiki sana katika huduma yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom