Sheikh asema bima ya afya ni haramu katika uislamu

Sheikh asema bima ya afya ni haramu katika uislamu

Mwenyewe karidhika kufanya hivyo au kalazimishwa? Wafanyakazi wa umma wote wamelazimishwa.
Mwajiri ndie mlipa mshahara na mwamua mshahara uwe shilingi ngapi na makato yawe yapi

Hutaki acha kazi kawe imamu msikitini huko hutakutana na makato ya bima ya afya
 
Mwajiri ndie mlipa mshahara na mwamua mshahara uwe shilingi ngapi na makato yawe yapi

Hutaki acha kazi kawe imamu msikitini
Mkiristo wewe hata haki zako za nchi huzijuiwi? Kufanya kazi ni haki yao ya kikatiba
 
Akihojiwa na Maks Media, Sheikh huyu amekuja juu na kudai bima ya afya ni haramu na ni dhulma katika uislamu hivyo kuwaasa waislamu kutojiunga na mfuko wa bima.

Msikilize mwenyewe hapa Sheikh akikinzana na elimu dunia kwa kutumia elimu akhera

View attachment 3317374
Alijisemea Gwajima dini km bangi maagizo mengi hata amungu anayashangaa
 
Wafanyakazi wa umma?
kukubali kuingia kwenye huo mfumo wa ajira --- ajira inamiongozo yake kama kwenye ajira huko ni mandatory kukata bima--- wewe ukiikubali ajira umekubali na mambo yake --- siunavojiunga umeyakuta


hutaki njoo tujiajiri huku mkuu.


sheikh ambechambua kwa kiwango cha chini hoja mezani mkuu --- hafai --- yeye ajielimishe kwanza
 
Muislam mwenye akili timamu kama wewe mcheza kamari?
Hapana ni kama wewe ambaye muhammad anakunyonya mate dume mwenzie kisha nanakuambia uwezi kutupwa jehanamu kwa sababu mudi boy kakupiga denda 🌈🌈🌈
 
Hayati Lowassa alikuwa sahihi kipindi anagombea Urais 😔 ELIMU ELIMU ELIMU 😔 Tumeanza kukuelewa
 
Mkiristo wewe hata haki zako za nchi huzijuiwi? Kufanya kazi ni haki yao ya kikatiba
Na hayo makato ni haki ya kikatiba sababu yamepitishwa na sheria za bunge ikiwemo hiyo bima ya afya kwa wafanyakazi wa umma

Hutaki ondoka ajira za umma ukatimize huo uislamu wako
 
Hapana ni kama wewe ambaye muhammad anakunyonya mate dume mwenzie kisha nanakuambia uwezi kutupwa jehanamu kwa sababu mudi boy kakupiga denda 🌈🌈🌈
Acha matusi, mkiristo gani wewe 0 brain?
 
Asante shekh kwa ilimu
Shekh unajua kiisilamu hata vyombo vya moto hatutakiwi kutumia na hata hivi vitu vya kieletroniki vimekatwazwa kwenye uislamu kwamba ni haramu, hatutakiwi kutumia.

Kwa muislamu anaeunua uislamu halisi vyombo vya moto kama magari, pikipiki, ndege, meli ama chombo chochote ni haramu.

Allah subhanahu wa ta'ala atusaidie shekh.
 
Wakiristo wa jf wanajiona wamesoma kumbe 0, wakimuona muislam katoa hoja wanaona hawakusoma wao wamesoma, mwisho wa siku wanalalamika kila kitu kimetengenezwq nje hata kibiriti cha gesi, sasa nyinyi si mumesoma? Au mumesomesea against Islam na sio technology
Hii ni point kubwa sana
Wamejazana ma PhD wa kukariri na wengi wao wasomi mchongo wanazunguka na Bahasa miaka zaidi ya mitano.

Kweli kama una akili unakaaje bila kazi miaka mitano huku unaomba kila leo ajira
Kweli akili za kuvukia barabara tu hizo 😄 🤣 😂
 
kukubali kuingia kwenye huo mfumo wa ajira --- ajira inamiongozo yake kama kwenye ajira huko ni mandatory kukata bima--- wewe ukiikubali ajira umekubali na mambo yake --- siunavojiunga umeyakuta


hutaki njoo tujiajiri huku mkuu.


sheikh ambechambua kwa kiwango cha chini hoja mezani mkuu --- hafai --- yeye ajielimishe kwanza
Uko sahihi

Mfano uislamu unakataza riba

Lakini nenda kwenye benki zote watoza riba kama CRDB, NMB,BOT,Azania nk wamejazana wafanyakazi waislamu kibao tena swala tano na kutwa hulalama kuwa nafasi ziongezwe za ajira kwa waislamu

Wanakubali wenyewe kwa hiari kuwa sehemu ya mfumo riba
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Shekh unajua kiisilamu hata vyombo vya moto hatutakiwi kutumia na hata hivi vitu vya kieletroniki vimekatwazwa kwenye uislamu kwamba ni haramu, hatutakiwi kutumia.

Kwa muislamu anaeunua uislamu halisi vyombo vya moto kama magari, pikipiki, ndege, meli ama chombo chochote ni haramu.

Allah subhanahu wa ta'ala atusaidie shekh.
Lakini tumejaliwa na subuana watara kuoa majini yahee
..pia kwa mujibu wa mtume wetu mtukufu kajalia kuwa kama yeye muhammad akimpiga denda mwanaume mwenzie basi huyo mwanaume aliye nyonywa mate na muhammad ana ingia peponi moja kwa moja
 
Back
Top Bottom