Saudia sio kigezo, Vatican wanasupport ushoga, jee hio ndio tuige hukoWakiristo wengi washazoea kufanyiwa dhuluma. Wao wanaona sawa, ndio maana utakuta mfanyakazi anafanya kazi lkn kipato chake chote hakionekani na anakufa maskini kwa mambo kama haya