Sheikh asema bima ya afya ni haramu katika uislamu

Sheikh asema bima ya afya ni haramu katika uislamu

Ipo BIMA ya kiislam,

Unachangia kiasi Fulani, usipoumwa unarudishiwa kiasi Fulani kingine kinabakia kwa BIMA na kuwachangia wengine

Pia ukiumwa saana, wanakutibia then unakuja kujazia kiasi Fulani.

Wengi wanipenda maani unarudishiwa hela yako, inatumika pia kwenye magari

Ukipata ajali wanacover then ikizidi kiwango Fulani utaendelea kujalzia baadae ya matengenezo

Usipopata ajali wanakurudishia sehemu ya BIMA yako, au unajazia kidogo unapata BIMA ya Mwaka ujao
 
Umemsikiliza? Au kwa sababu hoja katoa muislam? Bima ya afya yetu ipo ktk mfumo wa haki?
Bima ya afya inaendeshwa kwa mfumo wa risk pooling, group la watu wanashare majanga yao kwa pamoja badala ya kulibeba mwenyewe.
▪︎sheikh anasema inabidi watu mkae mkubaliane, kwani kabla ya kujiunga si huwa mwanachama anapatiwa elimu. Utawezaje kukaa na watu zaid ya milioni mkakubaliana kwa pamoja?

Daah anyway ni ngumu sana kuielewa imani, ila kuna mstari mwembamba sana unaotenganisha imani na ujinga
 
Maoni ya Wanazuoni Wengi wa Kiislamu

Wanazuoni wengi wa Kiislamu wanasema bima ya kawaida (commercial insurance) inaweza kuwa haramu kwa sababu:

Kuna gharar (kutokuwa na uhakika) – haijulikani mtu atapata faida au hasara.

Kuna riba – faida inayopatikana isivyo halali.

WAKIRISTO MKIONA HOJA YA SHEIKH MSIJE KWA CHUKI , SIKU YA SIKU MWISHO WA SIKU MNAKUJA KUKUBALI KWA MLANGO WA NYUMA

Kuna kamari (maisir) – mtu anaweza kulipa bila kupata chochote.
Ulikotoka uislam Saudi Arabia Kuna bima ya afya.
Tena kwa sekta binafsi kwa wasiokuwa raia wa Saudia ni ya lazima, kwa raia wa Saudia hiyo ya binafsi ni hiyari.
Walio upokea ukristo au uislam wengi wanafundisha mambo radical yasiyo ya kweli au uhalisia.
 
Bima ya afya inaendeshwa kwa mfumo wa risk pooling, group la watu wanashare majanga yao kwa pamoja badala ya kulibeba mwenyewe.
▪︎sheikh anasema inabidi watu mkae mkubaliane, kwani kabla ya kujiunga si huwa mwanachama anapatiwa elimu. Utawezaje kukaa na watu zaid ya milioni mkakubaliana kwa pamoja?

Daah anyway ni ngumu sana kuielewa imani, ila kuna mstari mwembamba sana unaotenganisha imani na ujinga
Wakiristo wengi washazoea kufanyiwa dhuluma. Wao wanaona sawa, ndio maana utakuta mfanyakazi anafanya kazi lkn kipato chake chote hakionekani na anakufa maskini kwa mambo kama haya
 
Back
Top Bottom