Sheikh asema bima ya afya ni haramu katika uislamu

Sheikh asema bima ya afya ni haramu katika uislamu

Tatizo kwenye hizi dini..
Nimegundua kuna dini fulani inajifanya imesoma sana kuzidi dini nyingine na wao ndio wanastahili uongozi wa nchi...
Lakini tukiangalia hii nchi yenyewe imekuwa kati ya nchi masikini duniani tokea tupate uhuru, hata majirani wanatuburuza...
Sasa hizo elimu gani wanazoongelea maana mpaka leo vyoo vya mashule vinajengwa na wafadhili wa nje.....
 
hizi ni athari za kukosa elimu dunia ambayo ndio kwa kiasi kikubwa inaendesha maisha ya mwanadamu hapa duniani.
Ni elimu dunia ipi hiyo inayoshindwa kujenga vyoo vya shule....

1745796558937.png
 
uislamu wa tanzagiza huo, i blessed the day Wamishionari walivyokanyaga ardhi yetu vinginevyo leo hii wote tungekuwa muslims and backward, kule nigeria wanazuia watoto kwenda shuleni, hatari kweli kweli …
Mataliban meusi
 
Akihojiwa na Maks Media, Sheikh huyu amekuja juu na kudai bima ya afya ni haramu na ni dhulma katika uislamu hivyo kuwaasa waislamu kutojiunga na mfuko wa bima.

Msikilize mwenyewe hapa Sheikh akikinzana na elimu dunia kwa kutumia elimu akhera

View attachment 3317374
Hawa viumbe ni chenga sana vichwani mwao na ndiyo maana hawapendi kusoma.
 
Back
Top Bottom