Sheikh asema bima ya afya ni haramu katika uislamu

Sheikh asema bima ya afya ni haramu katika uislamu

Akihojiwa na Maks Media, Sheikh huyu amekuja juu na kudai bima ya afya ni haramu na ni dhulma katika uislamu hivyo kuwaasa waislamu kutojiunga na mfuko wa bima.

Msikilize mwenyewe hapa Sheikh akikinzana na elimu dunia kwa kutumia elimu akhera

View attachment 3317374
Japo huyo sio Sheikh ni mganga tu

Ukiachana na kuwa bima ina maslahi kwa watu na ukawa neutral ( bila kuwa mbinafsi) kilichoongelewa ni Sahihi

Uislamu hauangalii kwa sababu kitu kina maslahi kwa baadhi ya watu basi ndio halali

Kama ndio hivyo kila kitu ni halali, pombe, bangi, kamari, nk zote zina faida na maslahi kwa watu
 
Shekh, Mtume wetu, Mtume Mohamad Sallallahu Alaihi Wasallam (S.A.W) alikua pia akibusu uume wa mjukuu wake Hassan (Hasan).

I saw the Messenger of Allah pbuh putting Husein’s legs apart and kissing his penis. Hadith by Imam al-Haithami.

Haya ni matukio yanayomfanya mtume wetu kuwa wa kipekee na wa kubarikiwa na Allah Subhanahu Wa Ta'ala (S.W.T)
Suna suna suna suna yahee hakika mudi boy ni mtume wa mtume hakuna ksma yeye kipenzi cha Allah
 
Suna suna suna suna yahee hakika mudi boy ni mtume wa mtume hakuna ksma yeye kipenzi cha Allah
Karibu katika uislamu shekh wangu ufurahie mabikra 72 akhera ambao Allah Subhanahu Wa Ta'ala ametuandalia waje wake.

Allahu wakbaru.
 
Tataizo watu wengi likija suala la Dini huwa wana mihemko na hoja dhaifu za dhihaka na kejeli na hata matusi.

Kama hijachimba zaidi na kusoma sababu za kila kitu basi utakuwa huna hekma kwa kurukia mambo.

Tujifunze kuwa na subra na pia kujaribu kuelewa mambo na kuuliza
Kwani mkiuliza kwanini kasema hivyo au kuuliza zaidi utapatwa na nini?

Ni vizuri kwanza ukiona kitu hukijui bora kuuliza.

Hapo utapata majibu badala ya kejeli
Inakuwa vigumu kumjibu mtu alie against na dini yako kama hataki kujua
Tatizo wengi wao hawana akili na ni watu wa mizaha tu na sio watu ambao wanaamgalia na kujadili hoja mezani kielimu na kwa uadilifu.
 
Hawa hawa hua wanajilinganisha na wale maaskofu. Et kwa kua mama ni muisramu. Mambo yenu ndio haya. Upembuzi hafifu na hoja ni mfu.

Umekata bima elfu 50. Umetibiwa kwa laki 9.

Kusoma zuo imetosha. Itafuteni na elimu dunia.
 
Akili kisoda, mpaka unajiunga na BIMA maana yake kuna makubaliano unasign.
Au yeye anataka wanachama wote wakutane wakubaliane? Nini maana ya kua na Organization?
 
Karibu katika uislamu shekh wangu ufurahie mabikra 72 akhera ambao Allah Subhanahu Wa Ta'ala ametuandalia waje wake.

Allahu wakbaru.
Walahii nasikia subuana watara katujaria vitoto vidogo vya miaka 6 vinajua mambo kama bi Aisha
 
Tatizo wengi wao hawana akili na ni watu wa mizaha tu na sio watu ambao wanaamgalia na kujadili hoja mezani kielimu na kwa uadilifu.
Utoto mwingi na kutokuelewa namna ya kujadili hoja
Sijawahi kumdhihaki mtu kwa hoja bali nitapinga au kukubali kwa hoja tu.

Pia wengi ni chuki binafsi
Unaweza kushanbuliwa kisa una chama fulani, timu au dini fulani
Au mtu anamtukana mtu kisa walipishana hoja kwenye uzi tofauti kabisa

Wengi hawasomi mitandao mingine duniani labda ni kwa ajili ya lugha maana wangejifunza mengi sana huko
 
Maendeleo hayaletwi au kukwamishwa na dini. Vp huko saudia, Qatar n.k ni wamissionary wamepeleka maendeleo??? Uislamu umehimiza watu kutafuta elimu ktk fani tofauti tofauti.

ndiyo, soma vizuri historia ya katar au hata saudi arabia, ni jinsi gani zimekuwa tajiri. katar imepata uhuru mwaka 1971 juzi kati tu ktk English Empire, mafuta yote na gas yaligunduliwa na kuendelezwa na English Government, saudi arabia vivyo hivyo utafiti wote wa mafuta mpaka kuanza kuchimbwa na kuuzwa ulifanywa na Amerikan Company, hivyo maendeleo ya Katar leo hii huwezi kuyatenganisha na Western Christian influence …

jennifer lopez akiwa saudi arabia, hkn hijab na kapiga skin tight …
1745757069394.jpeg
 
Tatizo wengi wao hawana akili na ni watu wa mizaha tu na sio watu ambao wanaamgalia na kujadili hoja mezani kielimu na kwa uadilifu.
Mufti Samia alisha tufumbua macho kwa ilimu katutoa kwenye ujahili wa hivi vijivitabu ...maana alisema wazi kuwa ni VIJIVI TABU TU
 

Attachments

  • Screenshot_20250427-151506.jpg
    Screenshot_20250427-151506.jpg
    133.9 KB · Views: 9
Mtume alisema ukila tende na hajuwa ni Tiba tosha
Pia ukinywa Mkojo wa ngamia ni Tiba tosha
Hapa kuna baadhi ya tafiti zinazothibitisha faida za tende (dates) kwa afya:

1. Tafiti za Antioxidants na Ulinzi wa Seli:

Tafiti za mwaka 2015 na 2017: Utafiti uliochapishwa kwenye jarida la Antioxidants ulionyesha kuwa tende ni chanzo kizuri cha antioxidants, hasa flavonoids, phenolic acids, na carotenoids. Hizi husaidia kupambana na uharibifu wa seli na kuzuia magonjwa yanayosababishwa na oxidative stress kama vile magonjwa ya moyo na saratani.



2. Tafiti za Faida kwa Mfumo wa Moyo:

Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Jordan (2014): Tafiti hizi zilionyesha kuwa tende ni muhimu kwa afya ya moyo kutokana na uwezo wake wa kupunguza shinikizo la damu na kuboresha viwango vya lipids katika damu. Tende ni chanzo kizuri cha potasiamu na magnesium, ambazo ni muhimu kwa kudhibiti shinikizo la damu.



3. Tende na Mifumo ya Kinga:

Tafiti za mwaka 2019: Utafiti uliofanywa na watafiti kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo cha Tende katika Saudi Arabia uligundua kuwa tende zina athari nzuri kwa mfumo wa kinga ya mwili. Tende zina virutubisho kama vile vitamini C na D, ambazo husaidia kuongeza kinga na kupambana na magonjwa.



4. Tafiti za Faida kwa Mfumo wa Mmeng'enyo wa Chakula:

Utafiti wa mwaka 2018 uliochapishwa katika Journal of Food Science and Technology uligundua kuwa tende ni chanzo kizuri cha nyuzinyuzi (fiber), ambayo inasaidia katika kuboresha mmeng'enyo wa chakula na kupunguza hatari ya matatizo ya tumbo kama vile kutapika, vidonda vya tumbo, na shida za mmeng'enyo kama vile kutokwa na haja ndogo.



5. Tende na Udhibiti wa Sukari ya Damu:

Tafiti za mwaka 2014 zilizochapishwa katika International Journal of Food Sciences and Nutrition zilionyesha kuwa tende zina athari nzuri katika kudhibiti viwango vya sukari ya damu, hasa kwa watu wenye kisukari. Utafiti huu uligundua kuwa tende zina kiasi kidogo cha glycemic index, na hivyo haziongezi haraka viwango vya sukari katika damu.




Hizi ni baadhi ya tafiti zinazothibitisha kwamba tende ni chakula kinachoweza kusaidia kuboresha afya kwa njia mbalimbali.
 
Hawa jamaa ukiwasikiliza kila kitu ni haramu, lkn sasa namna wanashiriki ndio balaa.

Kila technology anayotumia hata kuzungumza na kufikisha huu ujumbe ni haram kabisa.
 
Back
Top Bottom