ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 16,703
- 39,180
Wanazuoni wa kiislam, wanaelimisha kuwa ni vyema muislam kujiepusha na aina zote za Bima Aidha iwe ya afya, chombo cha moto, nyumba, biashara n. K
Bima ni gambling tu, yaani pata potea,
Kwa tafsiri ya kiislam ni kamari maana unaweza pata usichostahiri
Mfano unaweza kuweka Bima laki 5 ukatibiwa ungonjwa wa milion 5
Au ukaweka Bima na usiumwe, Kwa hiyo ukawa umekuwa pesa zako bure.
Hivo ni vyema waislam kujiepusha na madhambi makubwa ya kamari Kwa jina la Bima
Bima ni gambling tu, yaani pata potea,
Kwa tafsiri ya kiislam ni kamari maana unaweza pata usichostahiri
Mfano unaweza kuweka Bima laki 5 ukatibiwa ungonjwa wa milion 5
Au ukaweka Bima na usiumwe, Kwa hiyo ukawa umekuwa pesa zako bure.
Hivo ni vyema waislam kujiepusha na madhambi makubwa ya kamari Kwa jina la Bima