Sheikh asema bima ya afya ni haramu katika uislamu

Sheikh asema bima ya afya ni haramu katika uislamu

Wenzio wakiristo wanaojielewa wanasilimu. Ukifa mkiristo ujue unainngia motoni. Unajua?
Surah Al-Ahqaf (46:9):

"Sema: Mimi si kitu kipya katika Mitume, wala sijui yatakayofanywa kwangu wala kwenu..."
(Qur'an 46:9)

Kwa Kiarabu:

قُلْ مَا كُنتُ بِدْعًا مِّنَ الرُّسُلِ وَمَا أَدْرِي مَا يُفْعَلُ بِي وَلَا بِكُمْ ۖ

Hii ndiyo aya sahihi ambapo Mtume Muhammad (s.a.w) anasema kuwa hajui nini kitatokea kwake wala kwa watu wengine
 
Akihojiwa na Maks Media, Sheikh huyu amekuja juu na kudai bima ya afya ni haramu na ni dhulma katika uislamu hivyo kuwaasa waislamu kutojiunga na mfuko wa bima.

Msikilize mwenyewe hapa Sheikh akikinzana na elimu dunia kwa kutumia elimu akhera

View attachment 3317374
Nimemsikiliza

Anahitaji msaada wa uelewa, hajui chochote

Very misleading
 
Surah Al-Ahqaf (46:9):


(Qur'an 46:9)

Kwa Kiarabu:



Hii ndiyo aya sahihi ambapo Mtume Muhammad (s.a.w) anasema kuwa hajui nini kitatokea kwake wala kwa watu wengine
WAKIRISTO WA JF HUWA AKILI MNALIZIPELEKA WAPI? KWELI NYIE NDIE MUMIESOMA KWELI ILMU DUNIA.

SOMA

Surah Al-Ahqaf (46:9) — hapa aya inasema:

قُلْ مَا كُنتُ بِدْعًا مِّنَ الرُّسُلِ وَمَا أَدْرِي مَا يُفْعَلُ بِي وَلَا بِكُمْ ۖ إِنْ أَتَّبِعُ إِلَّا مَا يُوحَىٰ إِلَيَّ وَمَا أَنَا إِلَّا نَذِيرٌ مُّبِينٌ



Tafsiri ya Kiswahili sahihi:

Sema (Ewe Muhammad): "Mimi si kitu kipya miongoni mwa Mitume, wala sijui kitakachofanywa kwangu wala kwenu. Mimi siufuati ila wahyi (ufunuo) unioletewa. Wala mimi si chochote ila mwonyaji wa wazi."
(Tafsiri ya Al-Azhar na pia tafsiri ya Sheikh Ali Muhsin)




---

Maana yake kwa undani:

"Mimi si kitu kipya miongoni mwa Mitume"
— Mtume Muhammad (SAW) anaeleza kuwa yeye ni sehemu ya msururu wa Mitume waliotangulia (kama Nuhu, Musa, Isa). Hii inaonyesha kuwa ujumbe wake unaungana na ujumbe wa Mitume waliopita.

"Wala sijui kitakachofanywa kwangu wala kwenu"
— Mtume Muhammad (SAW) hana elimu ya mambo ya ghaibu (yasiyoonekana) isipokuwa yale aliyofunuliwa na Allah. Hajui kuhusu mustakabali wa maisha yake au ya Waislamu au makafiri — yote yamo mikononi mwa Allah.

"Mimi siufuati ila wahyi unioletewa"
— Anafuata tu mafunuo kutoka kwa Allah, hana mamlaka ya kubuni kitu kutoka nafsi yake.
— Hii inaashiria kuwa Uislamu ni dini ya wahyi (ufunuo wa Mungu), si mawazo ya kibinadamu.

"Wala mimi si chochote ila mwonyaji wa wazi"
— Jukumu lake kuu ni kuwaonya watu kuhusu adhabu ya Mwenyezi Mungu kwa wale wasiotii, na kuwaelekeza njia ya haki kwa uwazi kabisa.
 
Wenzio wakiristo wanaojielewa wanasilimu. Ukifa mkiristo ujue unainngia motoni. Unajua?
Surah Al-Ahqaf (46:9):

"Sema: Mimi si kitu kipya katika Mitume, wala sijui yatakayofanywa kwangu wala kwenu..."
(Qur'an 46:9)

Kwa Kiarabu:

قُلْ مَا كُنتُ بِدْعًا مِّنَ الرُّسُلِ وَمَا أَدْرِي مَا يُفْعَلُ بِي وَلَا بِكُمْ ۖ

Hii ndiyo aya sahihi ambapo Mtume Muhammad (s.a.w) anasema kuwa hajui nini kitatokea kwake wala kwa watu wengine
 
Akihojiwa na Maks Media, Sheikh huyu amekuja juu na kudai bima ya afya ni haramu na ni dhulma katika uislamu hivyo kuwaasa waislamu kutojiunga na mfuko wa bima.

Msikilize mwenyewe hapa Sheikh akikinzana na elimu dunia kwa kutumia elimu akhera

View attachment 3317374
Nyuzi kama hizi Mbaga Jr ndo anapendaga. Kipele kimepata mkunaji haswa 🤣🤣
 
Bima ya Kiislamu ni mfumo wa bima ambao unafuata misingi ya sheria za Kiislamu (Shariah). Mfumo huu unajulikana kama Takaful, na ni tofauti na bima ya kawaida ya kibiashara kwa sababu haitegemei riba, kamari (maisir), au gharar (kutokuwa na uhakika). Takaful ni mfumo wa ushirikiano ambapo wanachama huchangia pesa ili kusaidiana na kufidia gharama za matibabu au majanga yanayowakumba.


---

Msingi wa Bima ya Kiislamu (Takaful)

1. Kusaidiana (Cooperation):
Katika mfumo wa Takaful, wanachama wa bima huchangia fedha kwa ajili ya kusaidiana na kupunguza hasara au gharama zinazoweza kutokea kutokana na ajali au magonjwa. Hii ni kwa msingi wa ushirikiano badala ya faida ya kibiashara.


2. Mfumo wa Ushirikiano:
Wanachama wanachangia kwenye mfuko wa pamoja. Inapotokea madhara au matatizo (kama vile ajali, magonjwa, au kifo), fedha zilizochangwa hutumika kusaidia walioathirika. Hii ni tofauti na bima ya kibiashara ambapo kampuni ya bima inapata faida kutoka kwa michango ya wanachama.


3. Haramu kwa Riba:
Takaful inakataza riba, ambayo ni kipengele cha msingi katika bima ya kibiashara. Hivyo, faida zinazopatikana katika Takaful hazitoki kwenye uwekezaji wa riba
Yaani Mkuu Unajaribu kumwagilia jiwe ili listawi hiyo kazi utaiweza?

Rejea ndani ya Quran usome jinsi Allah ametutahadharisha juu ya hawa Makafiri
Nakuona jinsi unavyopata dhiki juu ya maneno yao ila hawatokuwa radhi hawa mpaka ufuate mila zao

Nguruwe,Mbwa na hayawani wengine maisha yao hayana tofauti na Wakristo.
Wanajaribu kushawishi Waislamu oya oya nao waishi kioya oya kama wao.
kujadiliana nao ni kupoteza Muda wako tu.
 
Ni kweli ni haram mpaka aliesoma dini ndio atajua bima ni haram mkristo hawezi kujua sababu akili zao ziko nyuma ndio maana binadamu kwao ni Mungu wasenge kweli na uprofesa wao
 
Hivi leo ikiwa wafanyakazi watapitishiwa watoe maoni kuhusu vima afya watakubali waendeshwe kama hivi? Wakiristo sikilizeni hoja kwanza
Kwamba wewe kila kitu kinacholenga kuipamba awamu hii unakitetea tu sio? Hata kwenye upuuz we kazi yako ni kutetea tu sio? Hivi unalipwa shiling ngapi na mimi niungane na wewe?
 
Yaani Mkuu Unajaribu kumwagilia jiwe ili listawi hiyo kazi utaiweza?

Rejea ndani ya Quran usome jinsi Allah ametutahadharisha juu ya hawa Makafiri
Nakuona jinsi unavyopata dhiki juu ya maneno yao ila hawatokuwa radhi hawa mpaka ufuate mila zao

Nguruwe,Mbwa na hayawani wengine maisha yao hayana tofauti na Wakristo.
Wanajaribu kushawishi Waislamu oya oya nao waishi kioya oya kama wao.
kujadiliana nao ni kupoteza Muda wako tu.
Nendeni shule muondokane na huu ujinga uliokithiri pamoja na ubaguzi wa kipuuzi ambao hauwasaidii chochote

Nadra sana kukuta educated muslim akiandika ushubwada kama huu.
 
Nendeni shule muondokane na huu ujinga uliokithiri pamoja na ubaguzi wa kipuuzi ambao hauwasaidii chochote

Nadra sana kukuta educated muslim akiandika ushubwada kama huu.
Nina uhakika kwenye Ukoo wenu hakuna kuanzia mifugo,samani,majengo na watu wa ukoo Nzima anayenifikia kwa Chochote labda matumizi madogo ya Akili na kuwa Kafiri.
 
Nina uhakika kwenye Ukoo wenu hakuna kuanzia mifugo,samani,majengo na watu wa ukoo Nzima anayenifikia kwa Chochote labda matumizi madogo ya Akili na kuwa Kafiri.
Ndio umezidi kuthibitisha upumbavu wako, hizi ni athari za kukosa elimu dunia ambayo ndio kwa kiasi kikubwa inaendesha maisha ya mwanadamu hapa duniani.

Mkuu wazazi wako walifanya kosa kubwa sana na wanastahili viboko, sasa jitahidi na wewe usifanye kosa kubwa kwa watoto wako wasiwe wajinga na kero kwa binadamu wenzao kama ulivyo wewe.
 
Akihojiwa na Maks Media, Sheikh huyu amekuja juu na kudai bima ya afya ni haramu na ni dhulma katika uislamu hivyo kuwaasa waislamu kutojiunga na mfuko wa bima.

Msikilize mwenyewe hapa Sheikh akikinzana na elimu dunia kwa kutumia elimu akhera

View attachment 3317374
of course wengi wa imani hiyo huwa wanaamini hivyo. hata kuweka pesa kwa riba wanasema ni haram. ila sisi wakristo mfano kwenye riba, hata Yesu alisema kuhusu yule aliyepewa talanta akaifukia, kwamba angeweka hata kwa watoa riba ili apate faida. hata hivyo inategemeana na mwanzilishi wa imani alikuwa na elimu gani. kwa sababu ukisema bima ni haram, basi hata kuweka chakula cha akiba kwako ni haram, kula tu usihifadhi chakula cha kutumia siku ukipata shida.
 
Back
Top Bottom