Ndio maana unafanya kazi za serekali halafu unastaafu ukiwa maskini na msongo wa mawazo. Makato lukuki yanakuandama ukijumlisha bima bima bima. Bima hizi zinawanufaisha makumpuni kuliko wewe.Hawa jamaa ukiwasikiliza kila kitu ni haramu, lkn sasa namna wanashiriki ndio balaa.
Kila technology anayotumia hata kuzungumza na kufikisha huu ujumbe ni haram kabisa.