BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,377
- 8,121
Kufuatia kuwepo kwa taarifa za kubuniwa kifaa maalum cha kupima vipaji vya watoto shuleni na moja ya shule jijini Dar es Salaam, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Adolf Mkenda ametangaza kusitishwa kwa matumizi ya kifaa hicho kwa muda hadi hapo serikali itakapojiridhisha juu ya ubora na usalama wa kifaa hicho kwa wanafunzi.
Waziri Prof Mkenda amesema hayo jijini Dodoma alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu ugunduzi wa kifaa hicho, na kusema wamekuwa na maswali ambayo hayajapatiwa majibu yanayoridhisha juu ya kifaa hicho, ikiwemo ubora, usalama na ulinzi wa taarifa za watoto ambazo nyingine zinaweza kuwa ni za faragha.
Ameagiza timu ya wataalam kufanya ukaguzi wa ubora na usalama wa kifaa hicho na ikiwa watajiridisha kuwa ni salama, michakato mingine ya kukiridhia itafuata.
Chanzo: Azam TV
----
Serikali imewaagiza Wakaguzi wa Shule kuchunguza taarifa za baadhi ya Shule Binafsi kutumia Mashine za Anthropo-Biometric zenye uwezo wa kubaini Uwezo wa Akili au Vipaji vya Wanafunzi
Waziri wa Elimu na Teknolojia, Prof Adolf Mkenda, amewambia wakaguzi hao; "Lazima ujue jinsi kifaa hicho kinadaiwa kuwa na uwezo wa kuchanganua wanafunzi na kubaini vipaji vyao katika utendaji wa ubongo," alisema.
Machi 4, 2023, Shule ya Sekondari Alfa iliyopo Jijini Dar es Salaam ilitangaza kuzindua Mfumo wa Kupima Vipaji vya Watoto kwa kutumia kifaa kinachoitwa Anthropo-Biometric Body Machines, ambacho kwa mujibu wa Mwalimu wa Taaluma wa Shule hiyo, Fulgence Kabiligi alisema kifaa hicho kinachukua Vinasaba vya Kibaolojia Mwanafunzi na kuvituma Geneva ambako vinakwenda kuchakatwa.
Serikali imewaagiza Wakaguzi wa Shule kuchunguza taarifa za baadhi ya Shule Binafsi kutumia Mashine za Anthropo-Biometric zenye uwezo wa kubaini Uwezo wa Akili au Vipaji vya Wanafunzi.
Waziri wa Elimu na Teknolojia, Prof Adolf Mkenda, amewambia wakaguzi hao; "Lazima ujue jinsi kifaa hicho kinadaiwa kuwa na uwezo wa kuchanganua wanafunzi na kubaini vipaji vyao katika utendaji wa ubongo. Ninaelewa kuwa walidai pia kufanya kazi na Hospitali ya Taifa Muhimbili, lakini hili nalo linahitaji kuchunguzwa," alisema Prof Mkenda.
Kwa mujibu wa mtaalamu wa masuala ya Mashine hizo, Justine Daniel, amesema Anthropo-Biometriska kawaida ni mfumo wa upimaji wa njia ya 3D ambao una uwezo wa kutoa nakala ya dijiti ya jiometri ya uso wa mwili wa mwanadamu.
“Mashine haiendi zaidi ya ramani ya kimwili ya mwili; mashine zenye sura tatu za Anthropo-Biometric Body hunasa tu uso wa nje wa mwili wa binadamu kwa kutumia mbinu za macho, pamoja na vifaa vinavyoweza kuhisi mwanga, bila kugusa mwili,” amesema Daniel.
Machi 4, 2023, Shule ya Sekondari Alfa iliyopo Jijini Dar es Salaam ilitangaza kuzindua Mfumo wa Kupima Vipaji vya Watoto kwa kutumia kifaa kinachoitwa Anthropo-Biometric Body Machines, ambacho kwa mujibu wa Mwlaimu wa Taaluma wa Shule hiyo, Fulgence Kabiligi alisema kifaa hicho kinachukua Vinasaba vya Mwanafunzi na kuvituma Geneva ambako vinakwenda kuchakatwa.
Waziri Prof Mkenda amesema hayo jijini Dodoma alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu ugunduzi wa kifaa hicho, na kusema wamekuwa na maswali ambayo hayajapatiwa majibu yanayoridhisha juu ya kifaa hicho, ikiwemo ubora, usalama na ulinzi wa taarifa za watoto ambazo nyingine zinaweza kuwa ni za faragha.
Ameagiza timu ya wataalam kufanya ukaguzi wa ubora na usalama wa kifaa hicho na ikiwa watajiridisha kuwa ni salama, michakato mingine ya kukiridhia itafuata.
Chanzo: Azam TV
----
Serikali imewaagiza Wakaguzi wa Shule kuchunguza taarifa za baadhi ya Shule Binafsi kutumia Mashine za Anthropo-Biometric zenye uwezo wa kubaini Uwezo wa Akili au Vipaji vya Wanafunzi
Waziri wa Elimu na Teknolojia, Prof Adolf Mkenda, amewambia wakaguzi hao; "Lazima ujue jinsi kifaa hicho kinadaiwa kuwa na uwezo wa kuchanganua wanafunzi na kubaini vipaji vyao katika utendaji wa ubongo," alisema.
Serikali imewaagiza Wakaguzi wa Shule kuchunguza taarifa za baadhi ya Shule Binafsi kutumia Mashine za Anthropo-Biometric zenye uwezo wa kubaini Uwezo wa Akili au Vipaji vya Wanafunzi.
Waziri wa Elimu na Teknolojia, Prof Adolf Mkenda, amewambia wakaguzi hao; "Lazima ujue jinsi kifaa hicho kinadaiwa kuwa na uwezo wa kuchanganua wanafunzi na kubaini vipaji vyao katika utendaji wa ubongo. Ninaelewa kuwa walidai pia kufanya kazi na Hospitali ya Taifa Muhimbili, lakini hili nalo linahitaji kuchunguzwa," alisema Prof Mkenda.
Kwa mujibu wa mtaalamu wa masuala ya Mashine hizo, Justine Daniel, amesema Anthropo-Biometriska kawaida ni mfumo wa upimaji wa njia ya 3D ambao una uwezo wa kutoa nakala ya dijiti ya jiometri ya uso wa mwili wa mwanadamu.
“Mashine haiendi zaidi ya ramani ya kimwili ya mwili; mashine zenye sura tatu za Anthropo-Biometric Body hunasa tu uso wa nje wa mwili wa binadamu kwa kutumia mbinu za macho, pamoja na vifaa vinavyoweza kuhisi mwanga, bila kugusa mwili,” amesema Daniel.
Machi 4, 2023, Shule ya Sekondari Alfa iliyopo Jijini Dar es Salaam ilitangaza kuzindua Mfumo wa Kupima Vipaji vya Watoto kwa kutumia kifaa kinachoitwa Anthropo-Biometric Body Machines, ambacho kwa mujibu wa Mwlaimu wa Taaluma wa Shule hiyo, Fulgence Kabiligi alisema kifaa hicho kinachukua Vinasaba vya Mwanafunzi na kuvituma Geneva ambako vinakwenda kuchakatwa.