Serikali: Hatujalipa kuweka tangazo jengo la Burj Khalifa lililopo Dubai

Sio ndio hapo sasa, kuliko waweke tangazo la siku 30 la 2t, si bora watupe nusu ya hiyo hela tujenge viwanda 10 vya 100b@ vya kimkakati?
"Begger has no choice" pokea hicho ulicho pewa hata kama hakina maana kwetu.
 
Kwani Tz haipati wa talii kwasbb hawajui kama kuna nchi inaitwa Tz au watakuja kwasbb ya Raisi wetu?......tatizo lenu mnalipwa ila hamuwezi kushawishi watu kwa hoja za mantiki.
Hawataki kutushirikisha wadau wa utalii ili tuwape mpango mkakati mzuri wa kuiuza nchi kiutalii.
Yaani mtu mzima kabisa anaamini kuwa mtalii ama muwekezaji anaweza kuja Tanzania kwa sababu ya rais au kuona bendera asiyoijua ni ya nchi gani kwenye jengo refu zaidi duniani!!!!!
 
Wale wanazo pesa nyingi sana za kuchezea ! Wanaweza wakakutangaza hata mwezi mzima na wala wasitake chochote kutoka kwako, ila pia sio vibaya kuwa waangalifu kwenye kila kitu kinachohusu Nchi !!
Na kwa nini mtangazwe bure, hapo bado amelikoroga.........
 
Nonsense and stupidity! Kwamba Tanzania haijulikani mpaka ikatangazwe Dubai? Fikiria kwanza.

Ndo Kiwango chako cha Upeo umefikia hapo…Itoshe kusema Wewe ni poyoyo na hujui unachokitaka.Cocacola imekuwepo toka hujazaiwa kila siku ipo kwenye mabango na Tv pia nayo haijulikani? Nyie mnataka hela zitumike kwenye kununua wapinzani na kufanya uchaguzi hewa sio?
 
Hawataki kutushirikisha wadau wa utalii ili tuwape mpango mkakati mzuri wa kuiuza nchi kiutalii.
Yaani mtu mzima kabisa anaamini kuwa mtalii ama muwekezaji anaweza kuja Tanzania kwa sababu ya rais au kuona bendera asiyoijua ni ya nchi gani kwenye jengo refu zaidi duniani!!!!!
Tatizo ndio lipo hapo ! Watu wanataka wale keki peke yao !
 
Mbona nilishawataarifu wale waliozua uzushi huu,hili nalo linahitaji msemaji wa serikali,waliozua ni ushamba tu.
 
Haya majitu ya CCM yalivyokuwa ni mapumbavu ya akili unaweza kuta yametoa Vitalu vya mbuga zetu bure kwa wawindaji wa kiarabu, au wamegawa wanyama wetu au kuna rasilimali kama gesi au mafuta au rasilimali yoyote yametoa bure ili kuweka bendera katika jengo.

Haya majitu yamekwisha shindwa kuendesha inchi na yanajua ndio maana yapo tayari hata kuingia hasara au kufanya jambo lolote kwasababu ya kutapatapa kindezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yap huenda ni kweli hatujalipa....

Ingawa sijui na wao ni kipi / vipi tutawapa favor na wasilipe....

As the saying goes no free lunch..., mwisho wa siku ndio tutajua kama ni Win/Win au kama Kawaida yetu Win kwa Wachache (10%) na Loose kwa Taifa na vizazi vijavyo...
Kuna kitu wamegawa hawa. Ni kweli sio pesa. Ila kuna kitu cha thamani sana wamegawa hawa mandondocha.

Hili taifa tukiendelea kucheka na hawa mabwege tutafeli vibaya sana siku si nyingi na hatitakuwa na namna ya kitoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna mtu Tanzania aliwajaza watanzania upumbavu kiasi kwamba wao wanahisi kila kitu wanapigwa au hela zinatumika vibaya ila faida zake hilo bango hawajui ni watu wangapi watashawishika kutaka kujua hii nchi na kuja kuwekeza au kutalii na hapo ajira zitakuja na serikali itapata kodi ambayo itaendesha nchi
Pumbavu ni hawa wanaomini sasa hatupigwi

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Msemaji wa Serikali kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema haya..

Serikali HAIJALIPIA kuweka tangazo la Tanzania katika jengo refu kuliko yote Duniani liitwalo Burj Khalifa lililopo katika Jiji la Dubai.

Tangazo hilo limewekwa kwa lengo la kuitangaza Tanzania kutokana na uhusiano mzuri uliopo kati ya nchi yetu na Umoja wa Falme za Kiarabu.

Utawala wa Dubai umeweka tangazo hilo kwa kutambua ziara ambayo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kaifanya Dubai na umeahidi kuendelea kuitangaza Tanzania kupitia jengo hilo maarufu.

Pia soma

===
GHARAMA zilizoelekezwa na mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burj Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya US$ 67,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki TZS 150M kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote hilo la Burj Khalifa.

=>Gharama kwa lisaa limoja ni jumla ya TZS 3BL,

=> Gharama kwa siku moja ni TZS42BL

=> Gharama kwa siku 30 ni TZS 2.2Trilioni,

=>Kwasababu ya mahusiano mazuri kati ya mamlaka za Tanzania na Dubai tumepewa kujitangaza bure Kabisa kwa siku 30,

Nani Kama Rais Samia Suluhu Hassan?


Hoja yangu ni nini hapa,

Kwanza, Huu ni ushahidi wa wazi kwamba sasa ni rasmi Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imefunguka Kitaifa & Kimataifa,

Pili,Kupitia matangazo haya Tanzania inakwenda kupata idadi kubwa sana ya wawekezaji wa nje na watalii ambao pengine haijawahi kuwashuhudia tangu Uhuru wake,

Tatu,Rais Samia anakuwa ni Rais mwenye ushawishi zaidi kusini mwa jangwa la Sahara ndani ya muda huu mfupi ( rejelea ziara zake za Ufaransa na Ubelgiji )

Nne, Burj Khalifa ni taasisi yenye zaidi ya followers 10M kwenye akaunti zake za Tweeter, facebook,Telegram na Instagram na nimejaribu kupitia accounts hizi Tanzania ina-trend kwa kasi,
There is nothing like a free lunch,hizi story kawapigieni watu wa mwanakwerekwe,fuoni,au paje,Lindi,mtambaswala ambao hawajaenda shule,hakuna Cha bule,
Hii sio coincidence,Kuna mahotel kibao kule ngorongoro yanataka ardhi ya wamasahi.na choko choko ya kufukuza wenyeji imeanza!!watu wanapewa mbuga zetu bure!harafu mnakuja hapa kutuambia eti wanatutangaza Bure!!!don't insult our inteligence!!
 
Bepali hanaga cha bure hata siku moja, hapo ni nyie kujiongeza kwamba wanataka kuchukua kitu gani kutoka hapa Tz
Mlipoaminishwa tumelipia mlibwabwaja… sasa mmeambiwa hatujalipia mnalopolopo

Hata kukaa kimya ni busara
 
Pumbavu ni hawa wanaomini sasa hatupigwi

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Yaani kama tulikuwa tunapigwa awamu iliyopita ndo ihalalishe upigaji awamu hii? Uzwazwa huo wabaki nao wanaoweka siasa mbovu mbele lakini Sisi Wenye akili hatuwezi kuamini Wezi waliookoka mpaka watuthibitishie Kwa matendo. Mpaka Sasa wameshindwa kututhibitishia kwamba wameacha wizi Kwa hili la Mchongo wa Burj Khalifa.
 
Back
Top Bottom